Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Nchi hii watu wengi uwezo wenu wa akili na uelewa wa mambo ni mdogo mnoooooo
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Anayemkashifu Mwl. Nyerere baba wa taifa la Tanzania ni punguwani. Period
 
nyerere ndie rais ovyo sana katuletea azimio la arusha kadhulumu nyumba za watu na kuipa jina NHC watu wamekufa kwa presha kwa kuzulumiwa. kaleta bakwata kuuwa uislamu. kila kaya kupewa dawa ya mswaki 1 kwa kila kaya sukari kilo 1 kwa kila kaya kwa mwezi mnatumia dawa ya mswaki mkiwa mpo 10 kaya moja mtaitumia wote kwa mwezi sukari hivyo hivyo redio kununua kwa kibali sabuni ya kufulia kwa kibali ilikuwa ni shida utawala wake
 
......Looh, Jidu La Mabambasi hapa una lipi la kusema ndugu yangu? Ulikuwa unawaza nini kuleta hoja ya ajabu kama hii hapa jukwaani?

.....Hii iko chini ya kiwango cha fikra na ufahamu wako. Hukustahili kuja na propaganda ya hovyo kiasi hiki!

....Tundu Lissu ni mtu mzuri sana, Hana unafiki na husema ukweli mtupu ambao ni mwiko kwa CCM na hiyo ndiyo kashfa kwa wana CCM wa sampuli yako Jidu La Mabambasi

....hivi nyie huko CCM ni watu wa namna gani msiotaka kukosolewa? Tangu lini kukosoana ikawa kashfa au matusi jamani?

Mimi nahisi kinachowakera kwa Tundu Lissu, ni lugha ambayo huitumia ktk kutoa hoja zake. Huwa halembi eti

.....Anapokosoa hutumia lugha kali, ya kukera na yenye mamlaka. Hili huwaudhi sana watawala.

....Kwangu mimi Hili ni jema sana pale mtu anaporekebisha mambo na makosa yaliyofanywa na manunda wa ujinga huko CCM
Katika siasa kuna watu wanaitwa reactionaries.
Hawa ndiyo kina Tundu Lissu.

Wanaweza kutibua na kuleta mapungufu ya mfumo fulani.
Lakini hawajui na hawana uwezo wa kuona mbali ya kile wanacho kilaumu.

Tundu Lissu ni fundi wa kulaumu, kukashifu na kutukana.
Lakini hata kule kwao Singida hajui namna ya kuwaendeleza wananchi wa kijijini kwake kwa maisha bora.

Mtupe mfano wa maendeleo kijiji chochote alichokiwakilisha bungeni.
 
nyerere ndie rais ovyo sana katuletea azimio la arusha kadhulumu nyumba zs waislamu na kuipa jina NHC kaunda bakwata kuuwa uislamu kila kaya kupewa dawa ya mswaki 1 kwa kila kaya sukari kilo 1 kwa kila kaya kwa mwezi mnatumia dawa ya mswaki mkiwa mpo 10 kaya moja mtaitumia wote kwa mwezi sukari hivyo hivyo redio kununua kwa kibali sabuni ya kufulia kwa kibali ilikuwa ni shida utawala wake
Watoto wa 1990.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.

Hili ni doa ambalo haliwezi kufutika. Huwezi kumtukana baba wa taifa. Halafu ubaki salama.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Kwa maoni yangu, moja ya legacy za Nyerere ni ile inayotokana na Kumfanya raisi wa Tanganyika(Tanzania) kuwa kama Mfalme/Malkia. Tena wale wa zama za kale, yaani;
  • Asemacho raisi ndio sheria (katiba/no katiba).
  • Hapingiki
  • Hakosolewi
  • Yeye ni mtukufu (noble) .nk

Hivyo sishangai kabisa, mfumo wa fikra za mtoa maada. Ni legacy ya anaeitwa Baba wa Taifa.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Hatuhangaika na waliokufa
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Popote Nyerere alipokosea lazima isemwe waziwazi bila ya kumung'unya maneno, kwa sababu gani watu waogope kuyasema yale aliyokosea?
Kama yakisemwa na wale wenye upeo mdogo au wale waliogubikwa na mahaba kwake wakaanza kuchukulia kuwa kukosoa alipokosea ni kashfa hiyo itakuwa ni matatizo yao wenyewe.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Ninakubaliana nawe, ila sioni sababu tena ya kumrudisha ulaya, labda apende mwenyewe, na kwa kweli ningependa yeye ndiye awe mstari wa mbele kuhakikisha kwamba waTanzania, kwa sababu yoyote ile hawalazimishwi kukimbilia kokote bila ya utashi wao.

Juu ya kumkashifu Mwalimu, natumaini yeye mwenyewe Lissu anatambua kwamba ajenda hiyo haimwongezei chochote, na wala haikijengi chama chake.

Kuzungumzia maswala ya wakati wa Mwalimu, na kuyaleta katika nyakati za leo sioni kuwa zinamjengea heshima mahali popote.

Hata hivyo, akipenda kupigana mieleka na 'legacy' ya Mwalimu kwa wakati huu, sina shaka yoyote kwamba ataangukia pua kwa aibu sana, kwa sababu maswala aliyoyasimamia Mwalimu hadi leo yana maana kubwa sana katika uhai wa waTanzania na heshima kubwa ya nchi yao.

Lakini inanibidi niulize swali: kwani tofauti kuu iliyopo kati ya mambo anayoyasimamia Lissu na yale aliyoyaamini na kuyasimamia Mwalimu ni ipi hasa? Ningependa kujua hili.

Kwa maana, uelewa wangu kuhusu Lissu ni kwamba ni mpigania haki za watu. Kachaniwa magwanda na polisi na kubaki na 'singlet' kule Mara, akiwa kwenye harakati za kupigania HAKI za waTanzania.

Sasa ni kipi hasa anachotofautiana na Mwalimu? Ujamaa; au namna ya utekelezaji wa baadhi ya mambo kwa wakati ule wa Mwalimu, ambao pengine leo hii hata Mwalimu angetekeleza kileo kuliko kijuzi.

Karibu sana nyumbani 'Ndugu' Lissu.
 
Mwalimu alivikuta vyama vingi nchini, kulikuwa na vyama vingi tangu enzi za ukoloni.
Vingapi?
Mi nakijua cha Mtemvu, vingine ni vipi?
Hata hicho cha Mtemvu kiliundwa kwa mbinde wa wakoloni kutafuta njia za kuififisha TANU..

Nasubiri hilo jibu la vyama vingi.
 
Back
Top Bottom