Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Imeandikwa katika misahafu kuwa, Mungu hataliacha taifa lake.

View attachment 2845647

"The lord can't forget his people."

Kwa hakika katika zama hizi ni kupitia kwa mja wake TAL:

1. Tofauti na wote, TAL anao usomi, uelewa, uungwaji mkono, wafuasi, charisma, uthubutu, nk unaohitajika kulikomboa taifa hili.

2. TAL ni Nyerere, Mandela, Che Guevara, Castro, Gandhi, nk wa zama zetu.

3. TAL ni wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kingunge, Chachage, Mtikila, Maalim Seif na wa namna hiyo; akiwaongelea Nyerere kama vijana jeuri wa zama zake alioota mno watanzania tuwe nao siku zote.

4. TAL ni wa aina ya kina Mwabukusi, Slaa, Ismail Jussa, Nshalla, Madeleka na wa namna hiyo wa zama hizi.

5. TAL si mbinafsi, si mnafiki, hamung'unyi maneno, ameelimika na anajua namna ya kuitendea haki elimu na ufahamu wake.

6. TAL ni hazina ya thamani mno, lulu au dhahabu safi kwa taifa hili.

7. Kina Mdude ni wa aina ya kina TAL wanaokosa elimu ya kutosha; elimu haina mwisho hawa ni hazina inayo hitaji nurturing ya akina Lissu, Slaa, Mwabukusi na wa namna hiyo; ukikaa na waridi nawe utanukia; kina Mdude watafika kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.

8. TAL apewe nafasi aionyooshe CHADEMA; tunahitaji mageuzi ya msingi ndani ya chama hiki pendwa, sasa!

9. Tatizo lililopo Tanzania lipo vyamani kote, lakini sisi nani kuwapa ushauri CCM, CUF, UDP au wa namna hiyo?

10. Ni upuuzi watanzania kukosa heshima au shukurani; kwani wapuuzi hata hawajui heshima wala inatokea wapi:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

11. Ni upuuzi watanzania kukosa nidhamu kwani wasiokuwa na nidhamu hawajui hata umuhimu wake:

Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama

12. Ni ujinga uliopitiliza watanzania kutojua tofauti za vyama; kwanini vinatofautiana au hata vinasimamia nini:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

13. Combination hii ni ya kutafuta kwa udi na uvumba panapo majaliwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja:

"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."

14. #13 ni combination ya ushindi.

Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.

Mungu umbariki TAL.
Na 5 sawa kabisa kwa mfano TL ni mkristo lakini ktk maoni yake amewakosoa Israel katka vita na Hamas akimaanisha haki na upendo kwa binadamu wote
 
Kuikomboaje wakati nchi iko vizuri tuu?
Amani imetawala,kazi zinaenda
All good!
 
Ona ulivyokosa self control, una uwezo mdogo wa kupembua mambo.

Huyo Chakaza amem quote mdau mwingine pale juu, ndio akatoa maoni yake kumhusu, ajabu wewe unaitumia hiyo comment ya Chakaza kunihukumu mimi, wewe jamaa una upungufu mkubwa sana wa uelewa na ni mwepesi sana wa ku-panic kwenye haya mambo.

1. Mkuu kwani tofauti yako na huyo niliyekuunganisha naye ni nini? Majina?

2. Nini Imani Yako kumhusu Palestina? Huwezi kupinga Palestina usiwe na mawazo kama huyo mjinga kumhusu LGBTQ.

3. Nimwombe Chakaza kumfunda huyu ndugu hajui ana simama wapi. Anajaribu kupita njia mbili wakati mmoja!

Zaidi unasumbuliwa na vimelea vya kidikteta, tangu jana nimekuona, kile unachotaka wewe ndio lazima kiwe, ukipingwa, unamfukuza mwenzio chamani!.

1. Huna weledi, elimu, heshima wala uwezo wa kuwapinga Lissu, Nyerere, Mandela, na wa namna hIyo.

2. Kukufahamisha kuwa kauli ya Lissu ni kauli ya CHADEMA na ujue hivyo utake au usitake. Kumbuka Lissu ana dhamana ya chama wewe huna!

Kama unaona mambo ni mepesi hivyo, mwambie Lissu muanzishe chama chenu, then uwachukue ndugu zako na marafiki zako uwapendao, uwape hilo somo lako la imani na msimamo, ili muishi pamoja milele!.

1. Chama hatuanzishi ila mtatoka nInyi.

2. Demokrasia nini kwani? Tutataka uchaguzi na wazi wazi tutawananga na kuwataka mtoke. Bila kuangalia nyuso zenu.

----
Allen Kilewella, Chakaza tuwasaidie hawa ndugu, umri, elimu, exposure, uzoefu changamoto!
 
1. Mkuu kwani tofauti yako na huyo niliyekuunganisha naye ni nini? Majina?

2. Nini Imani Yako kumhusu Palestina? Huwezi kupinga Palestina usiwe na mawazo kama huyo mjinga kumhusu LGBTQ.

3. Nimwombe Chakaza kumfunda huyu ndugu hajui ana simama wapi. Anajaribu kupita njia mbili wakati mmoja!



1. Huna weledi, elimu, heshima wala uwezo wa kuwapinga Lissu, Nyerere, Mandela, na wa namna hIyo.

2. Kukufahamisha kuwa kauli ya Lissu ni kauli ya CHADEMA na ujue hivyo utake au usitake. Kumbuka Lissu ana dhamana ya chama wewe huna!



1. Chama hatuanzishi ila mtatoka nInyi.

2. Demokrasia nini kwani? Tutataka uchaguzi na wazi wazi tutawananga na kuwataka mtoke. Bila kuangalia nyuso zenu.

----
Allen Kilewella, Chakaza tuwasaidie hawa ndugu, umri, elimu, exposure, uzoefu changamoto!
Nazidi kuthibitisha vile ulivyo changanyikiwa!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Na 5 sawa kabisa kwa mfano TL ni mkristo lakini ktk maoni yake amewakosoa Israel katka vita na Hamas akimaanisha haki na upendo kwa binadamu wote

Maoni yako ni ya kusikitisha:

"5. TAL si mbinafsi, si mnafiki, hamung'unyi maneno, ameelimika na anajua namna ya kuitendea haki elimu na ufahamu wake."

Ulitaka:

"TAL awe mbinafsi, mnafiki, amung'unye maneno, asiwe ameelimika na asijue namna ya kuitendea haki elimu na ufahamu wake?"

Wewe ni mkristo dhehebu gani ndugu? Kimbia haraka sana kutoka huko.

Unayoyataka ubinafsi, uongo, hila n.k, ni machukizo Kwa Kristo!
 
Nazidi kuthibitisha vile ulivyo changanyikiwa!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

1. Thibitisha kuwa nimechanganyikiwa.

2. Ninaona wewe umechanganyiwa.

Uthibitisho:

"Umeshindwa kujibu hoja yàngu hata moja pqmoja na kukusihi mno kujikita kwenye mada."
 
Kuikomboaje wakati nchi iko vizuri tuu?
Amani imetawala,kazi zinaenda
All good!

Sishangai kuwa wewe unaweza kuwa hata ni Chadema hii ya wapinga Palestina, Ukraine, LGBTQ nk. au kuwa wakuunge mkono.

Kwamba labda hujui nini maana ya haki, usawa, uhuru au demokrasia wewe si utakuwa sawa na kondoo tu?
 
Binadamu wana mapungufu yao lakini timu hii ya ushindi iwe consolidated:

"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."

cc: joka kuu, Retired, Msanii, Chakaza, CHADEMA, John Mnyika, Erythrocyte, Tindo, WALOLA VUNZYA, denoo JG, Zawadini, Allen Kilewella, Rabbon, Elli, Pascal Mayalla, johnthebaptist, Nowonmai na wazalendo wengine hii nchi ni yetu sote.
Kuna ulioqataja hapo ndiyo wanaokwamisha
 
Kuna ulioqataja hapo ndiyo wanaokwamisha

Hawapo wanaokwamisha hapo. Wengine wamejikatia tamaa. Hao wote wanao weledi na nia na wamekwisha onyesha hivyo.

Kwa hakika hayupo hapo aliye dhoofu hata mmoja!
 
Hawapo wanaokwamisha hapo. Wengine wamejikatia tamaa. Hao wote wanao weledi na nia na wamekwisha onyesha hivyo.

Kwa hakika hayupo hapo aliye dhoofu hata mmoja!
Inawezekana wana weledi Lakini maadili yao yanatiliwa shaka.

Ngumu sana kumwamini mtu kama Zitto kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.
 
Kama zitto??

Mkuu hao wamejikatia tamaa tu. Lakini hao wanao weledi kuliko wengi wanaojimwambafy bure.

Tuanzie hapa;

"Uhuru, haki, usawa na demokrasia."

Tuweke falsafa na imani. Misimamo itafuata. Kwenye listi hIyo hayupo mnyonge.
 
Inawezekana wana weledi Lakini maadili yao yanatiliwa shaka.

Ngumu sana kumwamini mtu kama Zitto kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.

Tuache ramli chonganishi. Tutambue hakuna rafiki Wala adui wa kudumu. Nani messiah wa kumjua nani ni nani? Tuwapime watu kutokea Mahalia.
 
Zitto kimaadili ni mnyonge sana!!!

Niko tayari kurekebishwa!!

Angalia timu hii:

"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."

Kwa hakika tunavuka.

Acheni ramli chonganishi.
 
Tuache ramli chonganishi. Tutambue hakuna rafiki Wala adui wa kudumu. Nani messiah wa kumjua nani ni nani? Tuwapime watu kutokea Mahalia.
Hapana Kwa Zitto siyo ramli Bali ni Uhalisia.

Zitto siyo siyo mtu wa kuaminika kwenye ushirika wa kuitoa CCM madarakani.

Zitto ni mbinafsi mno na mtu mwenye hisia za kisasi dhidi ya wanasiasa wenzie nje ya CCM. Ni rahisi kwake kufanya Siasa na CCM kuliko CHADEMA.
 
Back
Top Bottom