Lissu: Rais Samia akiniteua katika Serikali yake atakuwa hanipendi

Kujiamini ni muhimu sana lakini kuwa na imani na wenzako ni muhimu pia bila hiyo kamwe huwezi huwezi kufanikisha malengo yako!
Hiyo ni wewe umesema.
Anyway good for you.
 
Huyu lisu niliwai mskia akisema yeye ni born rebel,
Hata chadema ikiingia ikulu anahis hata enjoy tena itabd ahamie upinzni tena ili aweze kukosoa..
 
Mtu anayekuteua ni udhihirisho wa kukupenda. Asingempenda asingemtembelea Nairobi na kukutana naye Ubelgiji. TL angesema hawezi kufanya kazi chini ya mifumo mibovu ya serikali pasipo mabadiliko au katiba mpya!

Hata hivyo, aliyeko serikalini hazuiwi kukosoa mabaya na kupongeza mazuri. Akubali kuteuliwa pasipo kuacha misimamo yake ya kutetea haki na kuinyoosha serikali.

Ndivyo alivyo Othman Masoud na ndivyo alivyokuwa Maalim Seif.
 
Ni kwamba kama Rais atamteua kushika nafasi yo yote katika serikali basi atakuwa kama amefungwa na hatakuwa huru tena kuikosoa serikali.
Vp kuhusu kukubali teuzi? Atakubali na kujua kuwa Rais hampendi au atakataa huo uteuzi?
 
Una kichwa kigumu hatari
Ndiyo, nikigumu kweli kweli, nashukuru kwa appreciation. Wengine wanabaki nalo moyoni bila hata kunipa pongezi. Mwanaume hutakiwa kuwa na kichwa legelege utakimbiwa.
 
Hao uliowataja hawakuteuliwa na Rais bali chama chao!
 
Kitila Mkumbo alimshauri Hayati Dr Magufuli aache kuteua Wana taaluma wa Vyuo vikuu ili wabaki kufundisha vyuoni…alipoteuliwa Yeye akitokea Udsm akashukuru sana na hata zile tuhuma zake za kufoji cheti Makonda zikaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…