Nchi haiwezi kabidhiwa kwa vibaka
Sasa watu wengine bhana wakishindwa hoja wanakimbilia udini na ukabila....kwan lisu na mwalimu ni kabila gani.?acheni uchoko wa kijingaa sikilizeni hojaa za watu...mamayeJengeni udini, ukanda, ukabila na uchama kwa bidii na juhudi zote hakika mtavuna hiki mkipandacho
Kwenda zako muoga msubilia teuziNdoto
Nilisoma humu kuwa Chato na Geita nzima itakwenda Chadema...na DSM si Chato!
Hao ndiyo wana lumumba maana hawana hoja tena, yaani wamesha filisika kisiasaSasa watu wengine bhana wakishindwa hoja wanakimbilia udini na ukabila....kwan lisu na mwalimu ni kabila gani.?acheni uchoko wa kijingaa sikilizeni hojaa za watu...mamaye
Na Kilimanjaro siyo misungwi kwenu
Dsm siyo Kilimanjaro!
Amepewa kibali na Jeshi la polisi na uongozi wa mkoa?
Haitasaidia hii wamechelewaaHii ndo sababu ya kuifungia Clouds media isije ikarusha japo habari yake.
Clouds media vyombo vyake vinareach watu wengi sana nchini
Wanasingizia msasani hakuna viwanja vikubwa vya wazHahahahah najiuliza tu kwanini wasanii Wana siasa wakitaka kufanya matamasha ya wazi huchagua Sana mbagala?????? Ningependa kumuona Mtu Anae jiona anakubalika anafanyia mkutano msasani tuone Kama kweli atapata nyom
Powa tupopamoja kuliokoa taifa hili...na DSM si Chato!
Badilisheni hiyo rangi ya tangazo. Waachieni Simba hiyo rangi. Kwanini background isiwe bendera ya Chadema? Mnapoteza wafuasi kwa mambo ya kitoto.Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
Bawacha, Bavicha,Bazecha,mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha ccm madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Jumamosi tuko tanganyika packers kawe karibu sana ,kawe na msasani karibuHahahahah najiuliza tu kwanini wasanii Wana siasa wakitaka kufanya matamasha ya wazi huchagua Sana mbagala?????? Ningependa kumuona Mtu Anae jiona anakubalika anafanyia mkutano msasani tuone Kama kweli atapata nyom