Inawezekana wana weledi Lakini maadili yao yanatiliwa shaka.
Ngumu sana kumwamini mtu kama Zitto kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.
Hapa hakuna chuki binafsi wala kumtafuta mtakatifu bali ukweli Lazima usemwe.Tuache chuki binafsi na tukubali kutokukubaliana. Hakuna aliye mtakatifu. Lazima tuanze na tulio nao mambo yaende kidemokrasia. Tatizo liko wapi?
Hapana Kwa Zitto siyo ramli Bali ni Uhalisia.
Zitto siyo siyo mtu wa kuaminika kwenye ushirika wa kuitoa CCM madarakani.
Zitto ni mbinafsi mno na mtu mwenye hisia za kisasi dhidi ya wanasiasa wenzie nje ya CCM. Ni rahisi kwake kufanya Siasa na CCM kuliko CHADEMA.
Hapa hakuna chuki binafsi wala kumtafuta mtakatifu bali ukweli Lazima usemwe.
Zitto siyo mshirika sahihi kwenye kuitoa CCM madarakani.
Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.Tunawaongelea Kitila hadi Mpina Bado tuna taabu na Zitto?
Tuko serious kweli?
Tunawashashi je nguli wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kitime nk kwa mawazo mgando hivyo?
Malaika kumbe tukawapate wapi?
lakani watoa taarifa wengi hawamuelewi wala kumuaminiImeandikwa katika misahafu kuwa, Mungu hataliacha taifa lake.
View attachment 2845647
"The lord can't forget his people."
Kwa hakika katika zama hizi ni kupitia kwa mja wake TAL:
1. Tofauti na wote, TAL anao usomi, uelewa, uungwaji mkono, wafuasi, charisma, uthubutu, nk unaohitajika kulikomboa taifa hili.
2. TAL ni Nyerere, Mandela, Che Guevara, Castro, Gandhi, nk wa zama zetu.
3. TAL ni wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kingunge, Chachage, Mtikila, Maalim Seif na wa namna hiyo; akiwaongelea Nyerere kama vijana jeuri wa zama zake alioota mno watanzania tuwe nao siku zote.
4. TAL ni wa aina ya kina Mwabukusi, Slaa, Ismail Jussa, Nshalla, Madeleka na wa namna hiyo wa zama hizi.
5. TAL si mbinafsi, si mnafiki, hamung'unyi maneno, ameelimika na anajua namna ya kuitendea haki elimu na ufahamu wake.
6. TAL ni hazina ya thamani mno, lulu au dhahabu safi kwa taifa hili.
7. Kina Mdude ni wa aina ya kina TAL wanaokosa elimu ya kutosha; elimu haina mwisho hawa ni hazina inayo hitaji nurturing ya akina Lissu, Slaa, Mwabukusi na wa namna hiyo; ukikaa na waridi nawe utanukia; kina Mdude watafika kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.
8. TAL apewe nafasi aionyooshe CHADEMA; tunahitaji mageuzi ya msingi ndani ya chama hiki pendwa, sasa!
9. Tatizo lililopo Tanzania lipo vyamani kote, lakini sisi nani kuwapa ushauri CCM, CUF, UDP au wa namna hiyo?
10. Ni upuuzi watanzania kukosa heshima au shukurani; kwani wapuuzi hata hawajui heshima wala inatokea wapi:
Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
11. Ni upuuzi watanzania kukosa nidhamu kwani wasiokuwa na nidhamu hawajui hata umuhimu wake:
Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama
12. Ni ujinga uliopitiliza watanzania kutojua tofauti za vyama; kwanini vinatofautiana au hata vinasimamia nini:
Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama
13. Combination hii ni ya kutafuta kwa udi na uvumba panapo majaliwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja:
"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."
14. #13 ni combination ya ushindi.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.
Mungu umbariki TAL.
Hata kama TAL asipokubaliana na mimi lakini huo ndiyo ukweli NINAOUAMINI.Ukweli mchungu:
1. TAL hawezi kukubaliana nawe hapa.
Sayansi ya Siasa inakataa kukubaliana nje ya kanuni mnazoziamini.2. Umoja ni nguvu na siasa ni sayansi.
Zitto ndiye aliyejitenga na wenzake na kuamua kuwa na shirika na CCM.3. Lini tutatoka kwenye kuchezeshwa ngoma ya utengano na maccm?
bila kuaminiana na kuungana hakuna mahali upinzani inaeza sogelea ikulu ya TZ......Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.
Lakini Zitto hafai labda abadilike!!
Hakuna mahali nimesema kuwa tunahitaji Malaika kutuongoza kuitoa CCM madarakani.
Lakini Zitto hafai labda abadilike!!
Kwa Sasa hafai ila kwa kuwa binadamu siyo jiwe ivo anaweza kubadilika, basi akibadilika atakubaliwa.1. Anabadilika vipi wakati umesha mhukumu kifo kuwa hafai?
Kuwasikiliza wengine hakuwezi kulazimisha kukubaliana nao.2. Itakuwa kukaza ubongo kudhani tulio sahihi ni sisi tu tuwasilikilize na wengine; we may be wrong!
Sijali kama Lissu atakubaliana nami ama la!!4. Lissu hawezi kukubaliana nawe kwenye mawazo yako hayo.
Hata kama TAL asipokubaliana na mimi lakini huo ndiyo ukweli NINAOUAMINI.
Sayansi ya Siasa inakataa kukubaliana nje ya kanuni mnazoziamini.
Zitto ndiye aliyejitenga na wenzake na kuamua kuwa na shirika na CCM.
Mbona CCM ndiyo watetezi wakubwa wa machoko.Mara buku CCM waendelee kutuchuna kodi zetu kuliko kuwapa nchi Mashoga!
uchaguzi unafanyika vizur sana 2024 serikali za mtaa na 2025 uchaguzi mkuu, kuwepo au kusiwepo kwa hizo vitu ambazo pia bunge litaona ikiwa inafaa au haina maana yeyeoteNaunga mkono HOJA.
Lissu angalau anaeleweka, na akiongea anamaanisha.
Tuhakikishe bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote!!
Kwa Sasa hafai ila kwa kuwa binadamu siyo jiwe ivo anaweza kubadilika, basi akibadilika atakubaliwa.
Kuwasikiliza wengine hakuwezi kulazimisha kukubaliana nao.
Sijali kama Lissu atakubaliana nami ama la!!
Hii ndiyo maana halisi ya fredomu ofu akspresheni
LISSU ni chaguo la Mungu..........He is treasure for this country
Aiokoe kwanza CHADEMA iliyo hoi kisiasa
CHADEMA Iko imara sana kuliko zama zile Stephen Wasira na John Magufuli walipopania na kujiapiza kuiua kisiasa!!Aiokoe kwanza CHADEMA iliyo hoi kisiasa