Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

CCM :Arusha wamsusia TAL

CDM :mafuriko ya watu Arusha hapatoshi ni mkanyagano tu.

#CCM wamekuwa Co worker na CDM tangu lini hadi wafike hatua ya kuwa wasenajli wa CDM?

Enyi makada wa CCM mmekosa kazi kwa Chama chenu? Kwa nini kila uchwao mnalipoti habari zisizo wahusu?

Mnapaswa mtulie maana 2020 Ni Yeye Yule

Mtaharisha sana 2020
 
Siku anatafuta wadhamini kule kahama ilikuwa ni vituko watu wachache sana walijitokeza nami nilikuwa miongoni kwa huo msafara,na boda boda waliojitokeza ni wale waliojaziwa mafuta Lita mbili ili kuongeza hamasa

Nilisiktika sana kuona huyu mtu eti mabeberu wanamtegemea kuwa atashinda urais,na kama fadhira kwao raslimali zetu zichumwe na wao

Kiufupi huyu mtu anahitaji huruma kubwa sana
Huo ni Congo wa kijinga video zipo
 
Mwanza hatuna shida naye kabisa msaliti mkubwa huyo. Hata Kahama ameabika tu!
Hivi uongo utawafikisha wapi nyie nguruwe? Haya, Kahama hiyooo!
LissuKahama.jpg
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Ukweli umati unaompokea TAL kote anapokanyaga unfashionable shughuli ya CCM kubaki madafakaninitabidi iwe zaidi ya bao la mkono
 
Mafurikoo ya Lipumba yameonyeshwa kwenye TV zote kwa mapana take kwa sababu hayana efect yoyote kwa CCM.."Ni dawa TU mwanamke anaweza kuwa Amekaa loose sehemu kajiachia TU hata nguo ya ndani inaonekana,Watoto wakipita karibu Nate,WALA hajali..kwa Bahati tu, akiingia mbaba yeyote eneo Hilo utaona Hiyo mwanamke atakavyokuwa akihangaika kujifunika maana anajua Fine limeingia..Lipumba Ni mtoto TU kwa CCM(Haimuogopi)..Tindu Lisu Ni Dume..(akiwa Around CCM Wanahangaika kujifunika)
thetallest,
Ndio maana TV hazionyeshi au siyo? Mafuriko ya jana ya Lipumba si umeona TV zote wameonyesha?
 
Jipya ni kujenga uwanja wa ndege chato bila idhini ya Bunge.
Ni kweli kwake ni jipya maana wakati mwenzie anajenga nchi ukiwemo huo uwanja, yeye kamaliza matibabu anazunguka Kwa mabeberu kumchafua JPM na nchi Kwa ujumla halafu bila soni anarudi kuomba urais kwa walewale aliowachafua na wenye akili za kushikiwa wanamshangilia
 
hata ingekua in sense kwamba watu wametumwa haiwezi kua hai nzima, ulikuepo eneo la tukio? kama hukuepo uliza yoyote aliekuepo atakwambia , infact sio mara ya kwanza! mbowe yalishamkuta na wananchi wakahojiwa wakasema wamechoka siasa za cdm! kwanza mnasifia msafara wakati ulikua wa kitoto kabisa, yaani ukiachana na hao boda mliowapa 5000 ya mafuta hakuna msafara pale, infact hata boda walikua hawana vibe ni basi tu nan hataki ela

Narudia tena maana sioni hata kama unajua unaloongea, kama mtu hatakiwi, kupigwa mawe tena mbele ya polisi ndio namna ya kumkataa mtu? Na ni kwanini huo mchezo wa kupiga mawe iwe Hai tu, tena hayo yawe mbele ya polisi? Hivyo vijimaneno vya kiingereza sijui infact mara sense, vinakufanya uonekane juha fulani unayedhani uhalifu ndio siasa.
 
Ni kweli kwake ni jipya maana wakati mwenzie anajenga nchi ukiwemo huo uwanja, yeye kamaliza matibabu anazunguka Kwa mabeberu kumchafua JPM na nchi Kwa ujumla halafu bila soni anarudi kuomba urais kwa walewale aliowachafua na wenye akili za kushikiwa wanamshangilia
Mchafu hachafuliwi bali kumpa sifa ya uchafu wake.
Magufuli hafai hafai ni mnafiki mkubwa.
Utauaje raia wako?
Kama hajaua mbona hakukerwa na mauaji ya wapinzani au watu kutupwa kwenye viroba?
 
watu wasome coment huko istagram kwa post za kumbusho za Lissu ndio utajua watu wameshanza kumchoka

Mbona anaongea utoto, sasa kwa sababu sio wa kwanza kwa hiyo visifanyike??
Yaani kawafanya wanaomsikiliza ni wajinga, kwa kusikiliza pointi za kijinga, huyu muongeaji atakuwa ni " mjinga"
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!

Hayo kamfundishe Jiwe wenu atokwe na ushamba aongoze nchi kistaraabu.

TL hahitaji tuition yako ya kilevi. Kawaambie TISS wajiandae kupambana na wenzao wanaojua kazi. Mbona wajuzi wameingia na kutapakaa nchi nzima bika wao kujua?

Hawaendeshi mambo kijinga na kizamani kama wao. Wako mbele yao miaka 100. Wajaribu waone mechi zinavyochezwa.

Au wanafikiri watu wamekurupuka kww haya wanayoyaona? Hatuendi kwa kufuata upepo. Hatupangi kwa kutegemea wingi wa watu unaowaona. Hiyo ni akili ya chekechea.

Fuatilia utajionea. Time out!
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Pumba tupu............
 
Back
Top Bottom