Hivyo wanasubiri CCM waongee na wao ndo wachezee humo humo ?Lissu hana sera bali anasubiri Magufuli kesho afungue kampeni, atakachokuwa anaongea Magufuli basi Lissu atakuwa na kazi ya kumjibu. Kimsingi Lissu bado viatu vya Urais havimtoshi
Yaani unamkaribisha mgeni nyumbani kwako, siku ya kwanza unamshindisha njaa. Halafu unamuambia usijali tutakula kesho chakula kitamu sana. Leo lala tu.Siku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Hayo y apo lkn haina maana kuongelea sera wakati hata wagombea wenzie wa kuzisimamia wameenguliwa kinyemela tuu.Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?
Umenena vyema. Na huu ni uthibitisho hamna kura za huruma toka kwa watanzania.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Hapo kwenye maandamano ndo pagumu. Watanzania hawawezi kuandamana.
Yeye mwenyewe aliweka pingamizi ili Magufuli aeunguliwe.Hayo y apo lkn haina maana kuongelea sera wakati hata wagombea wenzie wa kuzisimamia wameenguliwa kinyemela tuu.
Ccm hatak kushindana kwa sera alishasema SG Bashiru kuwa.wao wana dola hivyo hawatakubali ccm ifutike kwenye raman kama kanu
Dogo unaelewa nini kuhusu mzinduzi wa kampain
First impression matters...kabugi...tutajua huko mbele ataongea sasa sababu wananchi wamemlazimisha aongee atafanya nini...angeanza na mwanzo walau...Siku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Suala la wagombea haliwezi kuzidi uzito wa Ilani. Leo ilikua uzinduzi wa Kampeni na ndiyo siku ya kuzindua ilani ili kuwaambia watanzania wanaenda kuwafanyia nini. Hili la wagombea lingeweza tu kushughulikiwa kwa namna yoyote ile ambayo wangeona inafaa, lakini siyo kuzuia ilani.Ukweli ni kwamba, Mwitikio wa watu Leo ulikua mdogo sana tofauti na mategemeo yao. Wameamua kubadili gia angani maana ni aibu sana, wataenda kuizindua sehemu watakayopata watu wengi.Mm nafikiri hujasikia vzr, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwa
Kiswahili ni kirahisi mno
Wasipotoka hataongea mambo ya kampeni kabisa?Kasema hawezi kuzindua ilani wakati wagombea wote wamekatwa nani ataenda kuitetea iyo ilani kwenye vijiji kata au Majimbo by the way nimemuelewa.
Hapo kwenye maandamano ndo pagumu. Je watu wataitikia ?Watanzania tunavyoogopa kipigo cha mbwa koko.
Ila watu walikuwepo bwana. Ila naungana na wewe leo ndo walitakiwa wamwage sera zao.Suala la wagombea haliwezi kuzidi uzito wa Ilani. Leo ilikua uzinduzi wa Kampeni na ndiyo siku ya kuzindua ilani ili kuwaambia watanzania wanaenda kuwafanyia nini. Hili la wagombea lingeweza tu kushughulikiwa kwa namna yoyote ile ambayo wangeona inafaa, lakini siyo kuzuia ilani.Ukweli ni kwamba, Mwitikio wa watu Leo ulikua mdogo sana tofauti na mategemeo yao. Wameamua kubadili gia angani maana ni aibu sana, wataenda kuizindua sehemu watakayopata watu wengi.