Lissu kuwa na kaba ya ulimi, unawapa clue wafuatilie calls zako kumjua aliyekwambia kuhusu wasiyojulikana

Lissu kuwa na kaba ya ulimi, unawapa clue wafuatilie calls zako kumjua aliyekwambia kuhusu wasiyojulikana

yale yale ya kesi ya Tigo ....was there a need to call a press conference for that? Those were his confidential internal strategies. Was there a need to call for a press conference?

Ameanika, mbinu zake , sasa kawapa njia ya kupambana naye.....na ndiyo maana katoka Ulaya kakaa kimya!
Mnahangaika bure!

Mnaacha kudai pesa zenu za join the chain mpo huku kumnanga Lissu.

Lissu ana mapungufu kama mwanadamu lakini ana ujasiri Mkuu!

Ni yeye tu amebaki kurudisha tabasamu Kwa watz.

Hanunuliki kwa pesa za Abdulii
 
Wewe ndiye ulikuwa ukimshauri Lissu asirudi nchini Eti kisa USALAMA wake.
 
Back
Top Bottom