Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Hahahahah najiuliza tu kwanini wasanii Wana siasa wakitaka kufanya matamasha ya wazi huchagua Sana Mbagala?

Ningependa kumuona Mtu Anae jiona anakubalika anafanyia mkutano msasani tuone Kama kweli atapata nyomi.
mbagala kwa wingi wa watu unaipa shkamoo .
 
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.

Aise
 
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.

Aise mbona amna tv inayorusha au lafu zimeanza
 
Ikisha kuwa hivyo ndiyo Pompeo atamuondolea ban Makonda ya kuingia USA?

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200828_152449.jpg
 
Lissu ameanza kuadhibiwa na watanzania mapema sana

Watanzania wanamgawia spana utazani hawajawahi muona
 
Yaani chadema wangekua na akili wangefungulia campaign huko Tunduma, hii aibu ni gundu kwenye campaign nzima

Zile kura 7% nilizompa, nimekuja kujua nilikua nimelewa, mnisamehe jamani
 
Hivi hakuna hata link nifuatilie online? Sioni tv hata moja ikirusha mkutano wa Lissu the iron man!
Wamefeli kabla ya kuanza, niliwaambia hapa siyo klm wakabisha.

Lisu ni tofauti na Lowassa.......yeye angefungulia kampeni zake Tarime, Iringa au Mbeya!
 
Hizo kampeni bado au mgombea kaishiwa hoja?
Nakumbuka campaign za Lowassa, watu walianza kujaza jamgwani siku 2 kabla ya siku ya campaign, watu usiku wapo viwanjani watu zaidi ya buku

Dah Lowassa alikua sumaku, huyu Lissu sijui ana mkosi gani, umma haumtaki kudadeq
 
Back
Top Bottom