T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Sisi tunajivunia kuwa na ilani ya uchaguzi iliyobora kabisa. Haturopoki tu kutoka kichwani kama tundu LissuNyie Sera yenu kukamata wanao wazomea sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunajivunia kuwa na ilani ya uchaguzi iliyobora kabisa. Haturopoki tu kutoka kichwani kama tundu LissuNyie Sera yenu kukamata wanao wazomea sio
kumbe upo upande wa CCM?Huyo Lissu nae asitutetemeshe.
Comrade kwani kuna ugumu gani kuiweka hapa ilani yenu ?Mataga umeitafutia wapi hiyo Ilani?
mmeshazomewaHuyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,
Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Naona hamna sera nyingineMgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi isiwatishe bali ihakikishe uchaguzi unakuwa huru na haki ili kuwe na amani.
Kwanza amewataka wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa katika kinyang’anyiro warudishe ili waende kukataliwa na wananchi katika sanduku la kura. Kura zihesabiwe kwa haki na atakaeyeshinda ashinde kwa haki.
Amesema hayo alipokuwa Mbalizi mkoani Mbeya akiwa safarini kuelekea Tunduma. Amesisitiza ya kuwa bila hayo kufanyika hakutakuwa na amani, kwa maneno yake ‘hakuta kuwa na amani kwenye wizi’.
Ikitokea hivyo amesema watadai haki yao kwa namna wanavyojua. Aidha amesema wasifundishwe namna ya kulia au namna ya kupiga kelele. Kama amani inatakiwa amesisitiza haki itendeke.
Hapana.CHAUMA raisi wangu no HASHIM RUNGWE mzee wa ubwechekumbe upo upande wa CCM?
Ndiyo, au wewe hutaki haki na uhuru plus maendeleo?Ndio sera ya chadema hiyo??!
Mkuu kuambiwa kuwa utapewa haki yako unasema unafokewa? Wew ni me au ke? Nsijekuwa nakulaumu bureYaani!Kila saa tu kutufokea
Nani refa?Unataka kuchezeshwa mdako wa kushoto na kulia...
Huelewi nn lakini? Mimi. Nakuuliza wewe ,,harafu wewe unamuongelea mwingine duh😠😠😠😠Lissu umeshawahi kumuuliza anatumia akili kufikiri au anatumia nn?
Sasa mkuu wewe unadhani jiwe atashinda au atatangazwa? Safari hii Mungu haachiwiiiiHuyu kibaraka hana mamlaka ya kututia roho juu watanzania ,haki iko akili mwa mtu ,yeye kama hajayaandaa mawazo yake kuwa tume itatenda haki lazima atapinga matokeo na kusema kaibiwa,huyu mtu ni mpuuzi sana ,
Kwa akili zake za milembe anadhani kuwa atashinda huu uchaguzi
Jiwe aka kichaaNdio Nani?
Sina taarifa zake,Niko busy na chaguo langu Hashim RUNGWE.Jiwe aka kichaa
Sema tume siyo wananchi, mataga mnakwama wapi jamani?Sawa kizazi cha sahivi mtafanya nini baada ya Lissu kukataliwa na wananchi kwenye box la kura???
Acha aendelee kuwadanganya ninyi wafuasi wake wa mitandaoni,huyu mtu wenu lisso hawezi kamwe kuwa rais wa jmt hadi anaenda kibrah,Sasa mkuu wewe unadhani jiwe atashinda au atatangazwa? Safari hii Mungu haachiwiiii
Haki, uhuru na maendeleo ya kweli yanapatikana ndani wa ccm kwani we hujui hilo comrade?Ndiyo, au wewe hutaki haki na uhuru plus maendeleo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sera ya chato ndio kitu gani??? Unatafuta basha comrade mbona unaulizia urijali wangu??
Tume haipigi kura comrade, wafuasi wa Lissu mnakwama wapi jamani?Sema tume siyo wananchi, mataga mnakwama wapi jamani?
Hahaha comrade usinitoe kwenye reli. Hebu tuache kujadili nyeti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi urijali umeshuka thamani, yani nini?? Kuwa na wewe ni rijali??????