Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Muongo huyo

MUONGO HUYO! Alipigwa risasi 16 za NDEGE na wenzake ndani ya chama chao kama sehemu ya kugombea madaraka ya UENYEKITI na pia kama njia ya kumfanya aende Ulaya kupanga huu mkakati wa kuja kuvuruga nchi, kwani ilikuwa vigumu sana kuyapanga haya wakati akiwa Bungeni , akiendelea na Ubunge wake; kwani asingeweza kutoka kwa muda mrefu waliokuwa wakihitaji hao mabeberu kwa ajili ya "kumtengeneza na kumtayarisha" kwa kuvuruga uchaguzi wetu. Pia walihitaji muda wa kutosha kwa ajili ya kumwekea vyuma na vifaa vya mawasiliano mwilini mwake, kumhakikishia pesa za uchaguzi, pesa za kuishi yeye na familia yake na pia makazi mapya baada ya kukamilisha MISHENI yake hapa nchini. Misheni ambayo IMEMSHINDA.
Na siku za nyuma tuliwambia kuwa mwenzenu anayo makazi Ubelgiji, mkatutukana humu JF lakini leo Lissu kategua hicho kitendawili. HALAFU nauliza kweli Serikali inaweza kumpiga mtu risasi namna hiyo ILI IWEJE? Sielewi naomba ufafanuzi wa hili jamani.

Wewe ni purely "MJINGA" na "MPUMBAVU" na kwa sababu hiyo unazalisha na kutapika maneno ya kijinga na kipumbavu hapa..

Hao watu walio kwenye chama waliompiga risasi Tundu Lissu hawashikiki na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na haki?

Please, usitufanye sisi pia ni wapumbavu na wajinga kama wewe/nyie...!
 
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.

Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.

Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.

Amewaambia Wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.


Wewe ni purely "MJINGA" na "MPUMBAVU" na kwa sababu hiyo unazalisha na kutapika maneno ya kijinga na kipumbavu hapa..

Hao watu walio kwenye chama waliompiga risasi Tundu Lissu hawashikiki na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na haki?

Please, usitufanye sisi pia ni wapumbavu na wajinga kama wewe/nyie...!
Palm Tree acha kupandisha JAZIBA, acha ku - panic, twende na hoja ndugu yangu, matusi siyo tija! Sasa ni hivi, hakuna wa kushikwa kwani shahidi muhimu, shahidi nambari moja, yule DEREVA wa Lissu KAFICHWA ili kuharibu kwanza upelelezi na pili kuficha USHAHIDI NYETI. Huyo dereva wa Lissu anajua ukweli wote. This time mmeogopa kumwaga damu nyingine, mkaamua kumficha! Pia hizo risasiza ndege zilikuwa na lengo la "kuweka njia kwa Lissu" kwenda Ulaya kukamilisha hayo niliyosema hapo awali. Haya lete hoja acha matusi, na unapomtukana mwenzako unaonyesha who and how you are!
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Kuna mwingine Ac na feni hata akiwa nje tuvumiliane
 
Sijui akili zenu uwa mnaweka wapi!! Maisha yetu yapo mikononi mwa Mwenyezi MUNGU,mtafanya vibwanga vyote, lakini MUNGU kama hajaruhusu ni kazi bure hata mtumie wale navy seal. Mwenyezi MUNGU akiamua jambo lake unaweza ukawa mzima kabisa umekaa unafurahia maisha, muda huo huo pumzi yako ikakata!! Tusifurahie mateso ya binadamu mwenzetu maana hata mkidhulumu uhai wake hautaongezewa kwenu wala kwenye ukoo wenu.
Usemacho ni sahihi kabisa! Kinachogomba ni hii dhana ya kuwa Lissu alipigwa hizo risasi 16 "za ndege" kwa amri ya Serikali, hapo ndipo penye utata. Kwani kila mmoja atakuja na version yake hilo tukio ama kwa ushahidi dhania ama ushabiki tu. Vinginevyo, tumtakie Lissu tiba njema na pia mapumziko mazuri ya Sikukuu ya Krismas na heri ya Mwaka Mpya 2021 hapo atakapo ondoka terehe 18/12/2020.
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Kama mgonjwa wa magonjwa mtambuka 6 aliweza kuchaguliwa,inakuwaje kwa Mh. Lissu ambaye si mgonjwa!?
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Checkup sio ugonjwa, na hata wewe na mm ni wagonjwa au watarajiwa
 
Lissu acha kuudanganya wananchi, kama kweli ulipigwa risasi kwa Amri yake kwanza usingerudi tena Tanzania, lakini kama haitoshi tangu ulivyorudi ulivyoshuka uwanja wa ndege ulisindikizwa chini ya ulinzi wa Askari wa Tanzania hadi nyumbani kwako, kama haitoshi Mikutano yako yote ya kampeni hadi unapolala unalindwa na Askari wa Tanzania, hili linawezekanaje?! kweli wewe ungeamini kulindwa na wabaya wako waliokukosa?!?! Lissu unadanganya watanzania na dunia kwa ujumla,
ulipo lazwa Nairobi viongozi hao hao unaowatuhumu walikuja hadi hospotali kukujulia hali na wewe ulikubali waruhusiwe kuja kukuona!!! Ilikuwaje wabaya wako waliotaka kukuua uwaruhusu kuja kukona hospitali?!! Inawezekanaje!! Huo ni uongo mtupu!!
Hakupigwa risasi na polisi.
 
Haha hivi vitisho mkawatishe wafuga punda singida mashariki
Magufuli akitaka abaki salama aachane kabisa na propaganda dhidi ya Lissu,hili suala la kumshambulia litamwacha uchi mpaka atashangaa,bora aendelee kuwatumia hao ambao Lissu anaita 'wajinga'wake.

Hapo kama hajajua Lissu alikuwa anamtafuta ili aingie Kingi na alishaanza taratibu tangu aliposema atamtafutia kazi,sasa hili la leo limefunua zaidi,sasa atakapodanganywa na wasaidizi wake wamfungulie kesi ndio tayari atakuwa kaingia mazima,na hajui jamaa ana ushahidi kiasi gani,ni bora atulie tu augulie moyoni.
 
Mabeberu yanamtumia mtu mshamba hahah ! Hata hajui kupanga cha kuongea
Mwanzoni ilikuwa ni siwezi kurudi nchini kwa kuwa sijapona(ila kwingine kama Wingereza na Marekani anaenda). Uchaguzi ulivokaribia akapona akaweza kuja kugombea urais. Leo baada ya uchaguzi tena anatakiwa kwenda kumuona daktari tena ila kapambana bila tatizo humu katikati kamaliza kampeni.. Ukiambiwa kwenye siasa hamna kinachotokea kwa bahati mbaya usikatae. Kila kitu hua kimepangwa.
Angeweza kurudi nchini kabla ya uchaguzi, angeweza kumuona daktari wake ndani ya zile siku 7 alizozunguka kununua mitumba ila pia inawezekana angeweza kutoshambuliwa.. Siasa ilaaniwe
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Wewe unaujua ugonjwa wa kudumu alionao Magufuli?
 
Nimesikia katika moja ya mikutano ya siasa, eti kuna mgombea ana Return ticket ya kurudi ughaibuni baada ya uchaguzi. Je ni kweli?
Hiyo tiketi ni ya tar 18!Ingekuwa hivyo basi ingekuwa siku mshindi anatangazwa basi ndio siku angeondoka!Lakini pia kataja sababu ni kuwa Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi hivyo anelaenda kwa matibabu!
 
Ukiona mtu anajitangaza hadharani kuwa ni mgonjwa tena katika kipindi cha kuwania madaraka ya kuongoza nchi ujue hali imekuwa tete. Hakuna mtu anapenda kujitanga kuwa afya yake ina mgogoro hadharani wakati huu hasa kwa Lissu mwenyewe. Maana kufanya hivyo ni kudhibitisha umma kuwa huna uwezo wa kukeleza majukumu yako. Katika zama hizi za maendeleo ya kiuchumi ambapo nchi zinazoendelea zinataka kujitegemea kiuchumi itakuwa ni kukosa hekima kumchagua mgombea ambaye hatatimiza majukumunyake sawa sawa. Bahati nzuri Watanzania wote wana hekima hata wale wa chama Lissu. Kwa hiyo watatumia kujitangaza kwa Lissu kuwa anaumwa kwa kutompigia kura. Bila ushabiki hata wewe ungepata kigugumizi kutangaza hadharani kuyumba afya yako nyakati hizi.

Kwa maelezo haya huna budi kujipima ni namna gani unazitumia akili zako ulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu kabla ya kutilia shaka matumizi yaa akili za mwenzako.
Akili zenu ni matope,wanaozishikilia wakiwaona wanawacheka sana!Huu ni upumbaav gani ulioandika hapa?
 
Ha ha haaaa! Ninyi watani zangu mnanifurahisha sana. Mkibanwa hoja mnaamisha magoli!!!

Suala hapa ni kuwa Lissu ni mgonjwa. Hakuna mahali pamezungunzwa 'ulemavu'. Kwa maelezo yako haya, ni dhahiri, Mkuu una vinasaba vya kumnyanyapaa Ndugu Lissu. Nakushauri, tafuta namna ya kuachana na vinasaba
hivyo.

Tuendelee na mjadala ulipo mezani.
Unayajua magonjwa ya Magufuli?Huyo hadi kwa babu wa Loliondo alienda kujaribu kupata tiba mbadala lakini wapi!Corona iipokuja akakimbizwa kwenda kufichwa Chato maana kama angeipata basi alikuwa wa kuchomoka maana anatembelea uzi tu!
Huenda hata miaka 5 asitoboe huyu!
 
Back
Top Bottom