Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Watanzania wa leo sio wa enzi za mwalimu wakuambiwa maadui wao wa ndani na nje. Wanawajua na wewe unavigezo vya kuwa adui
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Hiyo namba ya simu utaweka sana hakuna atakaekupigia kwa ajili ya kupata post za uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna waziri wa CCM alienda kuweka mikataba kwenye hotel Uingereza na madudu mengine ya kupitisha mswada wa dharula kuhusu gesi ni viongozi wa CCM kupitia serikali yao hawajaanza Jana wala juzi na ndio chanzo cha umasikini Tanzania...tumieni akili kidogo kuleta hoja zenye mashiko...
 
Povu kibao kama umebwia foma?naona njaa imekupanda kichwani
Kama ni kibaraka ni kibaraka mpumbavu na lofa. Nasema hivyo kwa kuwa kama Wakili msomi, mbunge wa muda mrefu, na anayetaka atambulike kama mwanasiasa maarufu, angetambua kuwa anaokena juha katika jumuiya ya wastaarabu. Km matokeo ya majadiliano ya Serikali na Barrick, ambayo amekuwa akibeza katika safari zake hizo, yamekuwa tofauti na vile anavyotaka jamii iamini

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Nakuunga mkono kwa 100%
Nakuunga mkono 100% Hatumtaki kibaraka hapa kwetu ila tatizo ni kwamba; Vibaraka halisi wamejaa kule mjengoni. Ni hao hao waliowafurumusha wabunge wenzao wa upinzani halafu haraka haraka wakapitisha kwa mbwembwe mikataba ya kifisadi na kinyonyaji inayotuyumbisha hadi leo. Vibaraka hao wa mabeberu wakaungana pamoja na kuwaruhusu hao mabeberu kujichotea rasilimali zetu na kwenda jilambia utamu wake huko ughaibuni.
Huwezi kutuambia kuwa Lissu anasema nini cha uongo huko anakozurura. Tumempa wenyewe nafasi hiyo kwani hakuna hata kimoja tumeweza kumpinga kwa point katika hayo anayoyanena. Mtanzania wa leo sio yule wa "Zidumu fikra sahihi". Mtanzania wa leo, japo hasemi lakini anaona wala hana haja kuwekewa maneno tena.
Kama mtu atasimama na kuandika maneno ya kumfurahisha mtu mwingine tu kuwa yupo kwenye raiti tiraki, huku anaona anapotea njia huoni huyo ndiye kibaraka?? Tusimpinge Lissu kwa maneno ya hadithi za kizee tu bali tumpinge kwa point zake.
Kamateni hata kichaa mseme ndiye anashukiwa kumpiga risasi. Mlipeni gharama zake za kujitibu, mpeni mishahara yake na uthibitisho wa ulinzi wake tuone kama ataendelea kuzurura.
Not that, pls tuachane naye ajizururishe hadi achoke bila sisi kumjibu
Pia, nashauri tuachane na maneno haya kuwa anatumika na mabeberu kwani yeye ndiye aliyesimama kidete kupinga mikataba hiyo ya kifisadi. Sasa leo, useme ati yeye ndiye anatumwa na mabeberu! Pathetic! Hao mabeberu mnawaona hawana akili au?? Kwa nini wamtumie mtu wa gharama wakati wanao waliowapigia chapuo??? Labda ungelituaminisha kuwa hao mabeberu ndio waliolambisha zile risasi lakini sio kwamba wao leo ndio wanamtuma. Tafuteni gea nyingine

In God we Trust
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Jiwe amekusikia. Atakukumbuka hata kwa nafasi ya Mtendaji was Kijiji. Kilangila.
 
Lisu hana serikali,hana polisi, hana jeshi hana yeye hana maamuzi yoyote kwenye wizara yoyote hapa tanzania....sasa wazungu wataibaje rasrimali zetu kuptia lisu??? Hyo miaka yote tuliyoibiwa kwenye madini na mariasili lisu alihusika???

Sent using Jamii Forums mobile app
Wonders shall never end!!!! Kuna post nyingine unasoma hadi unajisikia aibu!!! Tanzania nchi yangu[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Hata mkeo ataona aibu kusoma utumbo huu. kilangila.
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Jina lenyewe chimwinga tayari ni tatizo

Lissu anamfanya yule jinga lenu hapati usingizi

Ninasave hii post yako kwa matumizi ya baadae

NB:- Jifunze kuandika vizuri ndio uwe unapost humu unatupa shida kusoma na kuelewa
 
Baba mbona povu namna hii. Hatudanganyiki ccm ndo vibaraka
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa Lisu anatumiwa na mabeberu kununua korosho zilizosababisha kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.Huyu Lisu huyu sio wa spoti spoti
IMG-20190222-WA0000.jpg
 
Kama ni kibaraka ni kibaraka mpumbavu na lofa. Nasema hivyo kwa kuwa kama Wakili msomi, mbunge wa muda mrefu, na anayetaka atambulike kama mwanasiasa maarufu, angetambua kuwa anaokena juha katika jumuiya ya wastaarabu. Km matokeo ya majadiliano ya Serikali na Barrick, ambayo amekuwa akibeza katika safari zake hizo, yamekuwa tofauti na vile anavyotaka jamii iamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka kesho tumepata nini kwa Barrick wakati acacia wanapiga center half ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kama raia tukihitaji ututajie hayo mabeberu ambayo yanashirikiana na lisu kumyumbisha raisi ktk jitihada zake za maendeleo, unaweza kututajia..?!!

me si mwana siasa, ila naitaji watu tuishi kila mtu kwa nafasi yake yaani mimi mwananchi ww kiongozi wa ccm, lisu nae abaki kuwa kiongozi wa chadema,

nchi inayoongozwa kwa kila mtu kuvutia kwake sizani kama itafka, maana kama angekuwa mwana ccm mwenzako wala usingeweza kutaja kama ulivyotaja jina la lisu japo sina uhakika kama unachokisema kina ukweli ama la.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kukujibu [emoji107]. Ni watu fulani hivi wanaojikomba bila hata kuangalia athari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom