Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wale wenye mapanga hawakutaka tuweke kwenye maandishii.......nafsi ziliwasutaMaridhiano bila maandishi ni ujinga. Lazima kuwe na document inayosema mnalidhiana nini na mnatokaje mlipo, sasa ccm hawataki maandishi, wala committmeny ya aina yoyote, huo ni ulaghai.
IndeedLissu ni Shujaa
Wanakutoa hadi uhai.....hawajaliAmina CCM WAKO TIYARI KWA LOLOTE ILA SI KUACHIA MADARAKA
Lissu Hana jipya,hawezi hamasisha vurugu ili khali yeye ni raia wa marekaniWewe endelea kula ulojo
Naona jizi la kura umepata hamaki maana iwapo cdm watashiriki watawaharibia mahesabu ile mbaya. Kwani kuwashinda kihalali haiwezekani, hivyo wizi wa kura ndio njia pekee. Njia hiyo inawatia aibu lakini hamna jinsi kwani mnaona aibu kushindwa, na hamko tayari kutoka madarakani kwa amani maana mnajua wengi mtaishia jela. Tunasubiri hayo maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Kumbe Uchaguzi mtashiriki? Nawakumbusha tuu Lisu kwao ni Ubelgiji.
SureNaona jizi la kura umepata hamaki maana iwapo cdm watashiriki watawaharibia mahesabu ile mbaya. Kwani kuwashinda kihalali haiwezekani, hivyo wizi wa kura ndio njia pekee. Njia hiyo inawatia aibu lakini hamna jinsi kwani mnaona aibu kushindwa, na hamko tayari kutoka madarakani kwa amani maana mnajua wengi mtaishia jela. Tunasubiri hayo maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Atafukuzwa na mbowe!View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Muulize Lissu ndo alisema hiyo kauli.Wewe umezuiwa kufanya biashara?
Hakuna kitu kama hicho CCM ni mbaya ila chadema Haina sera yoyoteAsante kwa taarifa sahihi za chama chako kuwa CHADEMA wote ni mabwege,Mungu akubariki ila siku uta
KESHAOLEWA HUKO HUKU ANAKUJA KUPIGA MECHI ZA NJE YAANI ANACHEPUKA NA MTU ANAYE CHEPUKA NI MALAYAKumbe Uchaguzi mtashiriki? Nawakumbusha tuu Lisu kwao ni Ubelgiji.
UHURU NA WATU,WATU NA UHURU NDIO MSINGI BORA WA MAENDELEO.Hakuna kitu kama hicho CCM ni mbaya ila chadema Haina sera yoyote
KAZI NA UHURU NI SERA YA CHADEMA.Hakuna kitu kama hicho CCM ni mbaya ila chadema Haina sera yoyote
Uhuru ndani ya chadema ni kuonja sumu kwa kuilambaKAZI NA UHURU NI SERA YA CHADEMA.
Hakuna chama kizuri kama CHADEMA,unaweza ukagombea mahali popote bila kubughudhiwa,ukikubaliwa unapita bila sababu za uongo kama ilivyo ccm.Uhuru ndani ya chadema ni kuonja sumu kwa kuilamba
sasa kwa nini mbowe alimtandika risasiLissu ni Shujaa
Aliyemtandika Lissu ni mama yako pumbavu.sasa kwa nini mbowe alimtandika risasi
unatafuta Ban ?sasa kwa nini mbowe alimtandika risasi