Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Mauaji hayalinganishwi, Mungu kasema usiue...hajataja idadi ya watu, burger!!
 
Kwa hiyo mlimmiminia risasi ili muondoe nuksi? Quite incredible.
 
Huyu jamaa niliwahi kusema dawa yake ni RISASI tu, na zamu hii hachomoi, labda aombe akae huko huko asirudi.
Halafu wewe utaishi milele...very stupid little monkey!!
 
Mungu kamkataa Tundu Lisu na ndiyo maana kaacha aumie!
Risasi 38 halafu unasema Mungu kamkataa?? Mungu kamkataa yule aliyetoa amri ya kuua na ndio maana alituma malaika wake kwenye tukio ili kuzigeuza risasi ziwe maji.
 
Hakuna excuse kwenye kuua mtu. Mungu anasema usiue.
 
Risasi 38 halafu unasema Mungu kamkataa?? Mungu kamkataa yule aliyetoa amri ya kuua na ndio maana alituma malaika wake kwenye tukio ili kuzigeukuuana za risasi ziwe maji.
Huyo Banyamulenge humwambii kitu kuhusu kuuana maana ni jadi yao kuanzia tumboni. Chunguza usije kuwa umepandikizwa vimelea vyao kwenye uzao wako utajuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…