Lissu na Muungano wa mchongo, aeleza kutekwa kwa Jumbe

Lissu na Muungano wa mchongo, aeleza kutekwa kwa Jumbe

Kwa mtazamo wowote ule, hali ya muungano wetu kisiasa, ni tete.

Hali hii ya hatari inatokea kwasababu nchi kwa sasa imejikita katika kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu 2025.

Wanasiasa kutokea pande zote- yaani wale walio madarakani na wale wanaotafuta madaraka-wanatumia nyakati hizi kuchochea mihemeko For media attention and public discourse.

Aliyekuwa Raisi wa Kwanza Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alishawahi kutoa nasaha kwa Wananchi. Hata hivyo ni lazima tuendelee kwa tahadhari. Safari hii, kama alivyosema Mwalimu, na jana Waziri Mkuu mstaafu Joseph Warioba-inaweza kuwa mbaya zaidi.

Nkaburu.
 
Lakini inasemekana kwamba Hayati Maalim Seif ndiye aliyemsagia kunguni hayati Jumbe kwa hayati Nyerere kwamba ana mpango wa kuuvunja Muungano !
Je huu uvumi una ukweli ??
Au ni porojo tu ?!
Yale makaratasi yake ya kutaka kujitoa kwenye muungano aliyapata vipi Maalim Seif, kwani alikuwa akifanya kazi ofisi ya Jumbe ikulu?
 
Nakala imefika

Ukweli ni kama upembe wa ng'ombe , haufichiki

Viongozi wanajidanganya ! hali ya Muungano ni mbaya sana, chuki imetamalaki na waliobeba Muungano yaani Watanganyika wamechoka. Wakitoa hoja ni uchochezi ni matusi. Wazanzibae waakidai Passport ni sawa tu, wakitukana Muungano kama anavyofanya Jussa na Masoud Othman inaitwa kero.

Tunahitaji Tanganyika, kama hawataki jina hilo basi tunahitaji serikali ya Bara, kama hawataki wachague jina lakini kinachohitajika hakibadiliki , ni serikali ya Tanganyika isimamie masilahi yake na itue baadhi ya mizigo

Kuna wajinga wanasema serikali 3 ni gharama, well, serikali mbili ni gharama zaidi kwasababu Tanganyika inabeba mambo yake, mambo ya Muungano na inabeba SMZ.

Hakuna namna, tunahitaji Serikali ya Tanganyika. Rais SSH akipuuza huu Muungano utafia mikononi mwake! 100%

Othman masoud wapi alipotukana ?? unaweza kuniambia tusi hapa ??


View: https://www.youtube.com/watch?v=ZdRPMylxhsI
 
Wapi nilisema ni video hiyo!

Narudia tena Othman Maosud na Jussa wanautukana Muungano kila siku, hiyo inaitwa kero
Akizungumza Mtanganyika ni ubaguzi! It's time up

Tunahiaji serikali ya Tanganyika, halafu kama Zanzibar wanataka Muungano waje tukae pamoja si kuzungumzia namna ya 'kugawana' bali namna ya kuendesha na kufaidika. Narudia Tanganyika haina cha kupoeza!

Sijakuambia hiyo ni video , usibabaishe maneno , lete tusi walilotukana Jussa na Othman masoud kama unalo

hakuna mtu anataka huu uvamizi wa kuuliwa Wazanzibari na kunajisiwa wanawake kila uchaguzi katika jitihada zenu za kuweka vibaraka wenu , hivi mnakuja kuuwa watu ili tuwanyonye ??
 
Huu muungano uchwara uvunjwe tu umekaa kichawi

Huu si muunganio ni uvamizi uliopewa jina la muungano na ndio maana kila uchaguzi wanakuja wanajeshi kutoka Tanganyika kuja kuuwa watu katika jitihada za kuwaweka vibaraka wa Tanganyika huku Zanzibar watawale
 
Wapi nilisema ni video hiyo!

Narudia tena Othman Maosud na Jussa wanautukana Muungano kila siku, hiyo inaitwa kero
Akizungumza Mtanganyika ni ubaguzi! It's time up

Tunahiaji serikali ya Tanganyika, halafu kama Zanzibar wanataka Muungano waje tukae pamoja si kuzungumzia namna ya 'kugawana' bali namna ya kuendesha na kufaidika.

Siku hizi Wazanzibar wana 'slogan' mpya eti kuwe na Formula ya kugawana rasilimali za Tanganyika kama anavyoshauri Amina! Yaani wao wanajua formula moja tu ! kugawana. Kuchangia ni msamiati

Narudia Tanganyika haina cha kupoteza! Huu Muungano ni kuwasaidia Zanzibar, Mtanganyika hanufaiki na chochote wala usipokuwepo hapotezi chochote!
Hebu onyesha hayo matusi ya othman masaud na huyo jussa
 
Anaongelea ubaya wa muungano mikoani, mwambieni afike Tandika Dar es Salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko

Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wap,i sijui Mpwapwa sijui Iringa sijui wapi

Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano Mbagala au Temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku.
 
anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake

Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko

Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi

Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Hapa ndio umemaliza kujibu hoja zake?
 
Tandika Mwembe Yanga

anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake

Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko

Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi

Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Your bomboclaat batman
 
anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake

Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko

Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi

Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Mm nafikiri hoja za Tindu Lissu, zinawapotezea watanzania muda.Hana hoja za, mashiko. Anatakiwa hawataje ma fisadi wa Tanzania wakiongozwa na Kikwete na Rostam Azizi walivyoliibia hili taifa pesa, nyingi sana. Lakin anaongea vitu vyepesi visivyo na maana. Nchi kama Zanzibar hata, tukihamia huko watanganyika wote hatutatosha. Ni nchi ndogo sana kama mkoa wa, Manyara. Mbona CDM haina hoja ya mafisadi kama zamani??
 
Tunashukuru sana kwa kutupa location ya walipo wazanzibari ili siku ya kuwarudisha kwenye nchi ikifika tusiwatafute sana
Pia si mlisema hawana machogo.
 
Back
Top Bottom