Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Tatizo lako hutumii akili kwenye jambo linalo hitaji kutumia akili.
Hapo ni Arusha sijui utasema nini tena lumumba wahediView attachment 1536996
Achana na hawa mataga ndugu yangu. Hawana lolote na ni ujinga tu umewajaa. Arusha inesimama leo kuna jamaa yangu ameniambia muda si mrefu na ninamuamini sana alafu wao wanaleta maujinga ujinga hapa na propaganda zao uchwara Eti Lissu hajapata watu!!

Lumumba wamepagawa saaana!!
 
Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Unadhani hatuna macho nini? Hongera kwa kwenda Arusha kuchoma ofisi yao.
Mkuu tuwe wakweli,!

Mimi binafsi sikutegemea mapokezi Lisu kwa jiji kama Arusha yawe ya kupooza kiasi kile.
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Kuna maandazi yanapikwa nje yanaonekana makubwa mazuri. Ukilikata ndani unakuta ni hawa tu. Basi ndiyo kilivyo kichwa cha mtoa mada. Kwa kitaalamu ni tabular rasa.
 
Wala ha

Wala haikusaidii chochote,kuandika uzushi,uzandiki,uongo.watu wamejaa pomoni.na roho imekuuma sana.mchawi tu wewe.katafute kingine.
Lisu hadi Diamond anamzidi kujaza watu
 
Lissu akili mingi sn ndio maana maccm yamepagawa..... Mzee wa Phd feki hawezi hata kuongea sentensi moja ya kiingereza kazi yake kupiga makelele, kufokafoka na kuropoka bila mpangilio
Hukumsikia leo kaongea na wazungu kanisani TAG?
 
Mleta mada ni kenge tu anafikiri kwakua wamezuia redio na tv kutangaza habari za lisu basi na sisi tumekaa kimya bila kufuatilia mitandaon...

Sisi tunayaona mafuriko ya mapokezi ya lisu nyi ccm endeleeni kukalia akili zenu ivyo ivyo.
 
Wacha ukichaa wewe lunyasi, sisi tupo hapa ni mafuriko ya kufa mtu
Aisee kuanzia njiro, unga ltd, mianzini, kwa mromboo, east africa road, msongamano hatari, magari hayaendi ni nyomo ya kufa mtu chali wangu. Jamaa hapa nimafuriko haya zuiliwi kwa viganja chaliwangu hapa ngarenalo ni balaaa
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Umeumbukaje?
 
Back
Top Bottom