Lissu: Polisi hawana uwezo wa kukaa na Mbowe muda mrefu gerezani. Mbowe na CHADEMA hatutatoa ushirikiano

Lissu ndo basi tena mpaka CCM itoke madarakani ndo urudi nyumbani, mateso makubwa sana kwa umri huo kukaa nje kwa lazima ni kama uko jela tu, nyumbani ni nyumbani, hata kama ni vichakani. Hizi mitandao at least zinawapa u nafuu kidogo kama uko nyumbani otherwise no mateso sana.
 
Wewe ni ****
 
Shoga wewe Bwabwq
Mzee wa Matusi ulikuwa wapi kaka?!!

Nilitegemea kupotea KWAKO utanijia na MATUSI MAPYA...🤣

TUPO MKUU WANGU

#KaziInaendelea
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiAmaniYaTanzania
#MzigoNiUtulivuWaTanzania
 
Kwahiyo anatuambia Nini !!?? Wamemsusa auu!!!??

Watajijua wenyewe
Kwa akili kama hizi, ndio maana bara la Afrika ni zaidi ya miaka 50, tunajitawala wenyewe, lakini hakuna la maana, matatizo ni yale yale, halafu unasikia jitu linasema eti wazungu ndio wanatukwamisha!!!Afrika uwezo wa kujitawala tulikuwa bado!!NI VIUMBE KATILI SANA,
 
Zero brain ktk ubora wake!!na si ajabu kesho akiachiwa bila masharti, utasikia tena unakuja kumpongeza MAMA, yaani hata huwa hamueleweki mnasimamia nini!!
 
..mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanya ukaidi namna hiyo ni Lssu peke yake.

..familia ya Mbowe inaweza kuamua vingine na kumuwekea dhamana.
Lissu hana uwezo huo kama anakabiliwa na hali kama hiyo wakati ambao sio wa uchaguzi.
Kama naongopa kauli yangu basi Lissu asingekimbilia ughaibuni baada ya uchaguzi angebaki kupambana na kufanya ukaidi kama anao shauri.

Kwa sasa mwanaume mpambanaji kweli kweli ni Mbowe ambaye hajakimbia anawapeleka mchakamchaka wahasimu wake akiwa battlefield na siyo Lissu au Lema waliokimbia mapambano live.

Mbowe ni mwanaume hasa..
 
..mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanya ukaidi namna hiyo ni Lssu peke yake.

..familia ya Mbowe inaweza kuamua vingine na kumuwekea dhamana.
Lissu huyu huyu aliyeenda kujificha ubalozini au kuna mwingine?
 

..hoja yako imenifikirisha sana.

..kinachonitatiza ni siasa za UHASAMA za nchi yetu.

..kwenye nchi za wenzetu wanasiasa hawafanyiani hila kama hizi tunazozishuhudia hapa kwetu.
 
Anamtelekeza Mbowe yeye akiwa ulaya, na yeye akirudi akishikwa atakosa utetezi maana sasa hakuna namna kumtelekeza Mwenyekiti wa Chama Taifa.
Hako kajamaa kalafa sana, kanabwekea mbali utafikiri ka mbwa koko, kanabweka wakati kameficha mkia nchonyoni. Kenyewe wanakula bata mamtoni na kushikishwa ukuta na akina rob amster, wakati huo huo kakihamasisha kumtelekeza mwenyekiti wake.
Ngoja siku katakapotia mguu back!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…