Lissu na Muungano wa mchongo, aeleza kutekwa kwa Jumbe

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.

Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.

Sikilizeni hapa cheche zake.
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwamba kodi zetu hazina kazi zaidi ya kulipia marais watatu misafara?

Muungano siku zote ni serikali 1, haya mambo ya serikali 2 au 3 mliyaota wapi?!
Kwa nini tuwe na serikali nyingine ndani ya Muungano kama ilivyo sasa wakati Muungano ni Serikali moja?

Yaani kwenye familia yako unaweza kuruhusu mtu mwingine awe Baba ambaye atacontrol baadhi ya wanafamilia huku wewe ndio ukiwa Top controller wa wote?
 
Kwa nini tuwe na serikali nyingine ndani ya Muungano kama ilivyo sasa wakati Muungano ni Serikali moja?

Yaani kwenye familia yako unaweza kuruhusu mtu mwingine awe Baba ambaye atacontrol baadhi ya wanafamilia huku wewe ndio ukiwa Top kucontrol wote?
Bara ndiyo top control!!
 
Huo muungano hauwezi kusimama ukichambuliwa na kujadiliwa kwa uwazi, una matobo mengi tangu mwanzo.
Ndiyo maana waumini wake wanataka uwe kama dini, usihojiwe.

Muungano wa watawala usiotakiwa na wananchi wa nchi mbili husika hauwezi kudumu, kuna siku utasambaratika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…