Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna taifa la hovyo snYote tisa kumi, umasikini ndio tatizo kubwa .
Mtu akipata nafasi kidogo lazima afikirie kujineemesha kwanza.
Hii siri hata Uingereza na USA wanaijua vizuriSiri ya muungano Nyerere kaenda nayo kaburini. Hata Karume mshiriki mwenza alikuwa anaona mapichapicha π€
Mwinyi kule unguja Ni katibu tawala?Kwamba kodi zetu hazina kazi zaidi ya kulipia marais watatu misafara?
Muungano siku zote ni serikali 1, haya mambo ya serikali 2 au 3 mliyaota wapi?!
Top manyotaπ€£π€£π€£πBara ndiyo top control!!
Kwa hiyo unataka kusema Nyerere alikuwa wakala wa mabeberu?!! π€H
Hii siri hata Uingereza na USA wanaijua vizuri
Itakua makoso sana makubwa sana kama nchi siku moja shindwa mpa lissu haiongoze , mabadiko ya kweli anaweza yaleta huyu nduguMsikilize Lissu hapa akitema cheche kuhusu uhuni uliofanyika kwa Tanganyika.
View attachment 2977370
Udumu kwa faida ipi?Muungano udumu, Lissu akemewe na apuuzwe.
Mpaka panya wote watoke mashimoniSpana juu ya spana
Muungano huwa kuna makubaliano ya pande mbili zinazoungana !Kwamba kodi zetu hazina kazi zaidi ya kulipia marais watatu misafara?
Muungano siku zote ni serikali 1, haya mambo ya serikali 2 au 3 mliyaota wapi?!
Sio kweli !Huu muungano upo chini ya mwingereza na unalindwa Kwa nguvu zao
πSiri ya muungano Nyerere kaenda nayo kaburini. Hata Karume mshiriki mwenza alikuwa anaona mapichapicha π€
πSiri ya muungano Nyerere kaenda nayo kaburini. Hata Karume mshiriki mwenza alikuwa anaona mapichapicha π€