Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Inawezekana wana weledi Lakini maadili yao yanatiliwa shaka.

Ngumu sana kumwamini mtu kama Zitto kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.

Tuache chuki binafsi na tukubali kutokukubaliana. Hakuna aliye mtakatifu. Lazima tuanze na tulio nao mambo yaende kidemokrasia. Tatizo liko wapi?
 
Tuache chuki binafsi na tukubali kutokukubaliana. Hakuna aliye mtakatifu. Lazima tuanze na tulio nao mambo yaende kidemokrasia. Tatizo liko wapi?
Hapa hakuna chuki binafsi wala kumtafuta mtakatifu bali ukweli Lazima usemwe.

Zitto siyo mshirika sahihi kwenye kuitoa CCM madarakani.
 

Tunawaongelea Kitila hadi Mpina Bado tuna taabu na Zitto?

Tuko serious kweli?

Tunawashashi je nguli wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kitime nk kwa mawazo mgando hivyo?

Malaika kumbe tukawapate wapi?
 
Hapa hakuna chuki binafsi wala kumtafuta mtakatifu bali ukweli Lazima usemwe.

Zitto siyo mshirika sahihi kwenye kuitoa CCM madarakani.

Ukweli mchungu:

1. TAL hawezi kukubaliana nawe hapa.

2. Umoja ni nguvu na siasa ni sayansi.

3. Lini tutatoka kwenye kuchezeshwa ngoma ya utengano na maccm?
 
Tunawaongelea Kitila hadi Mpina Bado tuna taabu na Zitto?

Tuko serious kweli?

Tunawashashi je nguli wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kitime nk kwa mawazo mgando hivyo?

Malaika kumbe tukawapate wapi?
Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.

Lakini Zitto hafai labda abadilike!!
 
lakani watoa taarifa wengi hawamuelewi wala kumuamini
 
Ukweli mchungu:

1. TAL hawezi kukubaliana nawe hapa.
Hata kama TAL asipokubaliana na mimi lakini huo ndiyo ukweli NINAOUAMINI.
2. Umoja ni nguvu na siasa ni sayansi.
Sayansi ya Siasa inakataa kukubaliana nje ya kanuni mnazoziamini.
3. Lini tutatoka kwenye kuchezeshwa ngoma ya utengano na maccm?
Zitto ndiye aliyejitenga na wenzake na kuamua kuwa na shirika na CCM.
 
Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.

Lakini Zitto hafai labda abadilike!!
bila kuaminiana na kuungana hakuna mahali upinzani inaeza sogelea ikulu ya TZ......

Kwa Ushindi wa asilimia chini ya 20 hadi kuandamana inatia uvivu na kibaraka mjanja atakachofanya ni kukwea pipa, shaaaaa hadi ng'ambo kwa kisingizio maisha yake yako hatarini akati alikuepo tangu mwanzo hadi mwisho wa kampeni 🤣

Mnabaki kujilaumu tu aaa bora ata angegombea fulani au fulani
 
Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.

Lakini Zitto hafai labda abadilike!!

1. Anabadilika vipi wakati umesha mhukumu kifo kuwa hafai?



2. Itakuwa kukaza ubongo kudhani tulio sahihi ni sisi tu tuwasilikilize na wengine; we may be wrong!

3. Tutachezeshwa ngoma za utengano na ma CCM hadi lini?

4. Lissu hawezi kukubaliana nawe kwenye mawazo yako hayo.
 
1. Anabadilika vipi wakati umesha mhukumu kifo kuwa hafai?
Kwa Sasa hafai ila kwa kuwa binadamu siyo jiwe ivo anaweza kubadilika, basi akibadilika atakubaliwa.
2. Itakuwa kukaza ubongo kudhani tulio sahihi ni sisi tu tuwasilikilize na wengine; we may be wrong!
Kuwasikiliza wengine hakuwezi kulazimisha kukubaliana nao.
4. Lissu hawezi kukubaliana nawe kwenye mawazo yako hayo.
Sijali kama Lissu atakubaliana nami ama la!!
 
Hata kama TAL asipokubaliana na mimi lakini huo ndiyo ukweli NINAOUAMINI.

1. Hii hatua njema tunaliweka hilo pembeni. Ki demokrasia tutakwenda kwenye primaries Hadi elections.

2. Tutashawishiana Kwa hoja Zitto akipita wengi wape.

3. Pana taabu hapo?

Sayansi ya Siasa inakataa kukubaliana nje ya kanuni mnazoziamini.

1. Sawa Hilo kama hapo juu demokrasia itamua.

2. Hapo napo waona je?

Zitto ndiye aliyejitenga na wenzake na kuamua kuwa na shirika na CCM.

1. Haya ni mawazo yako Kila mtu ana yake.

2. Tukumbuke misahafu inasema tusihukumu tusije tukahukumiwa.

NB: Zaidi sana nikukumbushe hili hukujibu:

#3. Tutachezeshwa ngoma za utengano na ma CCM hadi lini?
 
Naunga mkono HOJA.

Lissu angalau anaeleweka, na akiongea anamaanisha.

Tuhakikishe bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote!!
uchaguzi unafanyika vizur sana 2024 serikali za mtaa na 2025 uchaguzi mkuu, kuwepo au kusiwepo kwa hizo vitu ambazo pia bunge litaona ikiwa inafaa au haina maana yeyeote
 
Kwa Sasa hafai ila kwa kuwa binadamu siyo jiwe ivo anaweza kubadilika, basi akibadilika atakubaliwa.

Sina maana hIyo.

Bahati mbaya tunajadili in duplicates.

Nadhani hapa tumekubaliana kuipa demokrasia nafasi.

Kuwasikiliza wengine hakuwezi kulazimisha kukubaliana nao.

Sina maana hIyo.

Nadhani tuipe demokrasia nafasi.
Sijali kama Lissu atakubaliana nami ama la!!

Sina maana hIyo.

Bahati mbaya tunajadili in duplicates.

Nadhani hapa pia tumekubaliana kuipa demokrasia nafasi.
 
LISSU ni chaguo la Mungu..........He is treasure for this country

1. Tumechelewa sana kwa kutompa huyu bwana atunyooshee mambo.

2. Nchi haiwezi kukombolewa kwa siasa za kuvizia, kinafiki, misimamo isiyoeleweka, utengano usiokuwa na tija, kuendekeza ujinga nk.

3. Muda wa kutoka hadharani na kutoleana uvivu ni sasa.

4. Hakuna mwenye chama wala nchi. Vyote ni Mali ya umma.
 
Nimesoma Kwa makini sana hii mada na zile zingine na nimezielewa.

Ndani ya CHADEMA kuna uchaguzi unaendelea...

Nasikia Mbowe kaambiwa achague ama kugombea Uenyekiti au Urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…