imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Alibanwa na wasiojulikana na akatoboaLissu domokaya! Kabanwa na sheria za ukimbizi sasa anawashwawashwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibanwa na wasiojulikana na akatoboaLissu domokaya! Kabanwa na sheria za ukimbizi sasa anawashwawashwa!
Hana lolote! Nchi yenyewe Ubelgiji. Ataishia kusaidiwa na vyama vya homosexuals tu! Hiyo siyo nchi ya kumpa ajira hata siku moja.Alibanwa na wasiojulikana na akatoboa
Sasa risasi zote za nini? hao maHomo si Makonda aliwakomalia mbona mulimpiga bitiHana lolote! Nchi yenyewe Ubelgiji. Ataishia kusaidiwa na vyama vya homosexuals tu! Hiyo siyo nchi ya kumpa ajira hata siku moja.
Ni kweli kabisa, ila akiendaga kwa nini wanaposti?Hivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
Na likitoka lazima lije lizibue nanihii hizoLeo tutegeee jitu litatoka nje lionekane
Anasema tusimzungumzie sana atazinduka.
Hili swali ni zuri sana likielekezwa kwa Gerson MsigwaKwani ni lazima tujue kila mahali alipo?
Wewe mtake kumuuwa leo unajifanya unamuhurumia Kwa yaliyompata. Acheni unafiki tubuni ile Dhambi ya kumuuwa Lisu. Si Mungu tu kawakatalia Upumbavu WENU.Lissu keshakuwa beberu mdogo!! Hana manufaa kwa Taifa letu!! Ninamhurumia kwa yaliyompata lakini asiposamehe atathirika mwenyewe!!
Kutokumuua Kwa zile risasi kutakutesa mpaka unaingia kaburiniYule ni debe tupu!
Angekuwa kama unavyompamba hapa asingekimbia kitisho cha kwenye simu
Nani ateseke?Kutokumuua Kwa zile risasi kutakutesa mpaka unaingia kaburini
Halafu mkapiga risasi mtu asiye na akili? Mna mafuvu yaliopooza sanaUkiwa na akili kama za lissu ujijue kwamba una matatizo makubwa sana hata watoto wako wanakushangaa hapo lissu hata mkewake anamshangaa ni mtu wa aina gani aliolewa naye hana akili yaani akili zake za kuvukia barabara tu asigongwe yaani hapo anafurahi anasikilizia kitatangazwa nini yaani ukishatolewa marinda kama lissu akili inahamia huko
Ndio mwisho wako wa kutumia akili umekomea hapo! Umeandika nini sasa hapa!Huyo ndio Lissu sasa, Mbeligiji halisi
Ila yeye amuamua kujihonga kwa amsterdama moja kwa moja?Huyo siyo sawa na maprofesa wenu waliopata Kwa kuonga viungo vya miili yao