Tatizo hili wamechagia sana kulijenga. Uchaguzi wa serikali za mitaa,walivyoenguliwa walitakiwa wawashe moto. Sema wao wakaamua kuzila. Na CCM lengo lao wanataka wapinzani wazile tena.ALISEMA LEO HAZUNGUMZI ILANI KWAKUWA JAMBO KUBWA NI KUENGULIWA WAGOMBEA
HahahaaaaaaaaaHata uzinduzi wa Kampeni za Lowassa ilikua hivi hivi. Aliishia kusema Elimu! Elimu! Elimu! Halafu wakasema Hotuba yake itawekwa kwenye mitandao watu waisome.
Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Amesema,atasema siku nyingiene na siyo kwenye vurugu mshenzi ya leo.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Hii ni fikra makini, kama Watanzania wote tutaamua kujiuliza na kujitafakari katika uchaguzi wa kipindi hiki, basi tutaona kwa usahihi kiongozi aneyesitahili kuiongoza Tanzania ya Sasa.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Kama ulifuatilia mkutano huu na kama ulimfuatilia Mnyika , usingeleta uzi huuLissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Presidential material ni mtu wa aina gani?Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Kasema hotuba amabayo aliiandaa hataisoma.
Wanataka wadeal kwanza na wagombea walioenguliwa.
Kwa hiyo mleta mada amekurupuka !?Mm nafikiri hujasikia vzr, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwa
Kiswahili ni kirahisi mno
Binafsi niliumia sana Lissu kupigwa Risasi. Ila Mungu kamuokoa. Sasa ninamsihi awe kama Yusuphu. Yusuphu pamoja na aliyofanyiwa still alisonga mbele,still aliweka mikakati Misri ikawa nchi yenye chakula tele.
Lissu be Joseph now ,yaliyopita yamepita.
Kususia kutoa hotuba kuna lengo la kuonyesha u-seriousness wa shida iliyopo mbele. Muda wa kumwaga sera badoooo ndiyo kwanza unaanza. Unajua mwaka 2015 CCM walipata mteremko sana kwa sababu Lowassa alikuwa hawezi kutamba jukwaani. Mpaka Magufuli akaonekana ni mzuri kumbe wapi. Hii kampeni itawasumbua sana CCM kwani kosa alilofanya Magufuli ya kuzuia mikutano ya wapinzani halafu yeye akawa anatamba mwenyewe kulimfanya adhanie kuwa anapendeka na kuheshimika na wananchi wengi sana. Sasa hivi anapokumbana na reality check anajikuta anachanganyikiwa. Hivi kosa kama lile la kuweka picha ya namna ile kwenye fomu badala ya kuweka picha ya halisi ya passport size ukiambia limefanywa na rais anayemaliza muda wake utaamini ni kweli?Mwanzoni Mbowe alivyoongea TBC hawajaonyesha. Ila all in all.Hakuna sababu yeyote ambayo ilitakiwa kuwazuia leo kumwaga sera zao. Wangesema kwa nini tuwachague na still wangesemea walioenguliwa pia.
Sasa hayo maneno wangewaambilia wapi.Sasa kwa nini wasingeahirisha kwanza hadi wa-resolve hizo issue badala ya kuwachosha watu kuja na kuishia kuambulia maneno.
Hakuna sababu yeyote ingemzuia leo mgombea kujinadi. Unaniita kwako nije kula pilau,nikifika kwako unanipa ugali eti pilau siku nyingine tena 😭😭😭😭😭come on. Leo wamechemsha. Kubalini tu.Kama ulifuatilia mkutano huu na kama ulimfuatilia Mnyika , usingeleta uzi huu
Siku ya kwanza ndio ilitakiwa itoe mwanga wa nini kinaenda kuongelewa kwenye kampeni zao..Siku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Leo Lissu alitakiwa awashe moto.Sasa hii ya leo itawapa CCM la kusema kesho. Believe me kesho CCM watatamba sana. Watapiga vijembe mpaka basi.Kususia kutoa hotuba kuna lengo la kuonyesha u-seriousness wa shida iliyopo mbele. Muda wa kumwaga sera badoooo ndiyo kwanza unaanza. Unajua mwaka 2015 CCM walipata mteremko sana kwa sababu Lowassa alikuwa hawezi kutamba jukwaani. Mpaka Magufuli akaonekana ni mzuri kumbe wapi. Hii kampeni itawasumbua sana CCM kwani kosa alilofanya Magufuli ya kuzuia mikutano ya wapinzani halafu yeye akawa anatamba mwenyewe kulimfanya adhanie kuwa anapendeka na kuheshimika na wananchi wengi sana. Sasa hivi anapokumbana na reality check anajikuta anachanganyikiwa. Hivi kosa kama lile la kuweka picha ya namna ile kwenye fomu badala ya kuweka picha ya halisi ya passport size ukiambia limefanywa na rais anayemaliza muda wake utaamini ni kweli?
Ila wewe ndio umechekeshaHuyu Victoire ni mnafiki tena mnafiki mkubwa sana, usiwahi kuthubutu hata kidogo ukamuamini.
Nimebahatika kuona makaburi yake kadhaa humu HAFAI.
Kama hawawezi kuandamana maana yake hawataki haki any way acha tuone Kama Lissu ataandamana pekee yake kesho Kama kweli watanzania hawawezi kuandamanaHapo kwenye maandamano ndo pagumu. Watanzania hawawezi kuandamana.
Wewe huna ulijuwalo, kesho Chadema wapo Tanganyika Packers.Leo Lissu alitakiwa awashe moto.Sasa hii ya leo itawapa CCM la kusema kesho. Believe me kesho CCM watatamba sana. Watapiga vijembe mpaka basi.
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.