GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
mbagala kwa wingi wa watu unaipa shkamoo .Hahahahah najiuliza tu kwanini wasanii Wana siasa wakitaka kufanya matamasha ya wazi huchagua Sana Mbagala?
Ningependa kumuona Mtu Anae jiona anakubalika anafanyia mkutano msasani tuone Kama kweli atapata nyomi.