Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Sawa mzima wewe hata wewe mwenyewe hapo ni mgonjwa unaamka umechooka kila siku huku macho kusoma vocha unashindwa wahi tibaKwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Medical check up is necessary especially after a person has endured a torrid time under the massive operations that he has endured .Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Mshenzi huyo amekuja kuvuluga taifa
Abakizwe hapa hapa apewe fundisho la uzalendo
... tena za ngedere.umemjibu vyema sana na nafkl sna cha kuongeza hapo
Magufuli haelewi lugha ya malkia. Ungemwandikia kiswahili.Medical check up is necessary especially after a person has endured a torrid time under the massive operations that he has endured .
Wapumbavu ni wengi sana nchihii na wewe ni mmoja wao.Mshenzi huyo amekuja kuvuluga taifa
Abakizwe hapa hapa apewe fundisho la uzalendo
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Very true brother!Tukanyage kwa adabu ardhi ya muumba.
Limekabizi akili zake Lumumba hilo! mlisamehe tu! halijui linaongea nn!! njaa sio kitu kizuri!Huyo unayemshabikia anaishi kwa Pacemaker na msaada ya feni kila aendako. Unakejeli ugonjwa una ahadi gani na Mungu?
Kama alipigwa risasi kwa amri ya Rais, huyo Rais anashindwa kumpiga sasa hivi mwambie huyo pimbi watanzania sio wajinga.Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.
Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.
Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.
Amewaambia wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais, na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.
View attachment 1610143
Haya bwanaKwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Mbowe ndiye aliamrisha Lissu apigwe risasiKuhudhuria clinic ya matibabu ni jambo la kawaida.
Uzuri kamlipua kuwa yeye ndio alitoa amri apigwe risasi.
Hii inaitwa akuanzae,mmlalize.
Vipi kuhusu afya ya akili mkuu?Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Anaumwa ugonjwa wa kukimbia wewe kilazaUnadhani Magu mzima?unajidanganya ,ukiambiwa ugonjwa wake utakimbia