Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ulivoharibiwaMabeberu wamemuaharibu akili Sana.
Sawa sawa.Kama wewe ulivoharibiwa
Aliye haribiwa akili niyule anaepeleka majeshi na vikosi Pemba utasema kuna vitaMabeberu wamemuaharibu akili Sana.
Ndio Nani?Aliye haribiwa akili niyule anaepeleka majeshi na vikosi Pemba utasema kuna vita
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Yaani!Kila saa tu kutufokea
"Uchaguzi wa haki" kwa Lissu ni yeye "kushinda" that is what "haki" means to Lissu and his friends who have sent him to try and destabilize our country! Let him (Lissu) and his friends that is the LAST THING HE CAN DO TO OUR TANZANIA. We are ready to defend our mother Tanzania with ALL COSTS including our brains, mifupa, damu na nyama.Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.
Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.
Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.
Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Ameanza kuogopa aibu ya kushindwa anatafuta scapegoat?Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.
Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.
Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.
Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Wewe ni Tundu Lissu.maana ID yako inakuelezeaNa wewe kwanini uwe karibu na mtu anayekufokea?
Ungekimbia uende ukalale na mumeo/mkeo...!!
Kwani huyo mzungu wake yupo wapi?Alete familia yake ,kwanza.Jamaa ana mkwala...!
Sababu kila uzi unaomuhusu Lissu nakutana na masimango tu kwa serikali lissu kasema serikali imefanya vile mara imefanya hivi.
Tunataka sera sio porojo comradeNawe unaumia mno serikali kusimangwa kwani ujuavyo wewe mwenye haki ya kusimangwa ni Lissu tu.
Mkijaribu kutuibia kura tutalala "mbere" na ninyi, jino kwa jino. Tutaoneshana MAKALI tu hadi kieleweke.Huyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,
Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Tunataka sera sio porojo comrade
Bado unaleta masimango comrade. Tunataka kusikia sera zenu.1. Kuongea lugha za makabila zisizokuwa rasmi majukwaani ndiyo sera zenu?
2. Kuita wagombea wengine majina majukwaani yakiwamo kuwa ni vibaraka ni sera zenu?
3. Kudai majukwaani kuwa wagombea wengine wametumwa na mabeberu ni sera zenu?
4. Kuvunja sheria hata za usajili wa magari yakiwamo haya ma T2020JPM ni sera zenu?
5. Kuengua wagombea wa vyama vingine kinunda nunda ni sera zenu?
6. Kutumia tume na polisi kukandamiza haki za wagombea wengine ni sera zenu?
7. Nyie kuwa treated tofauti mbele ya sheria ni sera zenu?
8. Sheria kutumika dhidi ya wale tu Ila si nyie ni sera zenu?
Yako mengi hii double standard mwisho wake hauko mbali.
Bado unaleta masimango comrade. Tunataka kusikia sera zenu.
Kila mtu anajua kuwa asilimia 80 ya kampeni za Lissu ametoa masimango na kulialia tu.Mnayofanza mnaita masimango?
Kwani nani anafanza hayo?