Uchaguzi 2020 Lissu: Nikishindwa kwa haki nitakuwa wa kwanza kujitangaza

Lissu kama Lissu, kidume anayeunguruma wengine wameufyata!
Huyu braza anamtia presha jiwe, jiwe halina hali lipo hoi
 
Eeeeh nakupata nakupata Jese John uwanja wa Taifa...

Mashabiki wanazidi kumiminika upande wa HAKI,.

Naona Jukwaa la Dhuluma ni wachache sana halafu wako Kimya kabisa..

Kwenu Studio tupate Matangazo.
 
Magufuli naye atoe tamko, yupo tayari kuachia madaraka?
usimjibu mpumbavu sawa swa na upumbavu wake ama na wewe utakua mpumbavu !

sikumbuki haya maneno yako sura na mstari wa ngapi katika biblia ila nakumbuka niliyaonaga ndani ya biblia...
 
Acha kutetea ushetani wewe kama mtu anaweza kuwadanganya waumini au watoto wa mungu jee wewe fisi tu si anaweza hata kukukata kolodani??
Sawa. Tuwekeeni basi na ahadi zilizotekelezwa na mbunge anaetetea kiti chake ili tumpime na kuachana na huo ushetani tumfuate malaika.
 
kwenye namba 5 hapo ndio alikosea njia kabisa maana kama msikiti upo mpaka kwa Trump na adhana inatoka mara 5 kwa siku unategemea nini ?
 
Sawa. Tuwekeeni basi na ahadi zilizotekelezwa na mbunge anaetetea kiti chake ili tumpime na kuachana na huo ushetani tumfuate malaika.
Gwajima wakati Magu juzi amekuja Kawe alimpongeza sana kwa kuleta maendeleo jimboni au hotuba ya Askofu hukuipata?
Kwanza Gwajiboy hayupo fit kuwa hata diwani kama mzee huyo alimtoa jasho kwenye meno ..kofia ilizunguka mara kadha jee akiingia mjengoni anakuwa same whatsap group na wazee wa ndiyooooo na kugonga meza...Wewe kama unaakiri timamu nipe mrejesho kwenye hiyo clip chini kweri anafaa au laa??
 

Attachments

  • Mh.! Gwajima abananishwa maswali magumu na mzee huyu kijiweni, baada 360 x 640.mp4
    34 MB
Hakuna mtanzania mpumbavu wakuingia barabarabini zaidi ya manyumbu ya kutokea jf yaandamane nyuma ya keyboard
Mimi hapa !Niliwaahidi CHADEMA mapema kanisa Kabla ya uchaguzi!
Sina baba,sina mama ,sina mke na sina mtoto .Nina ndugu wawili wote nimepigania wanamaisha yao mazuri na familia zao.Sina cha kupoteza!CHADEMA naomba niwekwe mstari wa mbele kuingia Barabarani!

Polisi atakaye jitosa na yeye ataimbiwa parapanda
 
Huruhusiwi kujitangaza kwa lolote, iwe ushindi au kushindwa. Fuata sheria.
Sasa wewe unaifahamu Sheria kuliko TL?? Wakili Msomi keshasema Kwa Sheria za Nchi hii "hakuna Lisa lolote kutangaza kuwa umepata kura nyingi zaidi ya wagombea wengine". Who are you to Challenge him??

Mwaka huu hakuna pakutokea, mana Mwamba wa Sheria ni yeye, Survivor ni yeye, Victor ni yeye, Fundi wa Kujenga hoja ni yeye, Mwenye Mapafu ya Umbwa ni yeye, na Mshindi ni yeye.
 
Akijitangaza tu tunafuta uchaguzi na kumuengua kwenye uchaguzi wa marudio huku polisi wakipiga jeramba katika mitaa mbali mbali na silaha kali za kutuliza ghasia
Polisi wataweza kumlinda kila mkurugenzi wa uchaguzi na familia yake? Kwa mfano, mtoto akienda shule, mke akienda sokoni, mama yake kule kijijini n.k.
 
Mkuu mbona haujibu ninachokuuliza. Mimi nishakubali kwamba gwajima hafai, sasa nilitaka kujua huyu mbunge wetu wa kawe ametufanyia nni kwa miaka 5 Ili tumchague tena?
 
Watumishi wenye hekima.
Your browser is not able to display this video.
 
Post of the month
 
Hakuna mtanzania mpumbavu wakuingia barabarabini zaidi ya manyumbu ya kutokea jf yaandamane nyuma ya keyboard
Hakuna Mtanzania mpumbavu wa kukubali utawala huu wa KIFEDHULI uendelee kutawala KIMABAVU, tutaingia barabarani tu.
 
Bado siku tatu ifike tarehe 20.
Alafu itakuwa bado siku 8
 
Mkuu mbona haujibu ninachokuuliza. Mimi nishakubali kwamba gwajima hafai, sasa nilitaka kujua huyu mbunge wetu wa kawe ametufanyia nni kwa miaka 5 Ili tumchague tena?
Swali linalojitokeza ni kwamba, Kazi za mbunge ni zipi? Ni kutoa misaada? Ni kutembelea misiba? Ni kusalimia wagonjwa?

Tunaweza kuzifahamu kazi za mbunge, kwa kuangalia kazi za Bunge, maana mbunge ni mwakilishi wa jimbo (wananchi) katika Bunge: “Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa katiba hii” Ibara ya 63(2), pia na Ibara ya 64(1) inaelezea kazi za Bunge, juu ya kutunga sheria. Hivyo basi Mbunge, ni mwakilishi wa jimbo lake katika chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kina madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake.

"Hivyo kutoa misaada, kusalimia misiba na kuwatembelea wagonjwa si kazi za mbunge. Hizi zimo ndani ya wajibu wake yeye kama mwananchi katika jamii anayoishi. Hata asingekuwa mbunge, angetakiwa kufanya hivyo maana wananchi wote wanafanya hivyo".
Reference...(kwakusoma zaidi) ZIJUE KAZI ZA MBUNGE WAKO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020

Jee kabla hamjazima bunge live hulikua unamuona Mh Halima James Mdee anatimiza wajibu wake kada kijani????????
 
Lisu huyu huyu aliyeamuru barabara ifungwe ndio atajitangaza kushindwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…