Sawa kizazi cha sahivi mtafanya nini baada ya Lissu kukataliwa na wananchi kwenye box la kura???Kizazi cha sahivi sicho kile cha wasira ambacho kita ogopa jeshi la akiba
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo miaka mitano mtatumia kupambana na ufisadi kama ule ufisadi wa ujenzi wa chato international Airport??? Hampo seriousSera ya CHADEMA ni kupambana na ufisadi kama ule ufisadi wa ujenzi wa Chato International Airport.
Una swali lingine??
Sera ya chato ndio kitu gani??? Unatafuta basha comrade mbona unaulizia urijali wangu??Tuwekee sera ya chato basi km unaona wivu mtoto sio riziki wewe
Kaka sijui dada. Siasa za campaign za uchaguzi , ndivyo zilivyo popote ulimwenguni. Hata Maghufuli anaongelea mapungufu ya Lissu, kila anapojisikia kufanya hivyo .Sababu kila uzi unaomuhusu Lissu nakutana na masimango tu kwa serikali lissu kasema serikali imefanya vile mara imefanya hivi.
Niite comrade inatosha. Upo sawaKaka sijui dada. Siasa za campaign za uchaguzi , ndivyo zilivyo popote ulimwenguni. Hata Maghufuli anaongelea mapungufu ya Lissu, kila anapojisikia kufanya hivyo .
Kikubwa una kadi yako ya kura , itumie unavyotaka 28/10/20
Nyie wenyewe mnamsaidia kuandamana angalau baadhi wsmerudishwa.Lisu aliwaambia muwe mnaandamana ili wagombea wenu warudishwe mbona hamjaandamana mpaka leo?
Mrudishe tu keshanichosha🤣Oktoba tunamrudisha kwa beberu wake Amsterdam
Mkuu unatumia akili kufikilia au unatumia nn? Mbona watu wengine akili hamnaUmeshawahi kumuuliza Lissu hilo swali??!
Unataka kuchezeshwa mdako wa kushoto na kulia...Mabeberu wamemuaharibu akili Sana.
Mkuu ivi wewe na uyu Nani niwamilembe au Nani nikibaraka?.....Kinana,Nape,makamba....wote hao walidukuliwa wakimteta Rais kwakuminya Haki.....Sasa wewe nakinana au Nape ninan mwenye impact kubwa CCM?...mkuu me nahisi utakua umekosea wewe ndio utakua wa milembe day.....malizia dozi Kwanza ndio uwe unacoment kwajazba namatusiHuyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,
Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Lissu umeshawahi kumuuliza anatumia akili kufikiri au anatumia nn?Mkuu unatumia akili kufikilia au unatumia nn? Mbona watu wengine akili hamna
Mkuu heri yako wewe mwenye uwezo wa kuona jazba kupitia maandishiMku
Mkuu ivi wewe na uyu Nani niwamilembe au Nani nikibaraka?.....Kinana,Nape,makamba....wote hao walidukuliwa wakimteta Rais kwakuminya Haki.....Sasa wewe nakinana au Nape ninan mwenye impact kubwa CCM?...mkuu me nahisi utakua umekosea wewe ndio utakua wa milembe day.....malizia dozi Kwanza ndio uwe unacoment kwajazba namatusi
Kama nimekuumza kwacoment yangu nisamehe mkuu,ila kiukweli huwa nachukizwa na lugha chafu....maana Sina Chama magufuli na mkubali Lisu Namkubali...ningeflai nyie wafuasi mkawa mnacoment kwalugha Safi ili sisi tusio navyama tupate sehemu sahii yakupga kura yetu Oct 28Mkuu heri yako wewe mwenye uwezo wa kuona jazba kupitia maandishi
Mataga mkiambiwa ufisadi wa Chato Internatinal Airport mnapanic kama mmevuliwa nguo mbele ya wakwe 🤣 🤣 🤣Kupambana na ufisadi? My foot,!
Mngekuwa na akili hizo Lowasa 2015 asingepaga kura hata 10
Wewe ni JIWE?Huyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,
Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Hapana hiyo ni moja ya sera kati ya nyingi zilizopo kwenye Ilani yetuKwaiyo miaka mitano mtatumia kupambana na ufisadi kama ule ufisadi wa ujenzi wa chato international Airport??? Hampo serious
Bukoka ni kanda gani??Huo uwanja ndio utafanya jiwe azoe kura zote za kanda ya ziwa.
Lisu ataambulia kura za wachaga tu
Comrade yaani umenifurahisha sana ulipoitaja ilani maana nimekua naitafuta ilani ya chadema bila mafanikio. Hatimaye umeitaja naimani unayo nakuomba uniwekee hapa ili nipate kuisoma.Hapana hiyo ni moja ya sera kati ya nyingi zilizopo kwenye Ilani yetu
Mataga umepanic ehhh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nyie Sera yenu kukamata wanao wazomea sioNdio sera ya chadema hiyo??!
Mataga umeitafutia wapi hiyo Ilani?Comrade yaani umenifurahisha sana ulipoitaja ilani maana nimekua naitafuta ilani ya chadema bila mafanikio. Hatimaye umeitaja naimani unayo nakuomba uniwekee hapa ili nipate kuisoma.
Karibu sana comrade katika kuniletea ilani ya uchaguzi ya chadema.