"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."-Tundu Lissu
Iwe kaleke baije bakaende ObuguluDuuuh.....
Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."
Maaaweeeee
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
#KaziIendelee
🤣🤣Kwa kuwa umeikosa ajira ya watu 6000 wa TAMISEMI ?!!Nipo Tayari kwa lolote [emoji58]
Iwe kwa shari au kwa heri......
Huyo anaropoka tu....Hii sasa ni ile lugha ambayo CCM huwa wanaielewa. Si zile za makanisani.
Cc: BAK Salary Slip Erythrocyte
Tamko moja tu la Samia nyote mtakimbiana kama kima poriniLazima Kieleweke.!
Katiba Mpya ni ya lazima. Hakuna kubembelezana.
Mfu anaoza kwenye kilo kadhaa za udongoAmeshahakikishiwa usalama wake?
Atokee wapi yule ni mwiga Kama MasadaCha msingi awe anatangulia yeye mbele wengine tunafuata.
Uchu wa madaraka n mbaya sana
🤣🤣Mbona hiyo SHARI hamkuita guliza AWAMU YA 5?!!! Baaambaaaash....Lugha hiyo ndiyo CCM anayoielewa wala si nyingine. We are now getting there.
Yaani mkuu Mshana Jr na busara zote ULIZONAZO unaongea hivyo ?!!
Kwani ameshahakishiwa usalama?"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."-Tundu Lissu
🤣🤣Mbona hiyo SHARI hamkuita guliza AWAMU YA 5?!!! Baaambaaaash....
Hamna lolote ninyi.....
Mlishindwa kuandamana kutokea pale UBUNGO......mtaweza lini tena ?!!!!🤣🤣
KAMANDA MULIRO YUKO DIZIM....
Watoto wake wanakula BATA NA KUISHI KAMA WAKO MAMTONI....Jana alikuwa anawauliza Vijana," mko tayari Vijana"
Sidhani kama familia yake aliwauliza
Huyo anaropoka tu....
Hakuna wa Kukimbia. Hatucheki na Nyani.!Tamko moja tu la Samia nyote mtakimbiana kama kima porini
USSR
🤣🤣🤣Hakuna wa Kukimbia. Hatucheki na Nyani.!