Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

This time round ccm jaribun tena ile ujinga mnaochezaga kinuke TUSHACHOKA shinda kwa haki shindwa kwa haki
 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.

Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.

Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.

Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
"Uchaguzi wa haki" kwa Lissu ni yeye "kushinda" that is what "haki" means to Lissu and his friends who have sent him to try and destabilize our country! Let him (Lissu) and his friends that is the LAST THING HE CAN DO TO OUR TANZANIA. We are ready to defend our mother Tanzania with ALL COSTS including our brains, mifupa, damu na nyama.
 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.

Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.

Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.

Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Ameanza kuogopa aibu ya kushindwa anatafuta scapegoat?
 
Sababu kila uzi unaomuhusu Lissu nakutana na masimango tu kwa serikali lissu kasema serikali imefanya vile mara imefanya hivi.

Nawe unaumia mno serikali kusimangwa kwani ujuavyo wewe mwenye haki ya kusimangwa ni Lissu tu.
 
Huyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,

Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Mkijaribu kutuibia kura tutalala "mbere" na ninyi, jino kwa jino. Tutaoneshana MAKALI tu hadi kieleweke.
 
Tunataka sera sio porojo comrade

1. Kuongea lugha za makabila zisizokuwa rasmi majukwaani ndiyo sera zenu?

2. Kuita wagombea wengine majina majukwaani yakiwamo kuwa ni vibaraka ni sera zenu?

3. Kudai majukwaani kuwa wagombea wengine wametumwa na mabeberu ni sera zenu?

4. Kuvunja sheria hata za usajili wa magari yakiwamo haya ma T2020JPM ni sera zenu?

5. Kuengua wagombea wa vyama vingine kinunda nunda ni sera zenu?

6. Kutumia tume na polisi kukandamiza haki za wagombea wengine ni sera zenu?

7. Nyie kuwa treated tofauti mbele ya sheria ni sera zenu?

8. Sheria kutumika dhidi ya wale tu Ila si nyie ni sera zenu?

Yako mengi hii double standard mwisho wake hauko mbali.
 
1. Kuongea lugha za makabila zisizokuwa rasmi majukwaani ndiyo sera zenu?

2. Kuita wagombea wengine majina majukwaani yakiwamo kuwa ni vibaraka ni sera zenu?

3. Kudai majukwaani kuwa wagombea wengine wametumwa na mabeberu ni sera zenu?

4. Kuvunja sheria hata za usajili wa magari yakiwamo haya ma T2020JPM ni sera zenu?

5. Kuengua wagombea wa vyama vingine kinunda nunda ni sera zenu?

6. Kutumia tume na polisi kukandamiza haki za wagombea wengine ni sera zenu?

7. Nyie kuwa treated tofauti mbele ya sheria ni sera zenu?

8. Sheria kutumika dhidi ya wale tu Ila si nyie ni sera zenu?

Yako mengi hii double standard mwisho wake hauko mbali.
Bado unaleta masimango comrade. Tunataka kusikia sera zenu.
 
Back
Top Bottom