Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
Juzi Mbowe aliongeabkwa uchungu.
Leo Lissu ameongea kwa ukali.

Na kwa vyoyote kauli za Lissu zinaonyesha kuwa jamaa amewanyanyasa sana.
......kabisa na ni wazi watu hawana staha wala uvumulivu naye tena!

.......dah, I feel pity for him. Waliomshauri kuchukua mkondo huu walikosea sana

........hata hivyo bado muda upo wa kuweka mambo sawa akitaka. La hataki, acha tuone wataishia wapi
 
Lissu amenyooka, hataki kona kona
 
Well
 
Ndio maana Nchi inauzwa mikataba inafichwa watu waoga waoga kuambiana uwazi na ukweli.

CCM inanuka RUSHWA na sasa CHADEMA nayo imeambukizwa RUSHWA.

SASA SISI WAZALENDO TUKO NA TUNDU LISSU.
Haya ngoja tusubiri
 
Tundu Antipas Mugwai Lisu Hana mambo ya gizani, hata mauti yalimuogopa kwa uwezo wa Mungu. Hana chakuficha .Nyeupe kwake ni Nyeupe.
Anao utume kwa ajili ya watanzania hususa watanganyika🤣🤣
Mambo ya kuuana na kutekana harafu unaita haya ni siri.

Siku zote watawala wanatumia Siri kunyanyasa watu.

Imagine kumbe muda wote huo Lissu na Mbowe walisuruhishwa. Kikao cha heshima kabisa wali conclude kwamba Lissu agombee.

Saaa Mzee wa Kubadili Gia angani akamgeuka tena hadharani na bado anataka kutumia kichaka cha usiri.

Yale yale ya Kaflagi
 
Mungu akuweke Sana Mkuu. Nchi inahitaji watu potential kama wewe!🙏
 
😂😂😂😂😂😂😂
Ila Lissu jamani huwa ananifurahisha anavyoongea


No wonder hata zile risasi alipigwa na chadema wenzake
Ila wakamtupia zigo baba wa watu.
Chadema walienda kuwaondoa walinzi wa AREA D na baadae wakaenda kung'oa CCTV CAMS na na footage hazijawah kuvuja kokote mtandaoni. CHADEMA WANA NGUVU SANA
 
Ni vyema tu wakubaliane kuokoa hicho chama. Wampitishe Mbowe kugombea Uwenyekiti kwa mara ya mwisho na Lisu kugombea urais. Win win situation.
 
Lissu ni mkweli sana
 
Juzi Mbowe aliongeabkwa uchungu.
Leo Lissu ameongea kwa ukali.

Na kwa vyoyote kauli za Lissu zinaonyesha kuwa jamaa amewanyanyasa sana.
Yule jamaa ni hatari yule.
 
Hamna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa upande wa pili wa Lissu( Na uzuri wa Lissu huwa hana konakona, hata ukimwambia hii ni siri kuna siku utaikuta gazetini)
Kuna siri nyingine sio siri ni ujinga tu.
Ukweli lazima usemwe ili wababishaji wanaohujumu chama na kukidhorotesha wajulikane.
Chama hakiaminiki kwa sababu ya kutunziana ujinga unaoitwa siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…