π€οΈπββοΈπ―πKwenye taaluma za usalama wanaitwa "A well-placed source"
Mkuu, but all in all, a good double agent, makes the first line of difference.
LISSU might have obtained that clue from a source far different from the one he blew off.
Labda amekusudia kuwapoteza maboya detectives.
π€οΈπββοΈπ―ππWewe jamaa unafikiri Lissu mjinga. Hapo kawapoteza ile mbaya kwa kusema mzee na anafikiwa kwa ndege.
Muhimu ujumbe umefika. Wanataka kumdhuru.
Mbona aliyemuambia Magufuli kafa mpaka leo hamumjui? Asingelikuwa msiri kungemjua
Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumimmm
Kwa hiyo hakuna njia nyingine ya mawasiliano tofauti na simu?Lissu hana aura ya Urais - hata uenyekiti - He is good at staying at the corner na kufanya mashambulizi - ndicho kipaji chake, au alivyokuwa bungeni pale
Huku kwingine kwenye kuhitaji hekima zaidi na utulivu huku ukijipiga speed governor mwenyewe hawezi - ataharibu.
Huyu ni kiungo mshambuliaji lkn sio captain. Na nyinyi watu weusi - mjifunze kila mtu ana kipawa chake - Lisu ni mwanaharakati - asaidie taifa kwenye harakati zake.
go sahead does not make him safe from watu wasiojulikana to trace who was that mtu mkubwa!Mbona alisema kua alimuiluza huyo MTU kama anaweza kuliweka wazi na huyo mtu akampa go-ahead?ulielewa hii sentence?
Kwani kuna shida kama mtoa taarifa mwenyewe karuhuhusu aropoke?Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Kumbe na wewe bure kabisa, yaani kama hujaelewa kwa nini Lissu ameamua kwenda public kueleza kila kinachopangwa na dola dhidi yake ndiyo maana umeishia kuwa chawa wa Mbowe tu. Unafikiri baada ya kueleza wazi jambo hilo wataendelea na mpango wao huo muovu? Hiyo ni mbinu mojawapo ya kujihami. Hivi unafikiri Lissu hajui kuwa simu zake zinafuatiliwa 24/7?Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
hajaruhusu amtaje jina, amesema atoe taarifa, definitely on condition concealing his identity....ukisema nimewasiliana na una simu tatu....watazidukua na watamjua ni nani... what follows...watamkolimba!KwNiKwani meshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Kwani kuna shida kama mtoa taarifa mwenyewe karuhuhusu aropoke?
Matusi hayo siyataki. Jibu hoja. Nitakutukana/nitakujibu accordingly!Kumbe na wewe bure kabisa
Sasa nini sijakuelewesha? Wewe kumuita Lissu mropokaji siyo tusi? Mumeshikwa pabaya na bado. Wewe unajiona unq haki ya kuwasema watu kwa lugha ya kuudhi na uchekewe tu.Matusi hayo siyataki. Jibu hoja. Nitakutukana/nitakujibu accordingly!
Pili ni matusi kumuita mtu chawa! To me ni matusi. Nitakujibu shortly, usikasirike maana umekuja na matusi nitakujibu kwa matusi
Hizo simu zake zote wanazidukua na yeye anajua hivyo. Mtapiga mayowe sana safari hii.hajaruhusu amtaje jina, amesema atoe taarifa, definitely on condition concealing his identity....ukisema nimewasiliana na una simu tatu....watazidukua na watamjua ni nani... what follows...watamkolimba!
wewe ni Lisu? MUACHE AJE AJITETEEWewe kumuita Lissu mropokaji siyo tusi?