Jibu murua uzi ufungwe.Wamesema hivi, Maana ya kauli yao siyo kususia Uchaguzi bali uchaguzi hautakuwepo, sijui kama unaelewa, yaani bila maboresho ya Sheria uchaguzi hautafanyika, Afe beki afe kipa
Maridhiano hayakuwekwa kwa ajili ya yenu, kuna vyama zaidi ya 15 vitashiriki mchakato huu na mambo yatakwenda vizuri kabisa bila yenu.Wamesema hivi, Maana ya kauli yao siyo kususia Uchaguzi bali uchaguzi hautakuwepo, sijui kama unaelewa, yaani bila maboresho ya Sheria uchaguzi hautafanyika, Afe beki afe kipa
Mkuu,Mnataka kujipa ukubwa ambao hamna
usilaumu bila kujua mkuu, hawajasema hawashiriki uchaguzi isipokuwa hautakuwepo endapo reforms hazijafanywaMnataka kujipa ukubwa ambao hamna
No reform no election, Shika hii sentensi.Maridhiano hayakuwekwa kwa ajili ya yenu, kuna vyama zaidi ya 15 vitashiriki mchakato huu na mambo yatakwenda vizuri kabisa bila yenu.
Mnataka kujipa ukubwa ambao hamna, kama ni wakubwa kweli, CCM isingeshinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa asilimia zaidi ya 98%.
Kama ni wakubwa kweli msingeshindwa kusimamisha wagombea chini ya asilimia 30% ya mitaa na vijiji vyote nchini.
Chama chenu ni kidogo sana, mnadanganywa na likes na RTs mtandaoni na kujipa ukubwa ambao hamna.
Dawa yetu tunayo, 2025 ndio mwisho wa jeuri yenu, lazima tuwakate midomo.
TUWAKUMBUSHEMkuu,
Hakuna kujipa ukubwa kwa mwananchi yeyote kutumia uhuru wake wa kikatiba kueleza maoni yake kuhusu nchi iendeje.
Kutoa maoni tu hakuwezi kujipa ukubwa. Tatizo hapa si Lissu kujioa ukubwa, tatizo ni Watanzania wengi kujidogosha.
Mtu akishika mtutu na kulqzimisha nchi iende anavyotaka yeye, hapo unaweza kusema huyo kajipa ukubwa.
Lakini kutoa maoni tu? Kama watu wanaona maoni yake hayafai si watampotezea tu na kuiacha "the marketplace of ideas" iamue.
Mbona hizi ni haki za msingi kabisa za kikatiba na kibinadamu, mtu akizitumia tu, kwa vioe hamzijui au mnazidharau, mnasema kajipa ukubwa.
Tatizo liko wapi?
kwema.Mwamba uliadimika sana kipindi cha mwendazake,nini kilitokea mkuu?Wanakumbi.
Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!.. Sasa mbona mnabadili gia angani tena? Imekuwaje?
Shikilieni hapo hapo muone kitu mtafanywa mwezi Oktoba 2025 !..Wajinga sana ninyi!..
Tukiwaambia huyu mtu ni makelele tu na blah blah lakibi hana uwezo wowote wa kugomesha watu kushiriki uchaguzi hamkuwa mnaelewa..😁😁
Haya kiko wapi?!!
Maskini com kila wanavyojaribu kujikwamua kwenye makucha ya CHADEMA wanashindwa😂Wanakumbi.
Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!.. Sasa mbona mnabadili gia angani tena? Imekuwaje?
Shikilieni hapo hapo muone kitu mtafanywa mwezi Oktoba 2025 !..Wajinga sana ninyi!..
Tukiwaambia huyu mtu ni makelele tu na blah blah lakibi hana uwezo wowote wa kugomesha watu kushiriki uchaguzi hamkuwa mnaelewa..😁😁
Haya kiko wapi?!!
Sheria zimepita lakini hilo bunge kuna wapinzani na wananchi wengi hawalitambui kuwa lina uhalali, halina uwakilishi.TUWAKUMBUSHE
Tume ilizunguka kuchukua maoni na Chadema wakasusa wakaandamana na kuandika barua mpaka UN kupinga na ilikuwa ni haki yao kwa kuwa kupinga ni kawaida yao!..
Sasa ni hivi miswada minne ya uchaguzi ilishapita kwenye mchakato na bunge likamaliza kazi yake na sasa ni sheria rasmi, sheria hizo ni kama ifuatavyo;
⚫️Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani namba moja ya mwaka 2024;
⚫️Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba mbili ya mwaka 2024;
⚫️Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa namba tatu ya mwaka 2024;
⚫️Sheria ya Marekebisho ya sheria mbalimbali namba nne ya mwaka 2024.
Sijajua wanataka marekebisho gani? Kama hawakujipanga na uchaguzi waambieni watu wao.
Unajibizana na huyu katoka Iraq juzi juzi, kaozeshwa kitoto cha miaka 9 atakusikia? Huyu miungu yake ni waarabu.Sheria zimepita lakini hilo bunge kuna wapinzani na wananchi wengi hawalitambui kuwa lina uhalali, halina uwakilishi.
Mwendazake alikaba mpaka penati akajikuta hana mpinzani bungeni atatiliwa vikwazo kimataifa ikabidi alazimishe mtu atolewe gerezani usiku kuja kuwa mbunge wa upinzani.
Tukapata wabunge wa upinzani 19 wa kituko bungeni, wabunge hawakutambuliwa na chama chao, ili kuwa mbunge inabidi uwe na chama, lakini hawa walikubalika bungeni bila ya kukubalika na chama chao.
Ina maana maigizo yote haya yanayoonesha bunge halina uhalali huyafahamu au unajitoa akili tu?
Juzi juzi umeozwa kitoto cha miaka 9 kule Iraq, na sasa umeshaanza kelele.Msome huyu Bavicha.
mtakuya povu ssfari hiiWanakumbi.
Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!.. Sasa mbona mnabadili gia angani tena? Imekuwaje?
Shikilieni hapo hapo muone kitu mtafanywa mwezi Oktoba 2025 !..Wajinga sana ninyi!..
Tukiwaambia huyu mtu ni makelele tu na blah blah lakibi hana uwezo wowote wa kugomesha watu kushiriki uchaguzi hamkuwa mnaelewa..😁😁
Haya kiko wapi?!!
Leteni mikataba ya DP World bungeni kama mlivyoahidi.Wanakumbi.
Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!.. Sasa mbona mnabadili gia angani tena? Imekuwaje?
Shikilieni hapo hapo muone kitu mtafanywa mwezi Oktoba 2025 !..Wajinga sana ninyi!..
Tukiwaambia huyu mtu ni makelele tu na blah blah lakibi hana uwezo wowote wa kugomesha watu kushiriki uchaguzi hamkuwa mnaelewa..😁😁
Haya kiko wapi?!!