Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Ila watanzania bado sana. Kumbuka Egypt wale kina Ben Ali na Mubaraak walikuwa kwenye utawala zaidi ya miaka 20.
Scenario hazipo sawa.
Sema tu NEC imekosea sana kukata wagombea.
Hapo najiuliza wala sipati jibu.
Imagine wagombea 50 wa Chadema wameshakatwa na wagombea 20 wa ACT huko zanzibar wameshakatwa, maana yake CCM imeshalamba wagombea 70 mezani.

Sasa huo ni uchaguzi au ni uchafuzi?

Jiwe anataka kubadili katiba aongeze muhula wa utawala kwa hiyo lazima awe na idadi minimum ya wabunge wa upinzani wa kumpinga haswa wa Zanzibar, maana anahitaji theluthi mbili kutoka pande zote za Muungano kubadili vifungu vya katiba
 

Kwani wewe huku kuengua wagombea unaona ni sawa maana seriakali inatumia dola kuengua wagombea unataka asemaje kama watu wanataka wapite bila kupingwa kama ilivokuwa serikali za mitaaa
 

Ila watu mna vichwa vya panzi mbona wamesema kabisa kuwa hawataanza leo kunadi sera zao kutokana na yanayoendelea majimbon au mwenzetu ulikuwa unatumia naniliu kisikilizaa
 
Acha hizo!! Hii mechi hatashinda mnafikiri watz ni wa mchezo mchezo!! Tayari wameshaanza kuwapa za kichwa tena Mbagala mmeshindwa kujaza uwanja!!!
 
Leo Lissu alitakiwa awashe moto.Sasa hii ya leo itawapa CCM la kusema kesho. Believe me kesho CCM watatamba sana. Watapiga vijembe mpaka basi.
Anyways, mambo ya vijembe na kutambiana ni mambo ya kuliwaza roho tu lakini ki-uhalisia CCM haishindi kwa sababu inajua kupiga vijembe au kuhutubia. Magufuli ni mweupe sana kwenye kijieleza na mbaya zaidi hana mvuto na convincing power. Kungekuwa na tume ambayo inafanya kazi kwa uhuru kweli kweli CCM wangeshindwa vibaya sana. Nilichogundua ni kwamba watanzania wengi just hawataki kiongozi wa type ya Magufuli.
 
Mm nafikiri hujasikia vzr, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwa
Kiswahili ni kirahisi mno
Historia imejirudia ya uzinduzi wa kampeni 2015 tulielekezwa ilani tukaisome kwenye Mtandao
 
Kidogo nikutusi, ila Nilipoona ID ya mwanamke nmeamua kupoa.


Inamaana aliposema alikua kaandaa hotuba , lakn kwa kinachoendelea majimbon kaamua kutoisoma, ili ajikite na haya yanayoendelea... WEWE ULIKUA UNAMSIKILIZA KWA KUTUMIA NN???.
Akili kweli hiyo nimeamini chadema hawakujiandaa hata ilani hawana wanasubiri KUDESA kutoka ccm.Ndiyo maana walitaka LOCKDOWN kwenye COVID19. Jinga kabisa haya majamaa nadhani mpunga ndiyo issue.
 
Wanaanza maandamano kwanza. Sera baadaye
 
Sisi wapiga kura tutasoma ilani ya vyama vyote siyo lazima kuambiwa na wagombea. Magu alushajipambanua ni mtu wa KAZI siyo kuonge ongea. Magu tena 2020-2025
 
Reactions: UCD
Watu tuna kiu ,Magufuli katuchosha ila sasa atakaemshinda Magufuli inatakiwa awe na msuli haswa.
Kuna time mkishindwa hata kuiba kura mnaona aibu.
 
Kwani wewe huku kuengua wagombea unaona ni sawa maana seriakali inatumia dola kuengua wagombea unataka asemaje kama watu wanataka wapite bila kupingwa kama ilivokuwa serikali za mitaaa
Semeni ukweli upinzani haina wagombea wa maana wengi wababaishaji tu. Ndiyo maana hata kujaza fomu ni shida na Lissu wakati wakutafuta wadhamini badala ya kutumia muda mwingi kuwafundisha wagombea wao alitumia muda mwingi kumsema Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi. Sasa mtakula mavi yenu. Watz wameshaanza kuwaonyesha adabu.
 
Angalau angesema tu labda akiingia madarakani atatoa bullet proof kwa kila raia,kupigwa kwake risasi ndo imekuwa sera ya kuonewa huruma ili apate urais.
 
Watu tuna kiu ,Magufuli katuchosha ila sasa atakaemshinda Magufuli inatakiwa awe na msuli haswa.
Kuna time mkishindwa hata kuiba kura mnaona aibu.
Sema nyinyi wababaishaji wa maisha amewachosha! Lakini watz wengi watampa kura Magufuli.
 
Time with the audience is everything wakati huu wa kampeni.

Kila neno, sentensi, posture, tweet, jamii forum post inayotoka kwa mgombea lazima iwe na uzito wakulenga kitatua shida za wale unaotaka wakupe idhini.

Na watu wakishamaliza kukuonea huruma, huwa wanataka wajue ..haya ss..kesho tunakula nn.. maana njaa Haina majonzi.. huruma can only get you so far. Uwezo utakupeleka the rest of the way.

Miaka mitano hii walipaswa kutembelea wananchi, kujifunza matatizo ya yao (Watanzania) Leo wangekuwa na kitu Leo na wangerelate vizuri na wapiga kura Kama CCM ilivyofanya.

Mawazo binafsi:
Mwisho wa yote Kiongozi anachaguliwa kwa maongozi ya roho. Mungu Ndiye husimama katikati. Na naamini tukiondoa chuki, hasira, vinyongo, masengenyo, wivu na tamaa immediately tunakuwa objective.

Na hapo ndipo unapokosa mahala pa kuweza kumsema vibaya Dr.JPM.

Mchakato wa kumpata Kiongozi Ni mchakato wa kiimani sana.. unatawaliwa na nguvu za Mwenyezi Mungu. Na wakati mwingine hofu huwaingia washiriki mid way haswa wanapopitiwa na Pepo wa kweli. Unabaki unajiuma uma tu [emoji16][emoji16][emoji16]


Twende tu JPM (Insh'Allah)

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapa umeandika point. Najiuliza kwa nini wakosee wao tu ?hili ndo litakuwa jibu. Why kina Mdee et al wasienguliwe ?Ina maana hawa walioenguliwa wamekosea kweli,ama wamenunuliwa ili wajikoseshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…