Lissu: Polisi hawana uwezo wa kukaa na Mbowe muda mrefu gerezani. Mbowe na CHADEMA hatutatoa ushirikiano

Lissu atulie hapo hapo ushahidi usio na chembe ya shaka unawekwa wazi, tena miongoni mwa mashahidi ni wanachadema wenyewe....! Mdude chadema aliwashwa hadi akaropoka ila yeye hata sio shahidi kati ya mashahidi lukuki! Hongera TISS hongera Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri.
 
Anamtelekeza Mbowe yeye akiwa ulaya, na yeye akirudi akishikwa atakosa utetezi maana sasa hakuna namna kumtelekeza Mwenyekiti wa Chama Taifa.
 
Soma alama.

Mbowe kawanyima ushirikiano polisi ndio maana haruhusiwi kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake.

Siyo ajabu hata chakula hali.
Huyo gaidi atakufa,mwambieni ale chakula,kifo hakina masihara sheikh
 
Good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…