Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.

Mkuu,

Hizi habari za kujiwekea limits ni kujifunga akili.

Nyerere alikuwa mtu complex, hawezi kukosa kashfa.

Umesoma biographies mpya za Nyerere za kina Shivji?
 
Hivi Katiba ya Zanzibar iliandikwa na kupitishwa lini? Ningependa kujuwa hilo.
Mwaka 1984 na kufanyiwa amendments mwaka 2010 (Naweza kusahihishwa kama nimekosea)
Hivi Muungano wetu ulipoasisiwa, hatua hiyo ndiyo iliyohitimisha kwamba Muungano huo umekuwa kamilifu,

Mimi sijasema hivyo.

Hata hivyo, jibu la swali lako ni HAPANA. Kwa sababu Muungano ni makubaliano ya pande mbili au zaidi. Hakuna makubaliano yasiyoweza kufanyiwa marekebisho kwa kadiri mnavyoendelea mbele kuyatekeleza. Mara nyingine makubaliano huvunjika au hufikia ukomo na kila upande ukaenda kivyake.

Upo mkataba wa makubaliano mmoja tu maarufu kama "agano" ambalo ni irreversible. Ni lile kati ya Mungu Muumba na wanadamu. Unalijua?
au ilitegemewa kwamba patakuwepo na hatua kadhaa kuendelea kuurutubisha zaidi?

Obviously, ni hivyo. Soma hapo juu
Mwisho mkuu wangu 'Uzima Tele', isikuwie rahisi sana kuwadharau waTanzania kuwa ni watu wasiokuwa na akili.
Sijadharau mtu tafadhali!

Ila ni kweli kuwa Kwa miongo kadhaa timejengwa ktk misingi ya unafiki na uongo na kuhanganyana kwingi kiasi cha baadhi yetu kuanza kujiita "waheshimiwa" badala ya "ndugu" eti tu Kwa sababu wako kwenye nafasi ya utawala au uongozi fulani.

Huu ni utamaduni mbaya sana. Wakaenda mbali zaidi na kuingiza mambo haya mpaka kwenye mitaala ya shule za watoto wetu.
Ndiyo, kati yetu, na hasa enzi hizi, pamekuwepo na waTanzania wenzetu wengi ambao unafiki na mambo mengi ya hovyo yamekuwa kama ndiyo tamaduni ya nchi hii.
Vyema umelitambua hili. Na hoja yangu iliwahusu wao

Ni Mwalimu huyo huyo aliyehimiza watu wjitambue na wajue haki zao, au umesahau?

Hakuna mahali Mimi au pengine hata Tundu Lissu tunayemjadili hapa amesema Hayati Mwl Nyerere J. K hakufanya mema ktk nchi hii. Alifanya mema mengi na mazuri, and we appreciate them

Lakini pia alifanya mengi mabaya na yaasiyofaa ambayo kizazi chetu na vile vijavyo havipaswi kuyaiga isipokuwa yatumike kama kumbukumbu ya kujifunzia kufanya mema zaidi. Hii ndiyo hoja ya Tundu Lissu nami nakubaliana naye 100%. Kuna ubaya hapo?

Au Kuna shida gani kwani ndugu Kalamu kusema makosa yaliyofanywa na yanayofanywa na viongozi wetu?

Je, si Kwamba tujifunze ili wengine wasifanye makosa hayo?

Mbona sasa "kukosoana" mnakuita ni kutusiana au kukashifiana? Mna matatizo gani nyie???
Kwa hiyo, unapoona kuna waTanzania wanaoheshimu mambo mengi yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ukadhani wamejitoa akili kichwani bila ya kujua sababu za kumuenzi mwasisi huyo wa taifa letu.
Nisome hapo juu.

Kwa lugha rahisi ndugu Kalamu iko hivi:

Mazuri ya viongozi wetu yaenziwe na kila mtu na makosa na mabaya yao yote tuyapinge na kuyakataa Kwa uwazi bila hofu yote. Ndicho afanyacho Tundu Lissu. Na nakubaliana naye kabisa 100%

Au kusema mabaya na kuwakosoa viongozi wetu kwenu ninyi huko ni mwiko na ni matusi?

USHAURI: Ukitaka kujifanyia mambo yako mwenyewe Kwa namna yoyote na Kwa njia yoyote bila kujali watu, basi huyo mtu awe kiongozi wa familia yake mwenyewe japo hata ndani ya familia kama ana watoto, basi ategemee kukosolewa na kupingwa tu!

Ni heshima iliyo dhati anayoistahili Mwalimu Nyerere katika mambo mengi sana aliyoyafanya katika uhai wake kama kiongozi wa nchi yetu.

Exactly, anastahili heshima

Lakini usisahau kuwa alikuwa mwanadamu. Msikilize Tundu Lissu vizuri kwenye video hiyo tena ili umwelewe.

Mabaya yake lazima yasemwe ili kizazi cha leo na cha kesho kijifunze na kisije kufanya makosa kama yake.
Sasa, tunapotoa heshima hiyo, tafadhali usione kuwa sote ni wanafiki.
Na sisi wengine tunapoonesha mapungufu yake, msituone ni wanafiki vilevile Kwa sababu tunathibitisha ubinadamu wake!!

Au huyu mtu alikuwa Mungu Kwa umbo la binadamu?

Thibitisha ili tumheshimu Kwa masafa hayo. Kama sivyo, basi ni vyema tukubaliane kutokukubaliana!!

Thanx
 
Katika kumbukumbu zako ni wapi na lini TL amewahi kumkashfu mtu yeyote achilia mbali huyu mtu na binadamu aitwaye hayati Mwl Julius K. Nyerere?

The problem with you people and most likely Tanzanians ni Kwamba, mmekulia na kulelewa ktk culture mbaya ya unafiki ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" na kutokuwa wakweli ktk maisha yenu yote.

Akitokea mtu jasiri dizaini ya TL akavuka mstari wa kuishi ktk utamaduni huu mbaya wa kinafiki na maisha ya uongo na kudanganyana ktk nchi hii na kuanza kusema na kuweka wazi yaliyokuwa "taboo" kusemwa au kuwekwa wazi ktk jamii mnang'aka na kudai ni kashfa au matusi..

We know and remember kuwa, hii ilianza mwaka 2014 wakati wa Bungee La Katiba (BLK) wakati wa mjadala wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.
View attachment 2494407
Hapo nyie wanafiki ndipo mlipoanzaga kumuwakia TL kuwa kamkashfu baba wa taifa. Hebu tazama na sikiliza video hiyo. Huyu mtu tukubali tu kuwa anajua sana Kila asemacho na kukifanya. Kuna kashfa gani hapo????

Kivipi na Kwa namna gani?

It was simply because he broke the taboo of hypocrisy by exposing the weak side of the said "father of this nation" Kwa kuweka wazi makosa yake ya kimaamuzi ktk utawala wake wa miaka 24 ya nchi hii (ambayo hata yeye binafsi alitambua na kukiri waziwazi wakati wa uhai wake kwa mdomo na Kwa maandishi ya vitabu vyake) hususani ktk suala katiba ya JMT na Muungano wa TZ & Zbr mwaka 1964 ambayo mpaka leo yanaitesa nchi hii.

Kwa hiyo, huu ni ushauri wa kipuuzi. It's better ukakaa nao wewe mwenyewe au shaurianeni ninyi Kwa ninyi huko CCM Lumumba kisha pangeni tena kumdhuru kwa ubaya wowote halafu muone matokeo yake this time juu yenu na watoto wenu..

Na ofcoz ni ushauri usiotakiwa kusikilizwa wala kufuatwa na mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu.

Hatutaki mturudishe kwenye ujima na utwana. Tunataka kwenda mbele..

Lissu crossed the rubicon.
Zaidi ya kusema kile anachofikiri hana kitu zaidi kichwani.
Ajenge hoja ya kuanziha chuo kikuu Singida, hawezi.
 
Mkuu,

Hizi habari za kujiwekea limits ni kujifunga akili.

Nyerere alikuwa mtu complex, hawezi kukosa kashfa.

Umesoma biographies mpya za Nyerere za kina Shivji?
Nenda leo Urusi, au China au Marekani au UK ukajifungue akili uone utaishia wapi.
Sembuse Tanzania.
 
Abraham Lincoln hakufuta vyama vingi Marekani
Soma historia mkuu, utaelimika na kuelewa kwa nini nchi zenye iconic leaders, wanawaenzi viongozi wao.
Lakini ninyi, ni kama wale waliomkashifu Gaddafi ili mchukue nchi kwa tamaa zenu.

Lincoln was an iconic leader
"Lincoln will go down as one of the greatest presidents in the annals of history. He epitomizes the American dream: He came from nothing to eventually becoming the president of the United States. Despite his personal demons, despite everything that was thrown at him – and these were significant traumas – Lincoln managed to soldier on. Such resilience and such strength of character are truly awe-inspiring,”

“Lincoln never gave up. He was a man who learned from his mistakes and had a drive inside of him that allowed him to overcome nearly insurmountable odds"
 
Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Sahihi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nenda leo Urusi, au China au Marekani au UK ukajifungue akili uone utaishia wapi.
Sembuse Tanzania.
Mkuu,

UK unamtukana mpaka mfalme.

Urusi Pussy Riot wamemtukana mpaka Putin.

China watu wamemdindia Xi Jinping mpaka kalegeza masharti ya Covid lockdowns.

Wewe unaishi dunia gani?

Halafu hata kama huko haiwezekani kukisoa viongozi, hilo lina maana gani?

Warusi, Wachina na Waingereza wakiamua kula mavi, na wewe utakula kwa sababu wao wamekula?
 
Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
mwl. alikuwa mungu kadogo siyo
 
Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
akili ya uvccm hawawezi fikiri zaidi ya uchawa
 
Mkuu,

UK unamtukana mpaka mfalme.

Urusi Pussy Riot wamemtukana mpaka Putin.

China watu wamemdindia Xi Jinping mpaka kalegeza masharti ya Covid lockdowns.

Wewe unaishi dunia gani?

Halafu hata kama huko haiwezekani kukisoa viongozi, hilo lina maana gani?

Warusi, Wachina na Waingereza wakiamua kula mavi, na wewe utakula kwa sababu wao wamekula?
Mbona unaongelea yale yaliyo marahisi rahisi, pengine unasahu jinsi Lady Diana alivyo tendwa na MI6, alipoenda kimyume na establishment.

Kwa US umemsikia jamaa wa WIKILEAKS huko S anavyotafutwa , au ndio hujui?
Kwa Urusi , pengine wewe unawajua pimbi wa Pussy Riots, lakini hujui wala huelewi kuwa Oligarch karibia 40 wamesha kufa kwa kuanguka toka maghorofani kwa bahati mbaya.

Mkuu, go against the establishments foundations , you become fair game.
 
Hata wakati huo hakukuwa na sababu za msingi zenye manufaa kufuta vyama vingi au kuweka katiba inayomfanya Rais kama mfalme.
Kwa hiyo tuamini tu unavyosema wewe, hata bila maelezo?

Unataka sababu "zipi za msingi" zaidi ya hali ya siasa za dunia za wakati huo!
 
Labda hujui tu, kuna kipindi akawa anamshutumu Mwl. kuwa alikuwa akiishi maisha ya ujanja ujanja na kuwahadaa waTanzania.
Hilo sijalisikia mkuu 'eliakeem'.

Kama alisema hayo, basi alipotoka na bila shaka alishatambua hivyo.
 
Unasema sera na msingi iko pale pale wakati NYAKATI zinabadilika ! eg. Huwezi ukaleta sera na misingi ya ujamaa nyakati hizi tukakuelewa maana ata waasisi wa ujamaa China na Urusi wameachana nao.

Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa?

Tuache ujinga na umbumbumbu,tutamkosoa yoyote maana hakuna Mungu mtu Tanzania.

By the way nchi imeundwa na wakoloni,pia kuna wengi tu walisaidia kuleta uhuru wa kisiasa na sio Nyerere pekee
we nenda kaharishe watoto wa single maza hutawakosa hawana adabu hawajalelewa na baba. Umesikia wachina wanamsimanga Mao Tsetung? Shenz huna adabuuuu
 
Back
Top Bottom