Punguza povu mbona hujamlalamikia Aliesababisha LISU kupigwa Chuma?Kwa kweli nilikuwa najiuliza kwa nini lissu apelekwe ubelgiji badala ya nchi nyingine mahiri kwa utabibu wa binadamu, kumbe ni mbinu nyingine ya kwenda jumuia ya ulaya kwa mgongo wa matibabu?
Hao wabelgiji si ndio walimuua Patrice Lumumba wa Congo kwa kumyeyusha na acid au?
Poor politics za cdm hadi mnatukera wapiga kura.
Wewe mpuuzi hebu niambie ingekuwaje kama ungekuwa wewe ndio umepigwa Chuma kama LISU ungeongea huu Upumbavu wako? tangu mwezi wa 9 Mwaka jana nani kakamatwa Jinga kabisa nyiemTanzania anaeweza kumshangilia mtu aliye ulaya aau ndani ya nchi lakini anajaribu kuifedhehesha nchi yake na kuitafutia mabaya ni wa kuogopwa sana na yamkini kumtenga mbali na nchi yetu.angekua ni raia wa Korea angejuta.waTanzania wenye kuelewa tuwe makini sana na watu kama hawa,adui anaetaka kuiondoa amani ya nchi anaweza kutumia hata wananchi wenyewe wenye uroho wa pesa kuichafua nchi yao na kuahidiwa makazi huko ughaibuni,ilimladi tu watu wafanye biashara zao.mtu unaenda kubwabwaja maneno ya mji wako kwa jirani au nyumba ya saba toka kwako unalalamikia familia yako badala ya kukaa ndani mwenu msemezane mpaka muelewane,mtu gani wa namna hii fedhuri.
Huko kuna Maslah gani hadi Mzungu apeleke nguvu zakeI wish sasa akiwa huko ulaya atapata exposure ya kutosha kuhusu mambo mbalimbali ya kimataifa.
Ili nchi ifikie kiwango cha kutajwa kama mahali ambapo si salama kuishi kuna vipimo vyake vilivyowekwa kimataifa. Tanzania hatukaribii kabisa hata kwa viwango vile vya kushawishi jumuiya hizo.
Tufanye kazi jamani, mkitegemea eti hao viongozi watakuwa na jipya kwa hayo Lissu atakayowaambia mtasubiri sana. Hata kule Myamar kuna mauwaji yanaendelea tena ya kutisha, lkn mpaka sasa umoja wa Mataifa unasua sua kuhusu hatua za kuchukua. Hapa kwetu ni kitu gani kimefanyika cha kuwashawishi hao ndugu kutuwekea vikwazo.
It is a wastage of time.
Utapata faida gani tukitengwa?Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Kipi kiko huru,serikali au watu wake?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Kama huna uwezo wa kuumba mtu pia ujue huna uwezo wa kutoa uhai wa mtu mpaka Mungu aridhieSijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Nani alitoa Amri? ?? Una ushahidi?huwez kutoa amri mtu amiminiwe risas kibao namna ile halafu akae kimya tu...
We kweli unadhani huyo haelewi? Jamaa yupo kazini na ananufaika na udhalimu unaondelea Tz, mpuuzi bureMzee mizani unayotumia ni IPI? Hivi kati ya mtu anayeua watu na anayesema kuna mtu anayeua watu, yupi anadhalilisha nchi. Wacheni hizi fikra nyepesi
Uchunguz au ramli?UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Ndio,yapo mambo wakati mwingne inabidi yafanyike kw masirahi ya nchi.Kwa hiyo nchi ni bora kuliko roho ya mtu? Kwamba mtu auawe kwa vile nchi imesemwa? Mbona nchi ipo miaka yote? Isemwe isisemwe! Nafikiri roho ya mtu ni bora kuliko nchi
Akili fupi kweli wewe, inamaana hujui watu wakiwa wanapigania uhuru na haki zao wanapata nin? Mbona ufahamu wako uko kama wa ki ccm?then we upate nini?
Hayo maongezi yao ni muhimu sana ila tatizo litakuja kwa sizonje, sidhani kama ataelewa kwake itakua kama movieMhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Akili ndogo.Ndio,yapo mambo wakati mwingne inabidi yafanyike kw masirahi ya nchi.
Si kila mara nchi za Magharibi zimekuwa zikiwasiliana na serikali tu. Mfano, bila shaka umeshasikia baadhi ya serikali za nchi zinazoendelea zikilalamikia nchi za Magharibi kufadhili vikundi vya waasiKwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..