T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Comrade bado hujaipata iyo ilani??Mataga umeitafutia wapi hiyo Ilani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comrade bado hujaipata iyo ilani??Mataga umeitafutia wapi hiyo Ilani?
Piga kura kwa Mh Lissu achana na Jiwe aliyesukumiziwa ndaniKama nimekuumza kwacoment yangu nisamehe mkuu,ila kiukweli huwa nachukizwa na lugha chafu....maana Sina Chama magufuli na mkubali Lisu Namkubali...ningeflai nyie wafuasi mkawa mnacoment kwalugha Safi ili sisi tusio navyama tupate sehemu sahii yakupga kura yetu Oct 28
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi tunajivunia kuwa na ilani ya uchaguzi iliyobora kabisa. Haturopoki tu kutoka kichwani kama tundu Lissu
Huo uzi umefutwa sababu ni uzushi sasa wewe mpaka dakika bado unajitekenya tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikujua kama mmezomewa aisee
Mkuu nje ya mada, jiwe atakuja kwenye mdahalo wa kupima uwezo wa Rais au haji?Acha aendelee kuwadanganya ninyi wafuasi wake wa mitandaoni,huyu mtu wenu lisso hawezi kamwe kuwa rais wa jmt hadi anaenda kibrah,
Ashukuru kwa kuweka historia ya kuwa mnyaturu wa kwanza kugombea urais kupitia CHADEMA ,
Itakuwa ya ccm hii CHADEMA wamekopiNdio sera ya chadema hiyo??!
Sera ya CcmNdio sera ya chadema hiyo??!
Upo sawa.Itakuwa ya ccm hii CHADEMA wamekopi
Upo sawa.Sera ya Ccm
Mkuu sema mimi sikulaumu kwakuwa uko kazini, lakini ukweli hata wew unajua kuwa jiwe siyo mtu sahihi kuwa Rais wa hii Jamuhuri, naomba niishie hapaHahaha comrade usinitoe kwenye reli. Hebu tuache kujadili nyeti.
Bora uje kwa RUNGWE mkuu sisi tunat kuhakikishia mchele wa Mbeya supa na kuku was kienyejiKama nimekuumza kwacoment yangu nisamehe mkuu,ila kiukweli huwa nachukizwa na lugha chafu....maana Sina Chama magufuli na mkubali Lisu Namkubali...ningeflai nyie wafuasi mkawa mnacoment kwalugha Safi ili sisi tusio navyama tupate sehemu sahii yakupga kura yetu Oct 28
Ila huyu🙄Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa majiView attachment 1571553
Refa ni mm mwenyewe....Nani refa?
Ila mnazomewaSisi tunajivunia kuwa na ilani ya uchaguzi iliyobora kabisa. Haturopoki tu kutoka kichwani kama tundu Lissu
Leta hata picha comrade ya tukio. Tumeomba mlete video hakuna hata mmoja aliyeweza kuleta.Ila mnazomewa
AMANI ni TUNDA la HAKIMgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.
Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.
Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.
Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Mtajifurahisha misukule ya lumumba....Chato ndio watampigia kura Magu maana nyie mmeona sio watu,
Mwaka huu mbona tutawafurahisha sana!
Tuwekee sera ya chato basi km unaona wivu mtoto sio riziki weweSera ya chato ndio kitu gani??? Unatafuta basha comrade mbona unaulizia urijali wangu??