Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.

Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.

Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.

Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Yeye ni mkimbizi wa Amsterdam hata akisema hivyo hana cha kupoteza! Tutamgalagaza na nyang'au wenzie kwenye sanduku la kura tar 28!
 
"Uchaguzi wa haki" kwa Lissu ni yeye "kushinda" that is what "haki" means to Lissu and his friends who have sent him to try and destabilize our country! Let him (Lissu) and his friends that is the LAST THING HE CAN DO TO OUR TANZANIA. We are ready to defend our mother Tanzania with ALL COSTS including our brains, mifupa, damu na nyama.
Thats not correct buddy.

Amesema mara nyingi tume watende haki na ametaja ni namna gani hiyo haki itaonekana

1. Kuwaapisha mawakala
2. Kuwa haki ya kutimiza majuku yao baada ya kuwa barua.
3. Kutoa nakala za matokeo zilizosainiwa hapo kituoni.

Mwisho kabisa tume kutoa matokea sahihi kadiri ya hesabu sahihi maana kila chama kitakuwa na nakala.

Hapa ikibidi upatanisho wa karatasi za matokeo kati tume na chama husika ufanyike.

Vinginevyo wataingiza watu barabarani. Mi nadhani tume itende haki tu, kila mtu ashinde mechi zake.

Usishikiwe akili mkuu.
 
Kila mtu anajua kuwa asilimia 80 ya kampeni za Lissu ametoa masimango na kulialia tu.

Usiwajumuishe wengine wengi tu wasiokubaliana na nyie ma lb7.

Unafahamu maana ya 'kila mtu'?

Kiingereza shida, kiswahili nacho. Ongeeni hata ile lugha yenu chagu mwana mawingu ataleta fasiri.
 
Usiwajumuishe wengine wengi tu wasiokubaliana na nyie ma lb7.

Unafahamu maana ya 'kila mtu'?

Kiingereza shida, kiswahili nacho. Ongeeni hata ile lugha yenu chagu mwana mawingu ataleta fasiri.
Kiingereza hakijengi madaraja wala sgr comrade jaribu kuwa na fikra kidogo.
Ndio kila mtu anajua JPM lazima ashinde.
 
Kiingereza hakijengi madaraja wala sgr comrade jaribu kuwa na fikra kidogo.
Ndio kila mtu anajua JPM lazima ashinde.

Kiswahili pia hujui ndiyo maana unasema "kila mtu". Kiingereza pia hamjui SGR na madaraja ni visingizio.

Lugha ile pendwa ijaribuni tu. Chagu wa Malunde atafanya kazi ya kusambaza ujumbe.
 
Kiswahili pia hujui ndiyo maana unasema "kila mtu". Kiingereza pia hamjui SGR na madaraja ni visingizio.

Lugha ile pendwa ijaribuni tu. Chagu wa Malunde atafanya kazi ya kusambaza ujumbe.
Kiingereza hakijawahi kujenga hospitali.

Kila mtu anajua Magufuli ameshashinda tunafanya kampeni ili ushindi uwe wa kishindo comrade.
 
Kiingereza hakijawahi kujenga hospitali.

Kila mtu anajua Magufuli ameshashinda tunafanya kampeni ili ushindi uwe wa kishindo comrade.
Uko nje ya mada Ila PhD scholar wako ni huyu:

IMG_20201008_184234_553.jpg
 
Msahihishe basi tuone umahiri na ubobevu wako kwenye kiingereza comrade maana inawezekana unaleta kidomodomo kumbe wewe ndio kambangu kabisa.
Sina haja japo sikusoma: "take it from me, I can speak English. Far better than that idiot!"

Mpelekee salamu hiyo.
 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.

Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.

Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.

Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Utakuwaje huru ikiwa wewe kila siku ni matusi na kupractice uanasheria uchwara kwenye mambo ya maisha ya watu na kutishia watu na ICC na kumtaja huyo Amsterdam kila siku ukidhani watu wanatishika na hao wauza magazeti ughaibuni. Huu ni utoto wa kisiasa.
 
Sina haja japo sikusoma: "take it from me, I can speak English. Far better than that idiot!"

Mpelekee salamu hiyo.
Kuongea kwako kiingereza kumemsaidia nini bibi yako kijijini? Kiingereza hakijengi barabara comrade.
 
Kuongea kwako kiingereza kumemsaidia nini bibi yako kijijini? Kiingereza hakijengi barabara comrade.
Sina haja japo sikusoma: "take it from me, I can speak English. Far better than that idiot!"

Mpelekee salamu hiyo.
Hujui Kiingereza wewe, ona hata hiyo sentenso ilivyokaa, imekaa hovyo hovyo tu, tangu lini neno "Far" likaanza an Endlish sentence, au mnataka kubabaisha watu humu JF? Wacheni hizo! Tuzungumzie hoja za kujenga nchi yetu siyo petty and useless things.
 
Msahihishe basi tuone umahiri na ubobevu wako kwenye kiingereza comrade maana inawezekana unaleta kidomodomo kumbe wewe ndio kambangu kabisa.
Sina haja japo sikusoma: "take it from me, I can speak English better than that idiot."

Mpelekee salamu hizo.
Kuongea kwako kiingereza kumemsaidia nini bibi yako kijijini? Kiingereza hakijengi barabara comrade.

Unanipotezea muda tu mburula wewe. Shule mwende hadi PhD mlichoelewa huko hamna bado umaimuna ndiyo wenu. Hata aibu hamna?

Ninaandika uzi kumhusu huyu mburula na mshirika wake bwana manoti kabla ya kumsafirisha mtu, one way ticket to Chatto.

Kindergartens wengi tu wa English media wanaongea kiingereza kizuri kuliko huyu mburula mwenye PhD fake.

Kwamba bado haikufikirishi?

Haiyumkiniki unajua kuwa hatufai Ila ile buku 7 ndiyo unaufanya ugangamale, si utakufa njaa?

NB: nakuona kama unaelekea kwenye ignore lists kwani unavyoandika ni UTP.


UTP = UTOPOLO.
 
Thats not correct buddy.

Amesema mara nyingi tume watende haki na ametaja ni namna gani hiyo haki itaonekana

1. Kuwaapisha mawakala
2. Kuwa haki ya kutimiza majuku yao baada ya kuwa barua.
3. Kutoa nakala za matokeo zilizosainiwa hapo kituoni.

Mwisho kabisa tume kutoa matokea sahihi kadiri ya hesabu sahihi maana kila chama kitakuwa na nakala.

Hapa ikibidi upatanisho wa karatasi za matokeo kati tume na chama husika ufanyike.

Vinginevyo wataingiza watu barabarani. Mi nadhani tume itende haki tu, kila mtu ashinde mechi zake.

Usishikiwe akili mkuu.
Hayo nimeshayasikia kutoka Lissu na wewe tena unayarudia, anyway hiyo yote ni mikwara ya Lissu na akina Amsterdam kwa nia na lengo la kuitisha NEC, nchi huru haiwezi kushinikizwa na wahuni wachache wanaotaka kuinyonya nchi yetu kwa mgongo wa Lissu. Haiwezekani na tunasubiri hiyo D - Day tukate watu kwenye sanduku la kura.
 
Hayo nimeshayasikia kutoka Lissu na wewe tena unayarudia, anyway hiyo yote ni mikwara ya Lissu na akina Amsterdam kwa nia na lengo la kuitisha NEC, nchi huru haiwezi kushinikizwa na wahuni wachache wanaotaka kuinyonya nchi yetu kwa mgongo wa Lissu. Haiwezekani na tunasubiri hiyo D - Day tukate watu kwenye sanduku la kura.
Huyu mke wa Amsterdam anachotaka kusema ni "TUME IKITAKA AMANI YA NCHI HII LAZIMA INITANGAZE MIMI KUWA RAIS"
 
Sina haja japo sikusoma: "take it from me, I can speak English than that idiot."

Mpelekee salamu hizo.


Unanipotezea muda tu mburula wewe. Shule mwende hadi PhD mlichoelewa huko hamna bado umaimuna ndiyo wenu. Hata aibu hamna?

Ninaandika uzi kumhusu huyu mburula na mshirika wake bwana manoti kabla ya kumsafirisha mtu, one way ticket to Chatto.

Kindergartens wengi tu wa English media wanaongea kiingereza kizuri kuliko huyu mburula mwenye PhD fake.

Kwamba bado haikufikirishi?

Haiyumkiniki unajua kuwa hatufai Ila ile buku 7 ndiyo unaufanya ugangamale, si utakufa njaa?

NB: nakuona kama unaelekea kwenye ignore lists kwani unavyoandika ni UTP.


UTP = UTOPOLO.
Ukweli lazima usemwe comrade JPM ushindi ni lazima. Wewe ni ignore tu comrade sipo hapa kukubembeleza.
 
jaman watanzania pigeni kura mrudi nyumbani haya ya akina lisu yatatuponza kumbuka ulimi unaponza kichwa sasa nyie mjifanye mnadai haki mruhusu mabeberu waje kuwadhohofisha hao wana mahali pa kukumbilia je ww na familia yako mtaenda wapi mtakula na kunywa nini endapo amani itapotea kumbukeni amani ni tunu aliyotupa mungu tuilinde jamani
 
Hujui Kiingereza wewe, ona hata hiyo sentenso ilivyokaa, imekaa hovyo hovyo tu, tangu lini neno "Far" likaanza an Endlish sentence, au mnataka kubabaisha watu humu JF? Wacheni hizo! Tuzungumzie hoja za kujenga nchi yetu siyo petty and useless things.

"An Endlish sentence" ndiyo nini jombi wewe unayejua kiingereza zezeta wewe?

Mimi sijui kiingereza kwani nimesoma shule ya kata tu. Ila Nina nafuu mno kuliko wewe au huyo mwenye PhD ya korosho. Na yeye na wewe mnanajua hivyo!
 
Back
Top Bottom