Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Nyerere, Yesu, and Muhamad walikuwa binadamu tu! Ni pilitics push ndiyo zikawafanya wafikie hapo walipo! Mwisho wa siku ni FK them all
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye mpumbavu kabisaaa,unashindwa kutofautisha kukosoa na kukosoa.Anayemkashifu Mwl. Nyerere baba wa taifa la Tanzania ni punguwani. Period
CCM kuna wajinga wengi sanaKukosoa sera za mtu ni kumkashifu? Hili taifa lina wajinga wengi
Usitishe watu wewe kibiritingomaMwambieni Lissu, ameshaonywa.
SAWA...unawezaje kuikosoa na kuichambua Katiba ya 1977 bila kumkosoa na kumchambua Mwalimu Nyerere muasisi wa katiba hiyo?
..au unaweza vipi kuukosoa muungano na jinsi ulivyoasisiwa bila kuwa umewagusa waasisi wa muungano Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume?
..naamini Lissu ni kati ya wasomi ambao wanaweza kutoa mchango wenye tija kwa Watanzania wote tunapoelekea kuandika Katiba Mpya na kuunda Tume Huru ya uchaguzi.
..tumpe uhuru Lissu afundishe kuhusu Katiba bora na kutoa elimu ya uraia kwa faida ya Watanzania wote.
Mada niliyoileta iko wazi, na inaeleweka vizuri sana.......Looh, Jidu La Mabambasi hapa una lipi la kusema ndugu yangu? Ulikuwa unawaza nini kuleta hoja ya ajabu kama hii hapa jukwaani?
.....Hii iko chini ya kiwango cha fikra na ufahamu wako. Hukustahili kuja na propaganda ya hovyo kiasi hiki!
....Tundu Lissu ni mtu mzuri sana, Hana unafiki na husema ukweli mtupu ambao ni mwiko kwa CCM na hiyo ndiyo kashfa kwa wana CCM wa sampuli yako Jidu La Mabambasi
....hivi nyie huko CCM ni watu wa namna gani msiotaka kukosolewa? Tangu lini kukosoana ikawa kashfa au matusi jamani?
Mimi nahisi kinachowakera kwa Tundu Lissu, ni lugha ambayo huitumia ktk kutoa hoja zake. Huwa halembi eti
.....Anapokosoa hutumia lugha kali, ya kukera na yenye mamlaka. Hili huwaudhi sana watawala.
....Kwangu mimi Hili ni jema sana pale mtu anaporekebisha mambo na makosa yaliyofanywa na manunda wa ujinga huko CCM
Hatishwi mtu hapa wewe lofa.Usitishe watu wewe kibiritingoma
Mada niliyoileta iko wazi, na inaeleweka vizuri sana.
Kuna kukosoa sera na kukashifu mtu.
Mtu kama Lissu kwa kupenda sifa za kijinga aliwahi kuchagua kukashifu, tena vibaya.
Hilo halikubaliki.
Kumkashifu kiingizi na muasisi wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Lissu akirudia tena, si tu hataeleweka, lakini ataoata madhara asiyoyatarajia.
Lissu pamoja na wenzake wanatakiwa walete sera mbadala za kiuchumi na kijamii ili kuimarisha Taifa.
Ni kweli ni vzr kukosoana maana ndio kujenga, bila challenges hakuna maendeleo,na kumkosoa mwl.Nyerere sio kosa kabisa.Mm nadhani sisi kama watanzania tungejihoji maswali ya msingi labda yangetusaidia sana na labda tungetoka na fikra za juu zaidi maana lalamiko letu kubwa kabisa ni Umaskini wa watanzania na afrika kwa ujumla wake ambao kila mtanzania na mwafrika anaumizwa nao.labda tungejiuliza yafuatayo.Unasema sera na msingi iko pale pale wakati NYAKATI zinabadilika ! eg. Huwezi ukaleta sera na misingi ya ujamaa nyakati hizi tukakuelewa maana ata waasisi wa ujamaa China na Urusi wameachana nao.
Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa?
Tuache ujinga na umbumbumbu,tutamkosoa yoyote maana hakuna Mungu mtu Tanzania.
By the way nchi imeundwa na wakoloni,pia kuna wengi tu walisaidia kuleta uhuru wa kisiasa na sio Nyerere pekee
Tofautisha kichwa chako, cha Lissu na mdomo wake, na Mwalimu...Na wanaomtukana Lissu matusi makubwa-kubwa inakubalika? Mtawachukulia hatua gani?
Siasa za kutukanana hazina tija.Kwani wewe inakuuma nini akitukanwa J k Nyerere?
Ww huna akili, kumkosoa Nyerere si kunitukana, hata Nyerere alijikosoa mwenyewe, kasome kitabu Cha TUJISAHIHISHE Cha Mwalimu mwenyeweTundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.
Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.
Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.
Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Haina shida pungasese
Lissu Yuko tayari kumdiss yeyote isipokuwa Mbowe tu.
Ulivyo na kutu kichwani hujui hata mada inasemaje.Ww huna akili, kumkosoa Nyerere si kunitukana, hata Nyerere alijikosoa mwenyewe, kasome kitabu Cha TUJISAHIHISHE Cha Mwalimu mwenyewe
Alafu mie pia binafsi, sikubalian na Sera ya ujamaa, yaan hamna kitu sipend Kama UJAMAA
Unamzungumzia Tundu huyu aliyesema Serikali itafungwa jela sababu ya makinikia...Tundu huyu anayetetea ushoga..au Kuna mwingine......Looh, Jidu La Mabambasi hapa una lipi la kusema ndugu yangu? Ulikuwa unawaza nini kuleta hoja ya ajabu kama hii hapa jukwaani?
.....Hii iko chini ya kiwango cha fikra na ufahamu wako. Hukustahili kuja na propaganda ya hovyo kiasi hiki!
....Tundu Lissu ni mtu mzuri sana, Hana unafiki na husema ukweli mtupu ambao ni mwiko kwa CCM na hiyo ndiyo kashfa kwa wana CCM wa sampuli yako Jidu La Mabambasi
....hivi nyie huko CCM ni watu wa namna gani msiotaka kukosolewa? Tangu lini kukosoana ikawa kashfa au matusi jamani?
Mimi nahisi kinachowakera kwa Tundu Lissu, ni lugha ambayo huitumia ktk kutoa hoja zake. Huwa halembi eti
.....Anapokosoa hutumia lugha kali, ya kukera na yenye mamlaka. Hili huwaudhi sana watawala.
....Kwangu mimi Hili ni jema sana pale mtu anaporekebisha mambo na makosa yaliyofanywa na manunda wa ujinga huko CCM
Lofa wewe unayeishi kwenye zama za giza.Hatishwi mtu hapa wewe lofa.