Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

mkuu kama raia tukihitaji ututajie hayo mabeberu ambayo yanashirikiana na lisu kumyumbisha raisi ktk jitihada zake za maendeleo, unaweza kututajia..?!!

me si mwana siasa, ila naitaji watu tuishi kila mtu kwa nafasi yake yaani mimi mwananchi ww kiongozi wa ccm, lisu nae abaki kuwa kiongozi wa chadema,

nchi inayoongozwa kwa kila mtu kuvutia kwake sizani kama itafka, maana kama angekuwa mwana ccm mwenzako wala usingeweza kutaja kama ulivyotaja jina la lisu japo sina uhakika kama unachokisema kina ukweli ama la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Lisu hana serikali,hana polisi, hana jeshi hana yeye hana maamuzi yoyote kwenye wizara yoyote hapa tanzania....sasa wazungu wataibaje rasrimali zetu kuptia lisu??? Hyo miaka yote tuliyoibiwa kwenye madini na mariasili lisu alihusika???

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
1550772498741.png
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.


Na alaaniwe mtu amwitaye Tundu Lisu kibaraka baada ya kutaka kumwua kwa risasi zaidi ya thelathini.

Hao wote wanaotoa matamshi hayo waje wafe kifo cha aibu!
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Kwani haya madini tunayoibiwa sasa aliye saini mikataba ni Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Umejitahidi kubumba habari, pia bahati nzuri umeweka namba ya simu. Pamoja na bk7 waweza kupata uteuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Akili za kushikiwa inzi wa kijani ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Wewe mwehu punguani ebu jaribu kuficha upumbavu wako japo kidogo usifikiri watanzania ni wajinga kama mlivyokariri watetezi wa CCM vilaza watu, tambua kuwa watanzania wanajua kuwa Sumu ya maendeleo nchini ni CCM na CCM ndiyo walioingia mikataba mibaya tokea miaka ya 96-98 ambapo Tundu Lisu alikomalia sana mkaishia kufumba macho na magufuli alikuwa bungeni kuunga mkono wizi huo, leo hii mmekuja na Sinema za kishamba kuwahadaa watanzania kuwaita wafadhili wenu mabeberu kumsingizia Tundu Lisu kuwa msariti wakati nyie ndiyo wasariti mliingia mikataba mibovu mkalifirisi Taifa na sasa mnauza makinikia kwa njia za siri huku mkijifanya kukutana na Barrick ambao hawana nguvu kwa Acacia na kuendeleza ufisadi wa kiccm, Propaganda zako za kishamba peleka kolomije kwa washamba wenzako lakini watanzania wameamka hawataki kusikia Sinema zenu za kijinga jinga tena.
 
Lissu ni wimbo wa taifa vipi kuhusu korosho

Tundu Lisu alikataa mikataba mibovu tokea kikwete akiwa Waziri wa Nishati na madini imepita miaka ishirini na kadhaa eti mtukufu malaika toka chato anakuja na Sinema za kuwahadaa watanzania kuwa ana uchungu na madini wakati yeye anatengeneza mazingira binafsi ya kupiga cha ajabu wapo CCM mbumbumbu kilaza kama mleta mada wamekariri kuwa mtukufu ana nia njema na sekita ya madini, kasahau kuwa mkapa alitengeneza mikataba yake akavuna madini ya kutosha na kikwete nae akaja na gia ya kurekebisha mikataba akapiga vyake akasepa na huyu wa sasa mtukufu kaja na Sinema zake za 50/50 ana mipenyo yake anapiga na ili apige vizuri kampachika Waziri wa madini msukuma wale vizuri kimya kimya.
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Unajidhalilisha... Madaraka mnayoyatafuta mnaweza yapata kwa njia zisizoathili NEGATIVELY wengine
1. Weka basi ushahidi wa malipo ya LISU toka kwa hao unaowaita mabeberu
2. Wizi unaosema ulikuwa unafanywa na mabeberu, unaweza ukaweka ushahidi?
 
Nakuunga mkono 100% Hatumtaki kibaraka hapa kwetu ila tatizo ni kwamba; Vibaraka halisi wamejaa kule mjengoni. Ni hao hao waliowafurumusha wabunge wenzao wa upinzani halafu haraka haraka wakapitisha kwa mbwembwe mikataba ya kifisadi na kinyonyaji inayotuyumbisha hadi leo. Vibaraka hao wa mabeberu wakaungana pamoja na kuwaruhusu hao mabeberu kujichotea rasilimali zetu na kwenda jilambia utamu wake huko ughaibuni.
Huwezi kutuambia kuwa Lissu anasema nini cha uongo huko anakozurura. Tumempa wenyewe nafasi hiyo kwani hakuna hata kimoja tumeweza kumpinga kwa point katika hayo anayoyanena. Mtanzania wa leo sio yule wa "Zidumu fikra sahihi". Mtanzania wa leo, japo hasemi lakini anaona wala hana haja kuwekewa maneno tena.
Kama mtu atasimama na kuandika maneno ya kumfurahisha mtu mwingine tu kuwa yupo kwenye raiti tiraki, huku anaona anapotea njia huoni huyo ndiye kibaraka?? Tusimpinge Lissu kwa maneno ya hadithi za kizee tu bali tumpinge kwa point zake.
Kamateni hata kichaa mseme ndiye anashukiwa kumpiga risasi. Mlipeni gharama zake za kujitibu, mpeni mishahara yake na uthibitisho wa ulinzi wake tuone kama ataendelea kuzurura.
Not that, pls tuachane naye ajizururishe hadi achoke bila sisi kumjibu
Pia, nashauri tuachane na maneno haya kuwa anatumika na mabeberu kwani yeye ndiye aliyesimama kidete kupinga mikataba hiyo ya kifisadi. Sasa leo, useme ati yeye ndiye anatumwa na mabeberu! Pathetic! Hao mabeberu mnawaona hawana akili au?? Kwa nini wamtumie mtu wa gharama wakati wanao waliowapigia chapuo??? Labda ungelituaminisha kuwa hao mabeberu ndio waliolambisha zile risasi lakini sio kwamba wao leo ndio wanamtuma. Tafuteni gea nyingine
Kwanza Tundu Lisu hazuruli bali alialikwa rasmi na watu mbalimbali taasisi vyombo vya Habari, hakuna sehemu Tundu Lisu alijipeleka pasipo kualikwa kwa gharama za waliomwalika baada ya kuguswa na unyama aliotendewa wa kushambuliwa kwa Risasi na Bashite akiwa na kikundi chake kule Dodoma huku Ndungai akichukua pesa zake za matibabu na kuzifuja kienyeji, kwa kifupi chanzo cha yote ni CCM na wana ccm wachache wenye roho mbaya ambao ndiyo wamesababisha Tundu Lisu awepo ulaya sasa na kama siyo wao leo hii Tundu Lisu asingekuwa huko Ulaya na kusingekuwa na mjadala huu mitandaoni lawama zote ni kwa Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite na kikundi chake cha wanaojulikana na wasiojulikana.
 
Bila Bashite na Le mutuz, jerry muro, cyprian Musiba, wasiojulika wanne (4) na Heri kisanduku kwenda Dodoma kumtandika Risasi Tundu Lisu leo hii angekuwa yupo Dodoma akaendelea na majukumu yake kama kawaida na asingekuwa ulaya wala mjadala huu kuwepo sasa, cha kushangaza ni CCM wamekalia kubariki mbinu za kishamba kishetani za Bashite badala ya kuitisha mikutano wa CCM Taifa wamvue uanachama Bashite na kumfukuza kote iwe fundisho kwa wana ccm wengine wenye vitabia vya kinyama kama vyake
 
Hili kolo la Lumumba limekaririshwa thus limeweka phone no likumbukwe teuzi,litasubiri sana labda libadili kabila,raslimali zipi sasa watakazo wakose hali soko la kuzuia raslimali zetu tunawategemea wao ,huyo boss wake ataishi milele kuzilinda?zama zake zitapita atakuja mwingine atawapa Nyerere yuko wapi aendelee kuzilinda,
Watetezi wa CCM wengi ni mbumbumbu zuzu na vilaza wa kutupwa wanazani kumshambulia Tundu Lisu watapata Teuzi mbalimbali
 
Welcome to Open Discussion Forums, The Home of Critical Thinkers!

Open Discussion Forums is a place where you can make a big difference, it gives you an opportunity to learn how to think, foster your mental faculties and broaden your scope of knowledge by sharing valuable skills and experiences to others, while making a difference in improving people's lives!

Join Open Discussion Forums, The Home of Critical Thinkers! today and learn how to revolutionize your mind to effect a lasting change.
 
Unajidhalilisha... Madaraka mnayoyatafuta mnaweza yapata kwa njia zisizoathili NEGATIVELY wengine
1. Weka basi ushahidi wa malipo ya LISU toka kwa hao unaowaita mabeberu
2. Wizi unaosema ulikuwa unafanywa na mabeberu, unaweza ukaweka ushahidi?
Wazungu wanawapa CCM 40% kwenye pesa za Bajeti na pindi wakiwapa pesa na Barrick kwenda ikulu huitwa wanaume na wafadhili, cha ajabu na cha kushangaza hao wazungu wakimwalika Tundu Lisu kwenda kutoa ushuhuda wa Uonevu uovu wa CCM huwaita mabeberu na ujinga huo wa Neno mabeberu umeenezwa na mtetezi wa CCM mtu mjinga mbumbumbu anayejiita cyprian Musiba na Le mutuz kubwa jinga
 
Back
Top Bottom