Lissu, na Wanaharakati kuweni makini mtapeleka Mbowe jela hamna mnachomsaidia kwenye kesi yake

Lissu, na Wanaharakati kuweni makini mtapeleka Mbowe jela hamna mnachomsaidia kwenye kesi yake

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.

Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.

Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.

Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
 
Jamaa huyo nimlopokaji anaamini mazungumzo aliyofanya na raisi alifikri kwa maoni yake raisi angeingilia mhimili wa mahakama na kuifuta! Kesi tayari ilikuwa inasikilizwa na upelelezi umekamilika na vielelezo kutolewa hapo naona asubiri maamuzi ya mahakama na siyo kuweka kejeli kwa raisi na serikali yake.
 
Kiukwel Lissu kawa mswahilina sana siku hizi mpaka dah ina boa.President material hapaswi kuw mropokaji hiv kwakwel.BInafsi amenisikitisha ukizangatia mwamba ndio kapigwa pini ukiacha akina kibatala wanaopambana ground ya mahakama hawa wengine walipaswa kufanyika msaada kwq namna nyingine sio hii ya kuzid kumchonganisha Mbowe na wenye mamlaka
 
Mazungumzo ni mazuri sana, ila shida kesi inapicha mbaya yaani ina mapungufu mengi sana, ambayo yana onesha kuminya haki za watu na kuchafua taswila ya mtu. Lina mwisho wake ingawa sauti ni nyingi zinaongea
Msome Mnyika sijui anaongea nini.

Tunataka haki na hatutaki huruma, hatutapiga magoti, kwani tukipiga magoti kumuombea Mwenyekiti Mbowe, tutawapa fursa ya kutangaza chama hiki (CHADEMA) ni chama cha magaidi, ni chama cha kigaidi, tuliwaonea huruma na tumewapa msamaha" @jjmnyika, Katibu Mkuu wa CHADEMA

Sasa mlienda kwa rais kufanyaje.
 
Kiukwel Lissu kawa mswahilina sana siku hizi mpaka dah ina boa.President material hapaswi kuw mropokaji hiv kwakwel.BInafsi amenisikitisha ukizangatia mwamba ndio kapigwa pini ukiacha akina kibatala wanaopambana ground ya mahakama hawa wengine walipaswa kufanyika msaada kwq namna nyingine sio hii ya kuzid kumchonganisha Mbowe na wenye mamlaka
Mtu aliejiunga na kundi la kina Maria unategemea aweje mkuu

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema TunduALissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu...
Unamaanisha hii kesi hiendeshwi kwa mujibu w sheria?

Unamaanisha muendesha mashtaka ni raisi kwa kutumia maamuzi yake binafsi na sio vinginevyo?

Unamaanisha mahakama inategemea raisi kasemaje? Meanse haipo huru?

Bandiko lako lina hoja fikilishi japo sio mpya kwenye masikio na macho ya jamii ya wapenda haki.

Kama mahakama ni huru na ikiendesha kesi kwa mujibu wa sheria unadhani hayo uliyoyasema yana nafasi kwenye shauri hili?

Namlilia mama tanzania
 
Unamaanisha hii kesi hiendeshwi kwa mujibu w sheria?

Unamaanisha muendesha mashtaka ni raisi kwa kutumia maamuzi yake binafsi na sio vinginevyo...
Hizo ni fikra zako labda nikuulize Lissu alivyokutana na Raia Samia na kumwambia afanye kila linalowezekana mbowe., aachiwe alikuwa amekosea? Unajua mamlaka aliyekuwa nayo Rais?
 
Rais na mahakama ni mihimili miwili tofauti katika mfumo wa taifa letu,,, huwezi ukaongea na raisi ili aende kufanya maamuzi ya kimahakama, huo ni upungufu wa fikra... kilichofika mahakamani kinaamuliwa na mahakama.
 
Hizo ni fikra zako labda nikuulize Lissu alivyokutana na Raia Samia na kumwambia afanye kila linalowezekana mbowe., aachiwe alikuwa amekosea? Unajua mamlaka aliyekuwa nayo Rais?
Yakufunga watu bila mahakama kuhukumu?
 
Msome Mnyika sijui anaongea nini.

Tunataka haki na hatutaki huruma, hatutapiga magoti, kwani tukipiga magoti kumuombea Mwenyekiti Mbowe, tutawapa fursa ya kutangaza chama hiki (CHADEMA) ni chama cha magaidi, ni chama cha kigaidi, tuliwaonea huruma na tumewapa msamaha" @jjmnyika, Katibu Mkuu wa CHADEMA

Sasa mlienda kwa rais kufanyaje.
Kuna kitu watu tunajisahahu, naamini kila upande upo sahihi kwa namna unavyo ona kufanya unachofanya, ila mwisho wa siku inabidi tuachane kuona kilicho sahihi. Tuunganishe mawazo yetu hata kama tuna mitazamo tofauti kulimaliza jambo kwa namna ambayo ni positive.. ila kukisha kuwa na mashindano hasa ya maneno ni mbaya sana. Napenda haki itendendeki napenda uhuru wa watu napenda taswila nzuri. Itumike busara pasipo kuchafua picha ya mbowe wala picha ya serikali
 
Sasa hata mkimpeleka huyo Mbowe jela kwa kesi ya kupika, mtapata faida gani! Zaidi tu mnaendelea kudarauliwa na Watanzania wenye akili timamu
Unadhani kukaa jela hata siku moja ni mchezo! Nebda kajaribu! Nadhani huyu bwana keshajifunza kuwa mihemko huwa mwisho wake ni majuto!
 
Ana kesi ya kujibu. Hajahukumiwa kwenda jela. Isubiliwe ajibu yanayomkabili.

Hilo ni shauri la mahakama, sio serikali.

Hakuna mahali Mama anawajibika kwa lolote katika shauri hilo.

Apewe nafasi ajibu mashauri yake, haki itendeke na ionekane ikitendeka.
 
Unamaanisha hii kesi hiendeshwi kwa mujibu w sheria?

Unamaanisha muendesha mashtaka ni raisi kwa kutumia maamuzi yake binafsi na sio vinginevyo?

Unamaanisha mahakama inategemea raisi kasemaje? Meanse haipo huru?

Bandiko lako lina hoja fikilishi japo sio mpya kwenye masikio na macho ya jamii ya wapenda haki.

Kama mahakama ni huru na ikiendesha kesi kwa mujibu wa sheria unadhani hayo uliyoyasema yana nafasi kwenye shauri hili?

Namlilia mama tanzania
Sasa kwanini lisu alizungumza na Rais kuhusu mbowe atolewe kama mnajua hilo
 
Tuna vijana wa hovyo sana nchi hii na tutachelewa sana kufikia maendeleo, vijana wamekuwa waoga kuliko kunguru

CCM Wamezoea maisha ya unafiki mdiyo wapate mlo wao, amani, haki, na uhuru wao sasa sii watu wote wenye akili za panzi hivyo

Sisi wengine maisha ya kupambana ndiyo maisha yetu always as long tinapambania tinacho amini ni haki yetu hatuitaji kumpigia mtu magoti
 
Kesi ya Sabaya haikupikwa? Mkuu wa wilaya kutumia Vx la serikali kufanya ujambazi? Mbona mlishangilia alipofungwa?

Inawezekana kabisa Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya apikiwe kesi? Na nani! Takukuru, polisi au Hangaya?

Sabaya alikuwa ni mwizi, jambazi sugu na mporaji. Na ushahidi upo mpaka wa cctv camera! Sasa ukija kwa Mbowe; porojo tu ndiyo zimetawala. Sijui tumekamata note book ina michoro ya vituo vya mafuta! Sijui alituma hela! Sijui alipanga kukata miti na kuiweka barabarani!

Ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom