RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
nimeeleza kwa kina kirefu sana jambo hili hapo juu,
Lisu mwenyewe alieleza kinagaubaga alipopata pesa za kuitisha press conference ile ya maana sana alipoulizwa na na muandishi wa habari kwamba ni nani kagharamia mkutano ule,
simple sana alijibu,
ni marafiki zake na wadau mbalimbali wa chama ndio wamechangia gharama za press ile..
nashangaa mnababaka na hili wakati mchango wa gari hadi CCM ilitoa π
Kupitia baadhi ya matajiri wa CCM - lissu kesshaAcha hizo
Mchungaji Msigwa ana madeni kibao ambayo analipiwa kidogo kidogo na ASAS Misasa
Kwa Sababu unaishi machame basi unadhani ukumbi wa Mlimani City ni wa gharama sana
Hapo tunafanyiaga sherehe za komunio ya kwanza ππ
Huu ni ukweli kwa Hali ya sasa, wanachadema wengi wanajua hilo
Haahaa endelea kutabiri bossKwa kusoma trend ,nashawishika kuamnini ameratibiwa kuandaa press na mtu au watu wa upande ule
IAcha kukurupuka tuligharamia Press wengi ni sisi Diaspora chini ya Liberatus
ACHENI kuokoteza maneno na hili liliwekwa wazi mitandaoni
Haahaa endeleeni kuota kwa kweli, nje ya lissu chadema itakuwa kama TLPLISSU ANAENDESHWA NA MSIGWA KAMA REMOTE CONTROL, ANAJIFANYA MJANJA MWAKA HUU KAJIMALIZA KISIASA
Tuache demokrasia ifuate mkondo wake. Siasa chafu hazina nafasi. Weka uthibitisho hapa tukuamini. πππMimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.
Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?
Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.
Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.
Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.
Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.
PEOPLES POWER!
Lissu anaendeshwa na msigwa, hata kile kikao wajumbe walisafiridhwa kupitia msigwa foundation, kama ulisoma gazeti la mwananchi utashtukaNafikiri CCM ndio wamuulize Msigwa kwa nini kajihusisha na hayo maandalizi, kama kweli. Wajuaje labda Msigwa ni pandikizi la Chadema CCM au anataka kurudi CHADEMA? Sioni sababu ya yeye kujibu kwa kweli.
ni muhimu kutuliza mawenge na mchecheto dhidi ya nukuu za wana habari na vyombo vya habari ..
Haahaa Kwa lissu kazi wanayo, alisema kama anatembea na risasi ataogopaje mawe ya majasiri wa mtandaoniMkuu Tindo hilo lilikuwa na madhara gani ndani ya chama? Lakini hili ni kubwa kwani linaweza kuharibu uchaguzi wa chama chetu kwa huu UONGO kwani kuna watu watamnyima kura Lissu sababu ya kuruhusu uongo uonekane ni ukweli.
Mkuu sasa nawewe unakataa kuwa we ni mjinga?Wewe ni mjinga kumbe? Unawezaje kuniita mpumbavu au chawa wa Mbowe?
Kwa taarifa yako mtu mjinga ni kuwa mimi ni mtu ninaye Unga mkono mabadiliko ndani ya uongozi kidemokrasia hasa wakati huu.
Na sababu ya kumtaka ajibu uzushi huo ni kuwa sitaki Lissu wampoteze kwa sababu ya kufikiriwa kuwa ana uhusiano na Msigwa aliyekitukana Chama na akanyimwa kura pasipo ukweli wowote!
Sasa uchawa kwa Mbowe uko wapi hapo? Na pia Mbowe simpingi kwani kwa sasa ni mwenyekiti aliyechaguliwa na wana chadema hadi uchaguzi mwingine
Huo ndo ukweli, mbowe akiwa mwenyekiti Tena wa chadema, ccm watampa Samia ushindi wanaotaka mwakaniTutaelewana tu
Mbowe anaushawishi mkubwa ndan ya Chadema na Ccm na hii ishaanza jionesha
Saiv kuna kampani kubwa sana ya kumshambulia na kumshusha lisu kutoka kwa chawa wa ccm na chadema
Na iv punde tutaanza kuona vituo vya radio na tv vikimponda na kumshusha lisu na kumsifia mbowe sabu wanajua mbowe ni mtu wao ila lisu sio mtu wao na ni ngumu kumbadili msimamo
Ata wale machawa maarufu wa mjini mda si mrefu wataanza kuongea ni suala la muda tu
Kwa mwanachadema mwenye akili ashajua kabsa lisu ni ttzo kwa Ccm kwaiyo watafanya njia yyte ili kumshusha sasa km mwana chadema mwenye akili ni wakat wenu kumpigania na kumsafisha lisu kwa nguvu yyte ile
Haahaa eti kiasi Gani, Yaani.mMkuu sasa nawewe unakataa kuwa we ni mjinga?
Lissu akose hela ya ukumbi?
Anaenda Ubelgiji kila mara akose hela ya ukumbi,aisee....