Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020


Wewe ni purely "MJINGA" na "MPUMBAVU" na kwa sababu hiyo unazalisha na kutapika maneno ya kijinga na kipumbavu hapa..

Hao watu walio kwenye chama waliompiga risasi Tundu Lissu hawashikiki na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na haki?

Please, usitufanye sisi pia ni wapumbavu na wajinga kama wewe/nyie...!
 

Palm Tree acha kupandisha JAZIBA, acha ku - panic, twende na hoja ndugu yangu, matusi siyo tija! Sasa ni hivi, hakuna wa kushikwa kwani shahidi muhimu, shahidi nambari moja, yule DEREVA wa Lissu KAFICHWA ili kuharibu kwanza upelelezi na pili kuficha USHAHIDI NYETI. Huyo dereva wa Lissu anajua ukweli wote. This time mmeogopa kumwaga damu nyingine, mkaamua kumficha! Pia hizo risasiza ndege zilikuwa na lengo la "kuweka njia kwa Lissu" kwenda Ulaya kukamilisha hayo niliyosema hapo awali. Haya lete hoja acha matusi, na unapomtukana mwenzako unaonyesha who and how you are!
 
Kuna mwingine Ac na feni hata akiwa nje tuvumiliane
 
Usemacho ni sahihi kabisa! Kinachogomba ni hii dhana ya kuwa Lissu alipigwa hizo risasi 16 "za ndege" kwa amri ya Serikali, hapo ndipo penye utata. Kwani kila mmoja atakuja na version yake hilo tukio ama kwa ushahidi dhania ama ushabiki tu. Vinginevyo, tumtakie Lissu tiba njema na pia mapumziko mazuri ya Sikukuu ya Krismas na heri ya Mwaka Mpya 2021 hapo atakapo ondoka terehe 18/12/2020.
 
Kama mgonjwa wa magonjwa mtambuka 6 aliweza kuchaguliwa,inakuwaje kwa Mh. Lissu ambaye si mgonjwa!?
 
Checkup sio ugonjwa, na hata wewe na mm ni wagonjwa au watarajiwa
 
Hakupigwa risasi na polisi.
 
Haha hivi vitisho mkawatishe wafuga punda singida mashariki
 
Mabeberu yanamtumia mtu mshamba hahah ! Hata hajui kupanga cha kuongea
 
Wewe unaujua ugonjwa wa kudumu alionao Magufuli?
 
Nimesikia katika moja ya mikutano ya siasa, eti kuna mgombea ana Return ticket ya kurudi ughaibuni baada ya uchaguzi. Je ni kweli?
Hiyo tiketi ni ya tar 18!Ingekuwa hivyo basi ingekuwa siku mshindi anatangazwa basi ndio siku angeondoka!Lakini pia kataja sababu ni kuwa Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi hivyo anelaenda kwa matibabu!
 
Akili zenu ni matope,wanaozishikilia wakiwaona wanawacheka sana!Huu ni upumbaav gani ulioandika hapa?
 
Unayajua magonjwa ya Magufuli?Huyo hadi kwa babu wa Loliondo alienda kujaribu kupata tiba mbadala lakini wapi!Corona iipokuja akakimbizwa kwenda kufichwa Chato maana kama angeipata basi alikuwa wa kuchomoka maana anatembelea uzi tu!
Huenda hata miaka 5 asitoboe huyu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…