Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hawa mataga ndugu yangu. Hawana lolote na ni ujinga tu umewajaa. Arusha inesimama leo kuna jamaa yangu ameniambia muda si mrefu na ninamuamini sana alafu wao wanaleta maujinga ujinga hapa na propaganda zao uchwara Eti Lissu hajapata watu!!Tatizo lako hutumii akili kwenye jambo linalo hitaji kutumia akili.
Hapo ni Arusha sijui utasema nini tena lumumba wahediView attachment 1536996
Mkuu tuwe wakweli,!Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Unadhani hatuna macho nini? Hongera kwa kwenda Arusha kuchoma ofisi yao.
Nenda kwenye account ya twitter ya Lisu uone hayana tofauti na yale ya Lisuleta picha tuone hayo mapokezi kiduchu....bila picha buku saba hatukupi!!!
Kuna maandazi yanapikwa nje yanaonekana makubwa mazuri. Ukilikata ndani unakuta ni hawa tu. Basi ndiyo kilivyo kichwa cha mtoa mada. Kwa kitaalamu ni tabular rasa.Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Tutupieni ka-picha basi tuone.Arusha hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee shikamooooo Arusha peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Bila picha, huo ni umbea
Lisu hadi Diamond anamzidi kujaza watuWala ha
Wala haikusaidii chochote,kuandika uzushi,uzandiki,uongo.watu wamejaa pomoni.na roho imekuuma sana.mchawi tu wewe.katafute kingine.
Ndio mafuriko haya?
Hukumsikia leo kaongea na wazungu kanisani TAG?Lissu akili mingi sn ndio maana maccm yamepagawa..... Mzee wa Phd feki hawezi hata kuongea sentensi moja ya kiingereza kazi yake kupiga makelele, kufokafoka na kuropoka bila mpangilio
Aisee kitovu cha upinzani alafu watu kiduchu namna hii?Tatizo lako hutumii akili kwenye jambo linalo hitaji kutumia akili.
Hapo ni Arusha sijui utasema nini tena lumumba wahediView attachment 1536996
Watu Wangapi wamekufaWacha ukichaa wewe lunyasi, sisi tupo hapa ni mafuriko ya kufa mtu
Mleta hoja acha kuweweseka! tsunami inakuja na ccm mtakuwa na hali ngumu sana kipindi hiki!
[/QUOTE
Akiwa wa moto watu ndo hao sasa akianza kuwa baridi ndo wataongezeka?
Kapicha mkuuWacha ukichaa wewe lunyasi, sisi tupo hapa ni mafuriko ya kufa mtu
Aisee kuanzia njiro, unga ltd, mianzini, kwa mromboo, east africa road, msongamano hatari, magari hayaendi ni nyomo ya kufa mtu chali wangu. Jamaa hapa nimafuriko haya zuiliwi kwa viganja chaliwangu hapa ngarenalo ni balaaaWacha ukichaa wewe lunyasi, sisi tupo hapa ni mafuriko ya kufa mtu
Umeumbukaje?Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Hahaaa...... Wale sio wazungu ni wadhunguu...Hukumsikia leo kaongea na wazungu kanisani TAG?
Kama chugah ndo hvyo basi nidalili mbaya kwa makamanda