kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Toka zako busara gani kwani ulikuweepo kwenye mazungumzo anayetakiwa kulalamika ni Samia sio wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walienda kwa Rais kudai haki wacha ujinga.Msome Mnyika sijui anaongea nini.
Tunataka haki na hatutaki huruma, hatutapiga magoti, kwani tukipiga magoti kumuombea Mwenyekiti Mbowe, tutawapa fursa ya kutangaza chama hiki (CHADEMA) ni chama cha magaidi, ni chama cha kigaidi, tuliwaonea huruma na tumewapa msamaha" @jjmnyika, Katibu Mkuu wa CHADEMA
Sasa mlienda kwa rais kufanyaje.
Acha upunguani weyeee
Kamkejeli wapi? Taja alivyomkejeli. Achà mawazo ya kufungwa , utwana na uyaya!Wanaukumbi.
Makamu mwenyekiti wa Chadema TunduALissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.
Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.
Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka,ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.
Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe
Kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Mpelekeni mkitaka muueni kabisaaa..Waovu wakubwa nyie msiokuwa na aibu.Jehanamu ya Moto inawasubiri..Wanaukumbi.
Makamu mwenyekiti wa Chadema TunduALissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.
Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.
Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka,ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.
Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe
Kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Wenye akili timamu ni nyie mliobebeshwa vichwa vya nyumbu?Sasa hata mkimpeleka huyo Mbowe jela kwa kesi ya kupika, mtapata faida gani! Zaidi tu mnaendelea kudarauliwa na Watanzania wenye akili timamu
Atamtomba mke wako amzalie mtoto mzuri.
Mbowe hatafuti huruma ya Raisi au mahakama ila wanacho taka nihaki itendeke, wewe kama wewe uliona ushahidi wowote wa mtu kujibu mashitaka, kama sio mbinu za kumuuliza na kuchelewesha harakati zake?Wanaukumbi.
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.
Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.
Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.
Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Kwanini mnaemwita gaid awaombe msamaha mnapenda kila kitu ati mpigiwe magoti kama mnavyoamfanyiana huko lumumba wacheni ujinga unafikiri kama jaji ametumia vifungu vya sheria unafikiri amgelimkuta na kesi ya kujibu.Nashangaa sana Lissu, kushikiwa akili na Maria
Wewe ni mbumbumbu wa sheria.Rais na mahakama ni mihimili miwili tofauti katika mfumo wa taifa letu,,, huwezi ukaongea na raisi ili aende kufanya maamuzi ya kimahakama, huo ni upungufu wa fikra... kilichofika mahakamani kinaamuliwa na mahakama.
Mazungumzo ya Lisu na Rais hayaondoi ukweli kuwa Tanzania hatuna mahakama iliyo huru na inaoendeshwa na watu wenye weledi.Wanaukumbi.
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.
Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.
Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.
Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Yeyote anayeongelea kuwa eti Rais kufuta kesi ya Mbowe, ni mwendawazimu, asiyeelewa mfumo wa mahakama ya Tanzania.Jamaa huyo nimlopokaji anaamini mazungumzo aliyofanya na raisi alifikri kwa maoni yake raisi angeingilia mhimili wa mahakama na kuifuta! Kesi tayari ilikuwa inasikilizwa na upelelezi umekamilika na vielelezo kutolewa hapo naona asubiri maamuzi ya mahakama na siyo kuweka kejeli kwa raisi na serikali yake.
katika makatibu hopeless ni huyu jamaa yaani hata haelewi kitu anachokifanya ndiyo maana mdee alimwambia alikuja na ndala chadema akakaa kimya hajawahi kumjibuMsome Mnyika sijui anaongea nini.
Tunataka haki na hatutaki huruma, hatutapiga magoti, kwani tukipiga magoti kumuombea Mwenyekiti Mbowe, tutawapa fursa ya kutangaza chama hiki (CHADEMA) ni chama cha magaidi, ni chama cha kigaidi, tuliwaonea huruma na tumewapa msamaha" @jjmnyika, Katibu Mkuu wa CHADEMA
Sasa mlienda kwa rais kufanyaje.
Ndugu pale hamna kesi, ni siasa za maji taka, muwe mnatumia akili ata kidogo mlizopewa na Mwenyezi, Mbowe alishatuhumiwa na mungu mtu wa nchi kwamba ni gaidi na wenzake washafungwa, we unategemea maamuzi gani kwa mahakama zetu hizi? .Wanaukumbi.
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.
Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.
Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.
Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Mazungumzo ni mazuri sana, ila shida kesi inapicha mbaya yaani ina mapungufu mengi sana, ambayo yana onesha kuminya haki za watu na kuchafua taswila ya mtu. Lina mwisho wake ingawa sauti ni nyingi zinaongea
Rais ndiyo anatoa haki au mahakama?