RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Tutaelewana tu
Mbowe anaushawishi mkubwa ndan ya Chadema na Ccm na hii ishaanza jionesha
Saiv kuna kampani kubwa sana ya kumshambulia na kumshusha lisu kutoka kwa chawa wa ccm na chadema
Na iv punde tutaanza kuona vituo vya radio na tv vikimponda na kumshusha lisu na kumsifia mbowe sabu wanajua mbowe ni mtu wao ila lisu sio mtu wao na ni ngumu kumbadili msimamo
Ata wale machawa maarufu wa mjini mda si mrefu wataanza kuongea ni suala la muda tu
Kwa mwanachadema mwenye akili ashajua kabsa lisu ni ttzo kwa Ccm kwaiyo watafanya njia yyte ili kumshusha sasa km mwana chadema mwenye akili ni wakat wenu kumpigania na kumsafisha lisu kwa nguvu yyte ile
Mbowe anaushawishi mkubwa ndan ya Chadema na Ccm na hii ishaanza jionesha
Saiv kuna kampani kubwa sana ya kumshambulia na kumshusha lisu kutoka kwa chawa wa ccm na chadema
Na iv punde tutaanza kuona vituo vya radio na tv vikimponda na kumshusha lisu na kumsifia mbowe sabu wanajua mbowe ni mtu wao ila lisu sio mtu wao na ni ngumu kumbadili msimamo
Ata wale machawa maarufu wa mjini mda si mrefu wataanza kuongea ni suala la muda tu
Kwa mwanachadema mwenye akili ashajua kabsa lisu ni ttzo kwa Ccm kwaiyo watafanya njia yyte ili kumshusha sasa km mwana chadema mwenye akili ni wakat wenu kumpigania na kumsafisha lisu kwa nguvu yyte ile