Mmmh ! Hicho ndio kimbembe !Mkuu Proved , asante nakala imenifikia na nimeisha anza kuifanyia kazi
Naunga mkono hoja, Pongezi za Miaka 60 ya Muungano: Twende Kwenye Muungano Kamili wa Ukweli wa Nchi Moja, Serikali Moja na Rais Mmoja? Kero Zote za Muungano Zitayeyuka!
- Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"
- Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja?
P
Rudi ukiwa na hoja, Kwahiyo African Union nayo ni nchi?Nchi iliyozaliwa ni European Union, na Raisi wake ni Ursula von der Leyen
Nani balozi wa African Union nchi yoyote ulimwenguni?Kumbe African Union inatoa passport ?Rudi ukiwa na hoja, Kwahiyo African Union nayo ni nchi?
Yale makaratasi yake ya kutaka kujitoa kwenye muungano aliyapata vipi Maalim Seif, kwani alikuwa akifanya kazi ofisi ya Jumbe ikulu?Lakini inasemekana kwamba Hayati Maalim Seif ndiye aliyemsagia kunguni hayati Jumbe kwa hayati Nyerere kwamba ana mpango wa kuuvunja Muungano !
Je huu uvumi una ukweli ??
Au ni porojo tu ?!
Kumbe zilikuwa ni porojo tu !Yale makaratasi yake ya kutaka kujitoa kwenye muungano aliyapata vipi Maalim Seif, kwani alikuwa akifanya kazi ofisi ya Jumbe ikulu?
Kumbe zilikuwa ni porojo tu !
Nakala imefika
Ukweli ni kama upembe wa ng'ombe , haufichiki
Viongozi wanajidanganya ! hali ya Muungano ni mbaya sana, chuki imetamalaki na waliobeba Muungano yaani Watanganyika wamechoka. Wakitoa hoja ni uchochezi ni matusi. Wazanzibae waakidai Passport ni sawa tu, wakitukana Muungano kama anavyofanya Jussa na Masoud Othman inaitwa kero.
Tunahitaji Tanganyika, kama hawataki jina hilo basi tunahitaji serikali ya Bara, kama hawataki wachague jina lakini kinachohitajika hakibadiliki , ni serikali ya Tanganyika isimamie masilahi yake na itue baadhi ya mizigo
Kuna wajinga wanasema serikali 3 ni gharama, well, serikali mbili ni gharama zaidi kwasababu Tanganyika inabeba mambo yake, mambo ya Muungano na inabeba SMZ.
Hakuna namna, tunahitaji Serikali ya Tanganyika. Rais SSH akipuuza huu Muungano utafia mikononi mwake! 100%
Wapi nilisema ni video hiyo!
Narudia tena Othman Maosud na Jussa wanautukana Muungano kila siku, hiyo inaitwa kero
Akizungumza Mtanganyika ni ubaguzi! It's time up
Tunahiaji serikali ya Tanganyika, halafu kama Zanzibar wanataka Muungano waje tukae pamoja si kuzungumzia namna ya 'kugawana' bali namna ya kuendesha na kufaidika. Narudia Tanganyika haina cha kupoeza!
Huu muungano uchwara uvunjwe tu umekaa kichawi
Hebu onyesha hayo matusi ya othman masaud na huyo jussaWapi nilisema ni video hiyo!
Narudia tena Othman Maosud na Jussa wanautukana Muungano kila siku, hiyo inaitwa kero
Akizungumza Mtanganyika ni ubaguzi! It's time up
Tunahiaji serikali ya Tanganyika, halafu kama Zanzibar wanataka Muungano waje tukae pamoja si kuzungumzia namna ya 'kugawana' bali namna ya kuendesha na kufaidika.
Siku hizi Wazanzibar wana 'slogan' mpya eti kuwe na Formula ya kugawana rasilimali za Tanganyika kama anavyoshauri Amina! Yaani wao wanajua formula moja tu ! kugawana. Kuchangia ni msamiati
Narudia Tanganyika haina cha kupoteza! Huu Muungano ni kuwasaidia Zanzibar, Mtanganyika hanufaiki na chochote wala usipokuwepo hapotezi chochote!
Hapa ndio umemaliza kujibu hoja zake?anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake
Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Tandika Mwembe Yanga
Your bomboclaat batmananaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake
Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku
Mm nafikiri hoja za Tindu Lissu, zinawapotezea watanzania muda.Hana hoja za, mashiko. Anatakiwa hawataje ma fisadi wa Tanzania wakiongozwa na Kikwete na Rostam Azizi walivyoliibia hili taifa pesa, nyingi sana. Lakin anaongea vitu vyepesi visivyo na maana. Nchi kama Zanzibar hata, tukihamia huko watanganyika wote hatutatosha. Ni nchi ndogo sana kama mkoa wa, Manyara. Mbona CDM haina hoja ya mafisadi kama zamani??anaongelea ubaya wa muungano mikoani mwambieni afike Tandika Dar es salaam walikojaa wazanzibari aongee huo ujinga wake
Aone kama atapigiwa makofi au atazomewa kama mbwa Koko
Anaongelea ubaya wa muungano Kwa watu wasiojua hata Zanzibar Iko wapi sijui mpwapwa sijui Iringa sijui wapi
Mwambieni huo ujinga wake wa kuponda muungano afanye mkutano mbagala au temeke au Tandika ambako watanganyika wapo wengi na wazanzibari wako wengi kama hajazomewa kama kibaka mwiba kuku