Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Tumekusikia Juma Lokole kachukue buku saba yako Lumumba
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Unasema sera na msingi iko pale pale wakati NYAKATI zinabadilika ! eg. Huwezi ukaleta sera na misingi ya ujamaa nyakati hizi tukakuelewa maana ata waasisi wa ujamaa China na Urusi wameachana nao.

Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa?

Tuache ujinga na umbumbumbu,tutamkosoa yoyote maana hakuna Mungu mtu Tanzania.

By the way nchi imeundwa na wakoloni,pia kuna wengi tu walisaidia kuleta uhuru wa kisiasa na sio Nyerere pekee
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Kwani Nyerere ni Mungu hadi asikosolewe? Chawa unawaza ujinga tu na nyie wapumbavu ndio mtaji wa ccm
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Mnataka mufanye jaribio lingine la kumuua kwa kumpiga risasi?
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.

Katika kumbukumbu zako ni wapi na lini TL amewahi kumkashfu mtu yeyote achilia mbali huyu mtu na binadamu aitwaye hayati Mwl Julius K. Nyerere?

The problem with you people and most likely Tanzanians ni Kwamba, mmekulia na kulelewa ktk culture mbaya ya unafiki ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" na kutokuwa wakweli ktk maisha yenu yote.

Akitokea mtu jasiri dizaini ya TL akavuka mstari wa kuishi ktk utamaduni huu mbaya wa kinafiki na maisha ya uongo na kudanganyana ktk nchi hii na kuanza kusema na kuweka wazi yaliyokuwa "taboo" kusemwa au kuwekwa wazi ktk jamii mnang'aka na kudai ni kashfa au matusi..

We know and remember kuwa, hii ilianza mwaka 2014 wakati wa Bungee La Katiba (BLK) wakati wa mjadala wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Hapo nyie wanafiki ndipo mlipoanzaga kumuwakia TL kuwa kamkashfu baba wa taifa. Hebu tazama na sikiliza video hiyo. Huyu mtu tukubali tu kuwa anajua sana Kila asemacho na kukifanya. Kuna kashfa gani hapo????

Kivipi na Kwa namna gani?

It was simply because he broke the taboo of hypocrisy by exposing the weak side of the said "father of this nation" Kwa kuweka wazi makosa yake ya kimaamuzi ktk utawala wake wa miaka 24 ya nchi hii (ambayo hata yeye binafsi alitambua na kukiri waziwazi wakati wa uhai wake kwa mdomo na Kwa maandishi ya vitabu vyake) hususani ktk suala katiba ya JMT na Muungano wa TZ & Zbr mwaka 1964 ambayo mpaka leo yanaitesa nchi hii.

Kwa hiyo, huu ni ushauri wa kipuuzi. It's better ukakaa nao wewe mwenyewe au shaurianeni ninyi Kwa ninyi huko CCM Lumumba kisha pangeni tena kumdhuru kwa ubaya wowote halafu muone matokeo yake this time juu yenu na watoto wenu..

Na ofcoz ni ushauri usiotakiwa kusikilizwa wala kufuatwa na mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu.

Hatutaki mturudishe kwenye ujima na utwana. Tunataka kwenda mbele..
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Kama kuna ujinga na nilipomshushia heshima nikumumkashifu Mwl Nyerere....abadilike aje na Sera zenye kuleta maendeleo,matusi siyo sofa hata Kwa viongozi wa chama tawala....
 
Katika kumbukumbu zako ni wapi na lini TL amewahi kumkashfu mtu yeyote achilia mbali huyu mtu na binadamu aitwaye hayati Mwl Julius K. Nyerere?

The problem with you people and most likely Tanzanians ni Kwamba, mmekulia na kulelewa ktk culture mbaya ya unafiki ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" na kutokuwa wakweli ktk maisha yenu yote.

Akitokea mtu jasiri dizaini ya TL akavuka mstari wa kuishi ktk utamaduni huu mbaya wa kinafiki na maisha ya uongo na kudanganyana ktk nchi hii na kuanza kusema na kuweka wazi yaliyokuwa "taboo" kusemwa au kuwekwa wazi ktk jamii mnang'aka na kudai ni kashfa au matusi..

We know and remember kuwa, hii ilianza mwaka 2014 wakati wa Bungee La Katiba (BLK) wakati wa mjadala wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.
View attachment 2494407
Hapo nyie wanafiki ndipo mlipoanzaga kumuwakia TL kuwa kamkashfu baba wa taifa. Hebu tazama na sikiliza video hiyo. Huyu mtu tukubali tu kuwa anajua sana Kila asemacho na kukifanya. Kuna kashfa gani hapo????

Kivipi na Kwa namna gani?

It was simply because he broke the taboo of hypocrisy by exposing the weak side of the said "father of this nation" Kwa kuweka wazi makosa yake ya kimaamuzi ktk utawala wake wa miaka 24 ya nchi hii (ambayo hata yeye binafsi alitambua na kukiri waziwazi wakati wa uhai wake kwa mdomo na Kwa maandishi ya vitabu vyake) hususani ktk suala katiba ya JMT na Muungano wa TZ & Zbr mwaka 1964 ambayo mpaka leo yanaitesa nchi hii.

Kwa hiyo, huu ni ushauri wa kipuuzi. It's better ukakaa nao wewe mwenyewe au shaurianeni ninyi Kwa ninyi huko CCM Lumumba kisha pangeni tena kumdhuru kwa ubaya wowote halafu muone matokeo yake this time juu yenu na watoto wenu..

Na ofcoz ni ushauri usiotakiwa kusikilizwa wala kufuatwa na mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu.

Hatutaki mturudishe kwenye ujima na utwana. Tunataka kwenda mbele..
......Looh, Jidu La Mabambasi hapa una lipi la kusema ndugu yangu? Ulikuwa unawaza nini kuleta hoja ya ajabu kama hii hapa jukwaani?

.....Hii iko chini ya kiwango cha fikra na ufahamu wako. Hukustahili kuja na propaganda ya hovyo kiasi hiki!

....Tundu Lissu ni mtu mzuri sana, Hana unafiki na husema ukweli mtupu ambao ni mwiko kwa CCM na hiyo ndiyo kashfa kwa wana CCM wa sampuli yako Jidu La Mabambasi

....hivi nyie huko CCM ni watu wa namna gani msiotaka kukosolewa? Tangu lini kukosoana ikawa kashfa au matusi jamani?

Mimi nahisi kinachowakera kwa Tundu Lissu, ni lugha ambayo huitumia ktk kutoa hoja zake. Huwa halembi eti

.....Anapokosoa hutumia lugha kali, ya kukera na yenye mamlaka. Hili huwaudhi sana watawala.

....Kwangu mimi Hili ni jema sana pale mtu anaporekebisha mambo na makosa yaliyofanywa na manunda wa ujinga huko CCM
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Chawa na Sukuma genge wakisikia Lissu anakuja pressure inapanda pressure inashuka.

Hiiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom