Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Kazi ya kuwapa mawakili wa utetezi watu wasiokuwa na uwezo huo ni jukumu la serikali.
Sio kosa lako ni kwa sababu huna exposure hujawahi kutoka nje ya Tanganyika, pole.
Wewe hujui chochote. Kwa vile ni kazi ya serikai unadhani waziri au mwanasheria mkuu ndio anaenda kuwatetea? ua unadhani wanatetewa na mawakili au wanasheria wa serikali? Serikali inachofanya ni kuchagua mawakili miongoni mwa mawakili hawahawa, hata huyo Lissu, Karume na Kibatala na wengine wamepewa hizi kesi mara nyingi tu.
Nikukuambia kuwa hawa mawakili wako huwa wanazikacha hizi kesi utasemaje? kwa taarifa yako wanazikacha sana tu, na inafikia hadi hatua wanachukuliwa hatua za kinidhamu.
 
Na muda wanao,mawakili watafuta kiki.
Wasukuma awamu hii mmeamuwa kujitowa akili, unadhani ni kwa nini mwanamke huwa anakaguliwa na askari mwanamke WP?

Unazijuwa tarabibu za waislamu juu ya maungo ya mwanamke asiyekuwa mke wako?
 
Kama TLS inajtiolea kwenda kumtetea mtu ambaye tayari ni privileged, Fatuma Karume ni bilionea na ni mtoto wa Raisi hiyo peke yake inampa kinga kwa namna moja au nyingine!

Sasa kwa nini kama tls msiwekeze hizo nguvu kutetea Watanzania wengi wanaosota Rumande miaka na miaka bila ya kufikishwa Mahakamani?

Isitoshe Tundu Lisu keshakutana nao wengi huko, Fatuma Karume hawezi kulala Jela achilia mbali hata kukamatwa tu, ...

Hivi yule kada wa CCM aka Bolleni ni tajiri?AMemwekea dhamana na bado anamtetea Mahakamani,na huyo ni mmoja kati ya wengi wanaotetewa na Lissu bila hata kulipa senti moja, acha kutafuta kicki kwa pikipiki
 
hivi ile kesi ya makabichi kule moshi mliyodai million 500+ imeishia wapi? mmelipwa? au ombi la DC kumjumuisha AG lilikubaliwa ?, mkumbukage kuleta mrejesho basi makamanda uchwara
aiseee
 
Kama TLS inajtiolea kwenda kumtetea mtu ambaye tayari ni privileged, Fatuma Karume ni bilionea na ni mtoto wa Raisi hiyo peke yake inampa kinga kwa namna moja au nyingine!

Sasa kwa nini kama tls msiwekeze hizo nguvu kutetea Watanzania wengi wanaosota Rumande miaka na miaka bila ya kufikishwa Mahakamani?

Isitoshe Tundu Lisu keshakutana nao wengi huko, Fatuma Karume hawezi kulala Jela achilia mbali hata kukamatwa tu, ...
Hizo ni kesi za kisanii kujipa promo tu.Tunaoijua nia ya Tundu Lissu kwa sasa hatupi shida
 
TLS ivunjwe kuwe na bodi tu ya wanasheria
 
Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Hauna tofauti na nao. Kwanini unajifanya kufikiria sana wakati kinachoendelea ni kitu cha kawaida tu ? Jambo ambalo unatakiwa kulifurahia ni kwamba shitaka limefunguliwa mahakama kuu ya Tanzania. Pamoja na mapungufu ya mihimili yetu lakini wachungunzi wa mamabo ya kisheria wanakubaliana kuwa kwa kiwango kikubwa mahakama kuu na mahakama ya rufaa ni huru kwa kiwango kikubwa ( kama 60%). Tusubiri matokeo na kila mmoja aheshimu matokeo hayo. Acha fikira kandamizi ndugu yangu.
 
Kama TLS inajtiolea kwenda kumtetea mtu ambaye tayari ni privileged, Fatuma Karume ni bilionea na ni mtoto wa Raisi hiyo peke yake inampa kinga kwa namna moja au nyingine!

Sasa kwa nini kama tls msiwekeze hizo nguvu kutetea Watanzania wengi wanaosota Rumande miaka na miaka bila ya kufikishwa Mahakamani?

Isitoshe Tundu Lisu keshakutana nao wengi huko, Fatuma Karume hawezi kulala Jela achilia mbali hata kukamatwa tu, ...
Grow up child.
 
Kesi inaweza tupiliwa mbali kabla hata haijafika kizimbani kwenye cross examination ambako ndo mnapopasubiria.
 
Fatma amelia sana na umma, uchaguzi ulipofutwa Zanzibar. Huyu mwenzetu. Lissu mwenzetu.
 
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.

Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.

My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Singida vijijini wanakuhitaji.....kwa huyu TUNDU alichaguliwa KUWA MBUNGE wa kushinda MAHAKAMANI na SEGEREA?????
 
Back
Top Bottom