Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
😀Siri ya muungano Nyerere kaenda nayo kaburini. Hata Karume mshiriki mwenza alikuwa anaona mapichapicha 🤔
Mpaka akamwambia Mwalimu "ama tufanye serikali moja tu bwana!!"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Siri ya muungano Nyerere kaenda nayo kaburini. Hata Karume mshiriki mwenza alikuwa anaona mapichapicha 🤔
UK na USA waliiona Zanzibar strategically important enzi zile za vita baridi ya West na Soviet Union !H
Hii siri hata Uingereza na USA wanaijua vizuri
Sijawahi kusikia wakisema Muungano usijadiliwe !Sijui kwanini huu Muungano unang'ang'aniwa na CCM na hawataki kabisa watu waujadili kwa lolote.
Huo muungano hauwezi kusimama ukichambuliwa na kujadiliwa kwa uwazi, una matobo mengi tangu mwanzo.
Waumini wake wanataka uwe kama dini, usihojiwe.
Muungano wa watawala usiotakiwa na wananchi wa nchi mbili husika hauwezi kudumu, kuna siku utasambaratika
Ukivunjika you suffer the consquences. Hivi nyie huwa hamtumii akili? Unapoona Nchi yenye idadi ya watu wasiozidi million moja imeungana na Nchi yenye idadi ya watu zaidi ya million 60, ujue hapo kuna swala moja kubwa la kiusalama na swala jingine la Siasa ni mengineyoHuu muungano uchwara uvunjwe tu umekaa kichawi
Sasa hata kama mkiujadili na maoni au kasoro zilizopo hazifanyiwi kazi na mnaitwa maadui wa muungano huo mjadala unasaidia nini!Sijawahi kusikia wakisema Muungano usijadiliwe !
Kama imekatazwa mutujuze na sisi ambao tupo nyuma ya wakati !🙏🙏
Lakini ni bora ujadiliwe ili mapungufu yake yarekebishwe. !Sasa hata kama mkiujadili na maoni au kasoro zilizopo hazifanyiwi kazi na mnaitwa maadui wa muungano huo mjadala unasaidia nini!
Ndiyo hawatakiLakini ni bora ujadiliwe ili mapungufu yake yarekebishwe. !
Mimi na Wazee wenzangu wenye mawazo ya kizamani karibu tunaisha !Ndiyo hawataki
Anamaslahi nao yepiHuu muungano upo chini ya mwingereza na unalindwa Kwa nguvu zao
Hilo ni dhahiri.Mimi na Wazee wenzangu wenye mawazo ya kizamani karibu tunaisha !
Kizazi kipya kitakachokua hai kipindi hicho kitaujadili tu Muungano na wataelewana tu !!
Kwamba kodi zetu hazina kazi zaidi ya kulipia marais watatu misafara?
Muungano siku zote ni serikali 1, haya mambo ya serikali 2 au 3 mliyaota wapi?!
CCM mwenyewe ukiwauliza tofauti na Mwenyekiti wao hawajui faida za muungano
Anakuwa na kinga ya kuiba bila kusumbuliwa na TAKUKURU
Jumbe aliwahi kusema nilienda Dodoma nikiwa Rais, nikarudi Kigamboni nikiwa mkulima
Kweli aseeWanazijuwa faida za kuungana kwao, kwa sababu unawafaidia wao na familia zao na wako tayari kuuwa watu ili wabakie madarakani