Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.hapo ndo utajua nch hii chama cha upinzan nikimojatu chadema pekeeMama nchi imemshinda, mwoga anaogopa CHADEMA, hii ni dalili kubwa kuwa uchaguzi mkuu ujao utakuwa WA ovyo sana
Kwa hyo wanafanya kazi kwa manufaa ya marehemu kwa sasaMarehemu aliacha mawakala wake wako kazini.
Ndio na warithi wakeKwa hyo wanafanya kazi kwa manufaa ya marehemu kwa sasa
Nan huyoanapima maji kwa mti
Si kila zama na Mambo yake? Aliyepo anashindwa nn kuwadhibiti au hana uwezo?Ndio na warithi wake
Weka ushahidi, nyinyi watu wakiandika ukweli mnasema kumponda.Wewe ulikuwa ukimponda Magufuli....tumejua kumbe ulikuwa ukimponda kwa Chuki tu. Maana aliyofanya magu ndio hayo hayo unayakubali kwa Samia.
wanafiki sana nyie watu.
Hizi hapa sera za CCM:Ccm ina sera gani.au unajiandikia tu ujinga.Nchi imeshawashinda ndo maana hamtaki siasa zakistarabu.miaka 60 mko madarakani bado mnaogopa upinzani hiyo maana yake mmeshindwa.
Fisi huwa hawajielewi hata Mwabukusi ni wao walimpa kikiMwabukusi where are you my friend!
Ccm chama changu hakuna haja ya kuogopa!!
Sasa basi kwakuwa chama kimekosa watu wenye akili za kisayansi wameshauri ujinga na ujinga huu unaenda kutugharim!!
Kongamano la Bavicha ndio litafana zaidi na kuwa kiki kubwa kisa hao jamaa wamekamatwa!!yaani mmewapa kiki Bavicha na watapata huruma ya wananchi!!
Mngefanya kama mlivyo handle maandamano yalivyolindwa na polisi na mkutano wao mngelinda hivyo hivyo !!
Mngewaita viongozi wa kamati kuu na kuwashauri mkutano uwe wa amani kuliko kuwakamata!
Acha matusi. Hiyo mikataba mibovu iliyovunjwa unajua fika ni nali aliingia kwa maslahi yao binafsi na sio kwa faida ya watanzania.Weka ushahidi, nyinyi watu wakiandika ukweli mnasema kumponda.
Magufuli kafanya makosa makubwa sana kwa ujinga wake, tutalipa madeni yake mpaka tujiharishie, kuna kesi lingine la matrilioni linatungoja, huelewi hilo?
Aliingizwa chaka na "maprofesa uchwara" na kwa ujinga akauvaa kichwa kiuchwa ujinga wa profesa wa jalalani.
Sasa nambie kama huo nilioundika siyo ukweli.
Hata mwanao unapenda lakini anapokosea unamkanya na kumwabia, Kwani magufuli ni nani kisisemwe alipokosea?
Hahahaha, hakuna mkataba mbovu uliovunjwa, usidanganye watu.Acha matusi. Hiyo mikataba mibovu iliyovunjwa unajua fika ni nali aliingia kwa maslahi yao binafsi na sio kwa faida ya watanzania.
Kipindi cha Magufuri ulikiambia humu inaonekana wewe ni mpigajiVyama visivyo na sera hatuwapi nafasi hata kidogo, tunakaba mpaka penati.
Ukiona chama hakina sera elewa kuwa hicho ni chama cha wahuni tu.
Upinzani wa CCM utatokea CCM. Kumbuka hilo.
Alikwambia wewe kuwa atatimkia CCM?Ivi Lissu si alisema atatimkia ccm kama chadema itaacha misingi yake? Nafikiri anashuhudia ccm ilivyo au tuseme huwa ni njaa tu kufuata vyeo ilhali wanajua yaliyoko ccm
Nguvu ya Umma uwa ni kubwa sanaPolisi wetu ni sawa na mgambo tu mbele ya raia siku wakiamua, ratio ya polisi na raia haijakaa vizuri!
Siku raia wakiamua Polisi wanakimbia na kutelekeza magari yenye maji ya kuwasha, mbwa farasi, na land cruiser pickup 🛻.
Wanaweza pia kutelekeza vituo vya Polisi siku nguvu ya umma ikiamua.
Huyo bibi uwa ni dishi akili amna hapo Udini umemjaaWewe ulikuwa ukimponda Magufuli....tumejua kumbe ulikuwa ukimponda kwa Chuki tu. Maana aliyofanya magu ndio hayo hayo unayakubali kwa Samia.
wanafiki sana nyie watu.
Naam, watu siku Moja watapiga selfie na hao mgambo Polisi, watapiga picha mbele ya magari yenyeNguvu ya Umma uwa ni kubwa sana
homera bhabha!Homera again
Hizi hapa sera za CCM:
View: https://www.scribd.com/document/257406205/Sera-Za-Msingi-Za-CCM
Nakushauri, kama data zako ni za kuvizia simu ya sheeji yako usifunguwe, utagombana na mwanamme wa dada'ko.
Analiwa kichwa safari hiiHomera again