Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!..We jamaa ni mweupe mno kichwani mwako, sometimes piga kimya kuficha ujinga wako machoni pa watu
Sasa kama chadema wanajipa ukubwa ambao hawana kwa nini kucha kutwa mnahangaika kuwajibu majukwaani
Hapa ni hakuna mabadilo, hakuna uchaguzi elewa neno hakuna madiliko hakuna uchaguzi , au kiswahili kigumu
Hakuna mwenye pumbu za kuzuia uchaguzi kati yao. Hiyo ilikuwa chorus ya kuombea kura tu.Wamesema hivi, Maana ya kauli yao siyo kususia Uchaguzi bali uchaguzi hautakuwepo, sijui kama unaelewa, yaani bila maboresho ya Sheria uchaguzi hautafanyika, Afe beki afe kipa
Unataka ukamiliki ardhi Zanzibar (1,658 square km)? Ardhi yenyewe iko wapi kwenye vile visiwa ambavyo eneo lake ni dogo kuliko wilaya ya Kibaha yenye 2,452 square kilometres.N A K A Z I A
Umma Unapoelimishwa Nguvu Kubwa Sana Ya Uelewa Wa Hilo Jambo Huenda Mbali Mpaka Vijijini. Yule Member Anajizima Data Halafu Wewe Unawasha Data
Nakumbuka Mwaka Jana Lissu Akiwa Dodoma Kiwanja Cha Mpira Alimwaga Darasa Kuhusu Haki Ya Kumiliki Ardhi Zanzibar Kwa Mtanganyika
WATU Wengi Walielimika Na CCM Wakaumia Sana
Huyo ndiyo Lissu atakayeitia matundu chadema na kuishia kujuta kwanini hawakumstukia mapema.Wanakumbi.
Endeleeni tu kuwa msimamo wenu ni "No reform No election" yaani tafsiri yake iko wazi kuwa bila mabadiliko hakuna uchaguzi!.. Sasa mbona mnabadili gia angani tena? Imekuwaje?
Shikilieni hapo hapo muone kitu mtafanywa mwezi Oktoba 2025 !..Wajinga sana ninyi!..
Tukiwaambia huyu mtu ni makelele tu na blah blah lakibi hana uwezo wowote wa kugomesha watu kushiriki uchaguzi hamkuwa mnaelewa..😁😁
Haya kiko wapi?!!
Nadhani aliyasahau baada ya kutangazwa matokeoVipi mambo ya No Reform No Election 😁😁😁
Kama uchaguzi hamna, unashiriki kitu gani?Kuna kushiriki uchaguzi na kutokuwepo kwa uchaguzi
wewe ndo hukuelewa
Hii akiri ya kidwazi sana. Nini kinapelekea kuengua wagombea na kuwatisha. Kama ccm ni kubwa iwekwe tume huru na katiba huru then twende ground tukachaguliwe kwa haki uone kama ccm itashinda?.Maridhiano hayakuwekwa kwa ajili ya yenu, kuna vyama zaidi ya 15 vitashiriki mchakato huu na mambo yatakwenda vizuri kabisa bila yenu.
Mnataka kujipa ukubwa ambao hamna, kama ni wakubwa kweli, CCM isingeshinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa asilimia zaidi ya 98%.
Kama ni wakubwa kweli msingeshindwa kusimamisha wagombea chini ya asilimia 30% ya mitaa na vijiji vyote nchini.
Chama chenu ni kidogo sana, mnadanganywa na likes na RTs mtandaoni na kujipa ukubwa ambao hamna.
Dawa yetu tunayo, 2025 ndio mwisho wa jeuri yenu, lazima tuwakate midomo.
Ni lazima utakuwa unaishi akhera wewe.Ni kweli sasa hivi nina wake wawili Mama yako mzazi Bi mkubwa. Jambo la kufurahisha sana.
Muislam gani wewe waislam ni waarabu bwana.Hivi kwa nini Pro~Chadema wengi wanachuki sana na Waislam? Mpaka leo huwa najiuliza sana Waislam waliwakosea nini ?
Watafanya kipi ili uchaguzi usiwepo? Uwezo huo wa kuziia kuwepo kwa uchaguzi wanao?Wamesema hivi, Maana ya kauli yao siyo kususia Uchaguzi bali uchaguzi hautakuwepo, sijui kama unaelewa, yaani bila maboresho ya Sheria uchaguzi hautafanyika, Afe beki afe kipa