mbagala kwa wingi wa watu unaipa shkamoo .Hahahahah najiuliza tu kwanini wasanii Wana siasa wakitaka kufanya matamasha ya wazi huchagua Sana Mbagala?
Ningependa kumuona Mtu Anae jiona anakubalika anafanyia mkutano msasani tuone Kama kweli atapata nyomi.
AiseKimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.
Fair ground ipo na mwisho wa siku Lisu kura 10%Wanafiki sana, na wamelazimishwa kufanya hiyo coverage na jiwe ili kuwaonyesha mabeberu kuwa kuna fair ground kwenye uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise mbona amna tv inayorusha au lafu zimeanzaKimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.
Walikuwa wanaonyesha wale wanaocheka kijino pembe tbcAise mbona amna tv inayorusha au lafu zimeanza
Ikisha kuwa hivyo ndiyo Pompeo atamuondolea ban Makonda ya kuingia USA?Fair ground ipo na mwisho wa siku Lisu kura 10%
Ikisha kuwa hivyo ndiyo Pompeo atamuondolea ban Makonda ya kuingia USA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo eneo la tukio? Muitikio upoje huko? Nafikiria kuanza safari kuja.
Nyomi haisemekiMkuu upo eneo la tukio? Muitikio upoje huko? Nafikiria kuanza safari kuja.
Acha utani mkuu, nitupie kadhaa DM kama hutojali ili nidandie gari la rangi 3.Nyomi haisemeki
Pictures zipo wapi?Nyomi haisemeki
Hivi hakuna hata link nifuatilie online? Sioni tv hata moja ikirusha mkutano wa Lissu the iron man!
Wamefeli kabla ya kuanza, niliwaambia hapa siyo klm wakabisha.Hivi hakuna hata link nifuatilie online? Sioni tv hata moja ikirusha mkutano wa Lissu the iron man!
Nakumbuka campaign za Lowassa, watu walianza kujaza jamgwani siku 2 kabla ya siku ya campaign, watu usiku wapo viwanjani watu zaidi ya bukuHizo kampeni bado au mgombea kaishiwa hoja?
Unataka wakuonyeshe nini na watu hamna!CHADEMA Inazingua kwenye suala la habari