Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu alishindwa na Jiwe itakuww nyie wala urojoAnaongelea ubaya wa muungano mikoani, mwambieni afike Tandika Dar es Salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wap,i sijui Mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano Mbagala au Temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku.
anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake
Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Muungano huu uliopo ulikuwa ratified na wawakilishi Wao waliowachagua yaani baraza la wawakilishi Zanzibar na bungeUngeambiwa mfano utengeneze muungano na Rwanda au Burundi leo. Ungetengeza muuungano kama huu? Mfano Tanzania ichukue nafasi ya Tanganyika na Rwanda ya Zanzibar. Rwanda iwe na haki zote kama Mzanzibari kwenye huo muungano.
Ungewapa. Wananchi wa hizo mbili kura ya maoni kuwauliza ni muungano gani wanautaka? Lissu anaonyesha mapungufu ya huu muungano na jinsi ya kuuboresha.
Lini, vizazi vingapi vimepita? Una manufaa yoyote kwa kizazi cha sasa kwa huu muuundo wa 1964? Kwanini tusikubaliane kuuboresha leo, sasa hivi kila nchi (Zanzibar na Tanganyika) wawe na amani?Muungano huu uliopo ulikuwa ratified na wawakilishi Wao waliowachagua yaani baraza la wawakilishi Zanzibar na bunge
Nimemsikil;iza tangu mwanzo mwisho, amewamaliza!Anaongelea ubaya wa muungano mikoani, mwambieni afike Tandika Dar es Salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wap,i sijui Mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano Mbagala au Temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku.
Jf kuna mambo na vijimambo.Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.
Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.
Sikilizeni hapa cheche zake.